Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 2,414
- 4,778
Video ya wimbo gani?ni msanii anaeibukia au sjaelewa?Lakini ukitaka ukweli, Amberluti hakua maarufu kivile sema ni ile video. Kua maarufu haimaanishi ndo yuko na hela
Video ya wimbo gani?ni msanii anaeibukia au sjaelewa?Lakini ukitaka ukweli, Amberluti hakua maarufu kivile sema ni ile video. Kua maarufu haimaanishi ndo yuko na hela
Umeandika kwa uchungu sana.Umeguswa changiq, haina haja ya kumkandia, sasa huyu amber ruti ana dalili ya ukwasi gani masikini, ye mwenyewe alikuwa anagawa rinda ili maisha yaende. Japo pia siwezi mchangia, ila usimkamdie.
Kuna wale mashauzi, mara natumia milioni 20 kwa wiki, kwa wale wakandie, siwezi kuchanga.
Kuna mmoja kaenda kufanya operation ya kuongeza tako na kupunguza tumbo. kaKUFIA huko huko turkey, nasikia familia inataka mchango wa dola 4500 mwili urudi, hapa sina unafiki siwezi kuchanga.
Kifupi mie KISENTI changu kinatoka kwa mtu mwenye uhitaji kweli kweli, sio hawa miyeyusho.
Hahaha mkuu acha kushupaza kichwa basiVideo ya wimbo gani?ni msanii anaeibukia au sjaelewa?
Hiki sio kipigo hiki wazee!??Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
Nami naona ni kipigo hiki ..Huyu mtu mbona ni kama kapigika?Kama ni ajali basi ilikuwa mbaya sana
Maskini😓😓Kampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
Jifunze kuandika, Waambie wafungHata utukane vipi, haibadilishi kitu
Huto tu app twa nbc tumeloaaa njaa kali mporipori
Wapo watakaotumaHuo muda kuanza kutuma hela kwa amber ruty sijui mtu anatoa wapi?
Wapambane tu na hali zao.
Huku tunahangaika na Hidaya
Haya mengine itakua mwamvua ama nini?
Michezo ya amber rutyKampeni za kuchangishana zimekua nyingi sana, wakiwa wazima mpaka wanajirekodi wakilawitiana, sasahivi ni kutia huruma tuu, watu maarufu wanapenda sana kuchangiwa na walala hoi
Utachangia?TUNA MSUBIRI UWOYA ANAYE OGEA MAZIWA
Duhhhh wamempa ndoige za kushatroo!
Ni kwa sababu tu watu wasio maarufu wakipata matatizo hutajua. Unaweza kupata matatizo wewe na huyo Uwoya akaishi mpaka 90s akafa kiulaini kwa uzee. Acha mawazo ya kipuuzi.TUNA MSUBIRI UWOYA ANAYE OGEA MAZIWA
Michezo ya Amberutty...Duhhhh wamempa ndoige za kushatroo!
Wishing her a quick recovery Amina
Mi nataka nifahamu ukweli kwanza!? Hiki ni kipigoDuhhhh wamempa ndoige za kushatroo!
Wishing her a quick recovery Amina
Watume hamna aliyewakataza.Jifunze kuandika, Waambie wafung
Wapo watakaotuma