Nini kilikufanya ukaacha kwenda kuabudu kwenye nyumba ya ibada?

Witch hunter

JF-Expert Member
Nov 21, 2018
903
1,942
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli kuliko zingine).

Mimi niliacha Kwenda kanisani baada ya mchungaji kutumia hela ya kanisa kununua magari yake binafsi, kila akija ibadani anakuja na gari inayofanana na suti aliyovaa, kama ni suti ya blue basi gari ya blue, kama nyeusi basi nyeusi, nyeupe, maroon, kijivu in short mchungaji alikuwa na gari ya kila rangi kulingana na nguo zake.

Wakati huo mimi natembea kwa miguu tena naambiwa toa ubarikiwe. Kubwa Zaidi, mchungaji alikuwa na nyumba ndogo, na baada ya kunogewa aliamua kuoa kabisa akawa na wake wawili jambo ambalo ni kinyume na kanuni za kikristo. Nikasema hapanaaaaaaaaa.​
  • Sababu nyingine nilisoma vitabu vingi ambavyo vimefanya nisitamani kabisaa kusikia mambo ya dini hata kidogo. Vitabu kama
    • Toledot Yeshu
    • The history of God
    • Evolution of the idea of God. Na vingine vingi.
Wewe je, kipi kilikusibu?
 
Uzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli kuliko zingine).

Mimi niliacha Kwenda kanisani baada ya mchungaji kutumia hela ya kanisa kununua magari yake binafsi, kila akija ibadani anakuja na gari inayofanana na suti aliyovaa, kama ni suti ya blue basi gari ya blue, kama nyeusi basi nyeusi, nyeupe, maroon, kijivu in short mchungaji alikuwa na gari ya kila rangi kulingana na nguo zake.

Wakati huo mimi natembea kwa miguu tena naambiwa toa ubarikiwe. Kubwa Zaidi, mchungaji alikuwa na nyumba ndogo, na baada ya kunogewa aliamua kuoa kabisa akawa na wake wawili jambo ambalo ni kinyume na kanuni za kikristo. Nikasema hapanaaaaaaaaa.​
  • Sababu nyingine nilisoma vitabu vingi ambavyo vimefanya nisitamani kabisaa kusikia mambo ya dini hata kidogo. Vitabu kama
    • Toledot Yeshu
    • The history of God
    • Evolution of the idea of God. Na vingine vingi.
Wewe je, kipi kilikusibu?
kuoa wake wawili Kikristo imekatazwa wapi mkuu
 
Back
Top Bottom