Msaada wa links za hivyo vitabuUzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli kuliko zingine).
Mimi niliacha Kwenda kanisani baada ya mchungaji kutumia hela ya kanisa kununua magari yake binafsi, kila akija ibadani anakuja na gari inayofanana na suti aliyovaa, kama ni suti ya blue basi gari ya blue, kama nyeusi basi nyeusi, nyeupe, maroon, kijivu in short mchungaji alikuwa na gari ya kila rangi kulingana na nguo zake.
Wakati huo mimi natembea kwa miguu tena naambiwa toa ubarikiwe. Kubwa Zaidi, mchungaji alikuwa na nyumba ndogo, na baada ya kunogewa aliamua kuoa kabisa akawa na wake wawili jambo ambalo ni kinyume na kanuni za kikristo. Nikasema hapanaaaaaaaaa.Wewe je, kipi kilikusibu?
- Sababu nyingine nilisoma vitabu vingi ambavyo vimefanya nisitamani kabisaa kusikia mambo ya dini hata kidogo. Vitabu kama
- Toledot Yeshu
- The history of God
- Evolution of the idea of God. Na vingine vingi.
Aisee bibie unahakiki kabisa?Kwa ambao hatujawahi kuwa wadau wa kanisani huu uzi hautuhusu
Manake tunaenda tukijisikia
Hakika nimebatizwa KKKT nimepata kipaimara hapo na pia nimefunga ndoa mwaka 2002 hapo Magomeni mviringo lakini siku nilipokuja kukuta kanisa linakwenda kinyume na Biblia kuwa na kiongozi wa sala asiyekubalika na maagizo ya Biblia nilijitenga kabisa mpaka sasa masali kanisa lolote nitakapojisikiaMimi ni
1.Mavazi mafupi ya wanawake/ Mkahaba kanisani.
2.Mchungaji mwanamke.
3.Uchawi kanisani
4.ujio wa wajasiriamali wa kidini
Shetani ni kama huyu mleta mada. Ni shetani aliyekuja kwa ngozi ya kibinadamu!Huyo shetani ulipambana naye wapi ukamshinda?
Shetani ni nini?
Na ulijuaje ni shetani?
😂😂😂😂Hii Green label au chai bora?Baada ya kumuona kiongozi muongoza ibada ana mikeka ya betting inaning'inia mfukoni.
Nilipoona pastor analidwa na bodyguard huku akisema sisi tutalindwa na damu ya yesu nikajua hapa hakuna liwaloUzi maalumu kwa watu waliokuwa wanahudhuria nyumba za ibada na baaadaye kuacha, weka sababu yako hapa, we unayehudhuria tupe sababu ya kuhudhuria (achana na zile za dini yangu ni bora, na ya kweli kuliko zingine).
Mimi niliacha Kwenda kanisani baada ya mchungaji kutumia hela ya kanisa kununua magari yake binafsi, kila akija ibadani anakuja na gari inayofanana na suti aliyovaa, kama ni suti ya blue basi gari ya blue, kama nyeusi basi nyeusi, nyeupe, maroon, kijivu in short mchungaji alikuwa na gari ya kila rangi kulingana na nguo zake.
Wakati huo mimi natembea kwa miguu tena naambiwa toa ubarikiwe. Kubwa Zaidi, mchungaji alikuwa na nyumba ndogo, na baada ya kunogewa aliamua kuoa kabisa akawa na wake wawili jambo ambalo ni kinyume na kanuni za kikristo. Nikasema hapanaaaaaaaaa.Wewe je, kipi kilikusibu?
- Sababu nyingine nilisoma vitabu vingi ambavyo vimefanya nisitamani kabisaa kusikia mambo ya dini hata kidogo. Vitabu kama
- Toledot Yeshu
- The history of God
- Evolution of the idea of God. Na vingine vingi.
No 2 wewe utakuwa Pentecoste au KKKTMimi ni
1.Mavazi mafupi ya wanawake/ Mkahaba kanisani.
2.Mchungaji mwanamke.
3.Uchawi kanisani
4.ujio wa wajasiriamali wa kidini
MCHAWI NA MLOZI [/QUOTE]MCHAWI NA MLOZI MWEETangu Niko mdogo miaka kama mi5 kwenda sijawahi kwenda misikitini au Kanisani.
Naabudu ancestors wetu tu and I feel blessed
MamaneBaada ya kumuona kiongozi muongoza ibada ana mikeka ya betting inaning'inia mfukoni.
Logical non sequitur.Shetani ni kama huyu mleta mada. Ni shetani aliyekuja kwa ngozi ya kibinadamu!
Muslm ni mazombie,wale ni special case,ila taratibu wataanza kujielewa,mbaya zaidi huwa wanatishiwa kuuliwa wakitaka kumkana shetani wao ala..Mbona walioacha kuamini kuhusu dini wengi wao ni wakristo🤔.
Why not muslim???
Upo sahihi Kbsa mkuuKuna vitu ukitumia akili sana lazima vikushinde.
Mapenzi na Dini.
Hivi vinataka ujitoe ufahamu kwànza ndio utaendana navyo.