Wewe huwaga ni kilaza mjinga fulani hivi ambaye huwezi kujenga hoja nje ya Quran.
Na mimi sina muda wa kubishana na wajinga kama wewe.
Find someone of your league to parallel your mediocrity.
Hivi wale akina mkwawa, kinjektile,na babu zetu wa miaka hiyo 1700 au 1800 na watu wa enzi hizo watakua wameenda wapi? Mbinguni au wapi?
Unaweza kuthibitisha hiyo jehanamu ipo au unaleta vitisho na hofu zako?
Usisome vitu juu kwa juu.Dini sio matendo mema.
Matendo mema ni tabia, Hakuna uhusiano wowote ule wa matendo mema na dini.
Kuna watu wana dini na bado wana matendo mabaya...
Nakwambia hivi, Hakuna uhusiano wa dini na matendo mema.Usisome vitu juu kwa juu.
Wapi nimeandika uongo?Kwanini unaandika uongo ? Sehemu yoyote tumejadilia mara ngapi mnakimbia ?
Eleza na thibitisha shetani ni kitu gani?Tumejadilia kuhusu Logic, Falsafa mpaka Sayansi kote mmekosa hoja. Sasa usitafute kisingizio.
Hapo kwanza sijaenda kwenye Qur'an, hapo nimeenda katika mawanda ya lugha. Kwa ujinga wako unazua kwamba nimejenga hoja ndani ya Qur'an.
Sasa kama mtu hujui hoja zangu zimemili wapi, vipi uweze kujadiliana na mimi au uone kama nina hoja ?
Hili tatizo mnalo vijana ambao hamna elimu wala ufahamu.
Punguza kukariri.Nakwambia hivi, Hakuna uhusiano wa dini na matendo mema.
Dini ni nini?Punguza kukariri.
Dini ni nini?
Kwani mtume Muhammad alikuwa Hana wajukuu.Yani kwamba unamuabudu babu yako?
Umeandika uongo pale uliposema kwamba hoja zangu huwa Zina mrengo wa dini na siwezi kujenga hoja ya Qur'an. Huu ni uongo wa wazi sana.Wapi nimeandika uongo?
Nilikwambia uthibitishe shetani ni kitu gani?
Unaanza kuunda maswali yenye mrengo wa majibu unayotaka kuyasikia.
Kwanza unakubali ya kuwa ulikosea kuuliza swali ?Eleza na thibitisha shetani ni kitu gani?
Na ulijuaje yupo?
Sio kuanza kuleta stori uchwara za Quran zisizo na uthibitisho wowote ule sawa na hekaya za Abunuwasi.
Nakwambia hivi, swali langu halina makosa yoyote yale.Kwanza unakubali ya kuwa ulikosea kuuliza swali ?
Nakwambia hivi, swali langu halina makosa yoyote yale.
Shetani ni nini?
Ukishaweka neno "nani" tayari unajua kitu hicho ni kiumbe fulani na si kitu fulani.
Ilibidi nicheke tuBaada ya kumuona kiongozi muongoza ibada ana mikeka ya betting inaning'inia mfukoni.
Mshe.nzi wewe...Baba paroko aliponiomba kinyeo.
Cc X_INTELLIGENCE Yohimbe bark Poor Brain fundi bishoo cocastic dronedrake Mzee wa kupambania
Usiombe uombwe kinyeo ni noma 😱😱 inaleta hisia mtanzikoMshe.nzi wewe...
Haya mambo ya coca haya ngoja aje 😁😂😂😂😂