Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,382
- 13,002
Nilimix nyuziWadudu wanaletewa na majiko ya umeme?
Nilimix nyuziWadudu wanaletewa na majiko ya umeme?
Karibu Kwa mchango wako,Nilimix nyuzi
Tunajibanabana kununua luku wapunguze bei za unit tutumie umeme 24/7Wanazima mitambo wakidai umeme ni mkubwa kuliko mahitaji na matumizi.
Hivi sasa, 5000 unapata unit 14pekee,maana hapo unit Moja ni sh 357Tunajibanabana kununua luku wapunguze bei za unit tutumie umeme 24/7
Hawa waliopo wengi wametokana na wizi wa kura.Umeme sasa umekuwa kama ni kitu ambacho ni anasa.Wazo. lako ni zuri ila tatizo ni hawa viongozi wetu watakubaliana nalo?.Hata Internet yenyewe ni gharama
Hata wakifanya sh 50 bado unit zitapatikana nyingiHivi sasa, 5000 unapata unit 14pekee,maana hapo unit Moja ni sh 357
Nimependekeza,
Unit moja ishuke Hadi sh 10 Kwa unit, Ili Ukiwa na sh 5000, upate unit 500.
Unit 500utazimaliza lini hata ukitimia jiko la umeme?
Sh 10 per unit imekaa vyema,Hata wakifanya sh 50 bado unit zitapatikana nyingi
Ila mkuu una masikhara wewe yaani shilingi 10 kabisa? Hii hii ya madafu?Bei ishuke kuwa 1unit =sh 10.
SawsHawa waliopo wengi wametokana na wizi wa kura.
Hilo litawezekana pekee ikiwa Sanduku la kura litaheshimiwa.
Maandamano kudai tume HURU ya UCHAGUZI na KATIBA mpya kabla ya Uchaguzi wowote yaendelee🙏
Unit 400 unaweza tumia jiko dogo kwa mwezi mzimaSh 10 per unit imekaa vyema,
Maana jiko la umeme linakula unit Si mchezo.
Kuna uzi nomepost. Kwa sasa ni 360. Iwe 150 hadi 200.Karibu Kwa mchango wako,
Mimi nimependekeza,
1unit iwe sh 10, Ili Ukiwa na sh 5000upate unit 500.
Hapo wananchi wengi wataweza kupikia majiko ya umeme, tofauti na sasa, sh 5000 unapata unit 14ekee.
Ndio inawezekana kabisa.Ila mkuu una masikhara wewe yaani shilingi 10 kabisa? Hii hii ya madafu?
Wana nufaika na Umaskini wa Watanzania.Yaan kwetu kutumia vitu au kunufaika na vya kwetu ni kama laana,ukitulliza akili kama watu wameamua kutukomoa vile
Anzia
1;MBs
2;Gas
3;Luku
Unaona kabisa viongozi wanaamini hivi vikiwa cheap watu watafaidi
Inawezekana kabisa, ukawasha na fridge, na ac ndogo,Unit 400 unaweza tumia jiko dogo kwa mwezi mzima
Hata sh. 50 mkuu itapendeza tu ili shirika nalo lipate faida, ingawa itaishia kumlipa Februari kamba za mkonge! Wanasema familia ya watu wanne wakitumia umeme kupikia watatumia unit 1.2 sasa huoni hata wakifanya sh. 50 tutamudu?Ndio inawezekana kabisa.
1 unit iwe sh 10.
Ili Ukiwa na sh 5,000 upate unit 500.
Shida sio chama ila watendaji, hata kikija kingine bila kutumia ubongo bado tutatembea kwa mateso.Inawezekana kabisa, ukawasha na fridge, na ac ndogo,
Maisha yakawa poa kabisa.
Hayo yanawezekana tu ikiwa tutaiondosha CCM madarakani.
Hiyo Bado kubwa,Kuna uzi nomepost. Kwa sasa ni 360. Iwe 150 hadi 200.