MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,655
- 6,423
- Thread starter
- #41
Box lenye accessories za simu unayoitajiBox ni 20k kivp? Boksi tupu bila simu au
Box lenye accessories za simu unayoitajiBox ni 20k kivp? Boksi tupu bila simu au
Nna Redmi 13C nilinunua mwezi wa Tatu naona camera yake sio kama ya oppo niliyokua natumia.Nataka nirudi kwenye oppo itanigharimu bei gani(GB 256).Tunafanya Top Up Mkuu, karibu
Kinyume na hapo hapati simu eti?Sawa mkuu, subiri anifinyie kwa ndani, nitakuja kukuunga mkono mzee.
Unaitaji Oppo ipi mkuu, karibuNna Redmi 13C nilinunua mwezi wa Tatu naona camera yake sio kama ya oppo niliyokua natumia.Nataka nirudi kwenye oppo itanigharimu bei gani(GB 256).
Kinyume na hapo hapati simu eti?
650,000/= tajiri, karibuS21 utra na boksi lake nikikupa pixel 4a 5g natakiwa kuongeza sh ngapi.?
Kwahy nakuwa nimeiuza kwa laki moja, 😂 sawa mkuu650,000/= tajiri, karibu
Ndio mkuu, karibuKumbe kuna simu ya ndoto?
12 pro max inaendaje?Ndio mkuu, karibu
Izo kwa sasa hatuna mkuu, zipo 12 pro 2SIM {1 eSIM}12 pro max inaendaje?
Ntakuja mjini next weekend ntakutafuta.Unaitaji Oppo ipi mkuu, karibu
Sasa FWEDHA yangu inatokaje kizembe hivyo, mjini hapa akitaka kula changu nae aliwe, sio kuliwa tu anifurahishe, nifurahi, niinjoi.😂Nna Redmi 13C nilinunua mwezi wa Tatu naona camera yake sio kama ya oppo niliyokua natumia.Nataka nirudi kwenye oppo itanigharimu bei gani(GB 256).
Kinyume na hapo hapati simu eti?
Yaani imepita wiki moja tangu nikuuloze nikiwa na Galaxy A14 , 4GB RAM, 128 GB ambayo ina miezi michache tangu niinunue dukani.iPhone X 64GB clean zipo Dukani @380,000/= 💰
Zimebaki Chache
😀😃😄😁maisha hya lakini basiOppo A83 umeandika "No return"
Unamaanisha Nini?
No return😀😃😄😁maisha hya lakini basi
Karibu mkuuNtakuja mjini next weekend ntakutafuta.
Nilikujibu njoo dukani niicheki simu tajiri tuitathmini bei au unaweza kunitumia picha hapa/pm/WhatsApp maana miezi minne sio michache.Yaani imepita wiki moja tangu nikuuloze nikiwa na Galaxy A14 , 4GB RAM, 128 GB ambayo ina miezi michache tangu niinunue dukani.
Nahitaji Galaxy Note 10+ laini mbili, je niongezee kiasi gani?