- Thread starter
- #81
Nguzo Huwa zinanunuliwa miti yake mafinga, zinapigwa stika ya south Afrika, tanesco wanazinunua Kwa Bei ya sa, pesa zinaingia mifukoni mwa wakubwa.TANESCO nao wasanii...Kijijini nguzo moja ni Laki 5. na kuunganisha ni 27000
Yaani ni miti aina gani?
Wizi na RUSHWA ndo chanzo Cha gharama kubwa ya uendeshaji na HASARA tanesco tunaongezewa Bei ya luku.