Nini kilikufanya ukaacha kwenda kuabudu kwenye nyumba ya ibada?

Ulitenda kosa gani my wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Screenshot_20240425-182937_2.jpg
 
Kuzingua nini hapo..
Mbona nyuzi za mashangazi zipo nyingi tu humu na hawajafungia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tatizo hii yako ilitafsirika kama biashara ya ngono.... Yaani kama unahitaji hii hapa njoo uchukue.
 
Ukitaka hoja huwezi kutetea hiki unachokidai sababu kinaenda kinyume na uhalisia.

Uwepo wa dini sahihi ni uwepo wa dharura yaani wa lazima. Ila kuhusu UKRISTO hata akili inakataa, sababu huyo Yesu ameondoka hakuacha UKRISTO bali yeye mwenyewe alikuwa ni MUISLAMU.
Islamic religion yenyew imetokea kwenye Christianity long time ago in 7th century na ni uyo uyo mtume Mohammed alieanzsha Uislamu through reading Christianity books na binam yke and by the way Mtume Mohammed alikua mfanyabiashara kabla ya kuanzsha io dini so kuanzsha uislam was a simple idea kw sab alikua na marafki wafanya biashara kutoka Europe so akaenda Italy by that time akajifunza then akarud Mecca this days known as Saudi Arabia na ndo apo alipoanzsha Islamic religion kwa kudai kua amepata Spiritual dream kuhus uislamu....by the way izo dini zote ni man made and kuhus Christianity aisee jinsi io dini ilivoanzshwa it's a long story....MSOME VITABU JAMANI✊️
 
Sisi tunaambiwa tumwombe Mungu, wao wanakuja kuchukua kwetu wakati ndiyo wako karibu zaidi na Mungu
 
Back
Top Bottom