Mkuu vumilia tu,mwana kulitaka mwana kulipata.
Mi nilikua nae km huyo.
Nikitoka job sa 5 usiku
Nikawa kuepusha mambo napita pub piga moja mbili ili nikirudi kalala.
Aah siku nikabanishwa na polisi mtaani nikalazwa selo
Mara ya pili tena selo.
Yote ni kumkwepa yeye tu.
Nikaona hapa ntakufa...
Nilitoka mbali huko,
mshenzi mmoja tumetoka wote home,mama yangu anapika kuku wa kienyeji.
Hatukurudi.
Hawa sijui polisi waliandikisha pale fire tumekufa.
Yaani mochwari hii hapa.
Dah malaika wapo tu,doctor mmoja muhindi ndio akasema wazima hawa piga drip.
Siku3 tunazinduka ni km mazingaombwe...
Kuna tatizo gani? Wanawake karibia wote wamezaa au kutoa mimba.
Nyie ndo mnapiga magoti kuvalisha Pete huku watu washatumia hiyo malighafi miaka na miaka.
Mpende mamaako basi.
Huo muda kuanza kutuma hela kwa amber ruty sijui mtu anatoa wapi?
Wapambane tu na hali zao.
Huku tunahangaika na Hidaya
Haya mengine itakua mwamvua ama nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.