Tutakuja kuwa na jamii ya ajabu sana in futureNao wapo kwenye biashara baada ya kuona watu wapo kasi kwenda ughaibuni!
Any medical tour to uturuki inayohusu upasuaji hutopata kibali cha kusafiri UK. ila ukienda kimpango wako it's up to you. Usiropoke usiyoyajua. Unaishi wapi UK?
We wa wapi? Turkey sio England ni linchi la ajabu tu.acha uongo wewe....
nchi za dunia ya kwanza hazitawaliwi na marufuku za RPC Muliro...
Mwingereza anaetaka kwenda popote kufanyiwa chochote anakwenda, yatakayomfika huko shauri yake.... Raia wa UK umpige marufuku kufanya anachofanya akiwa kwenye safari zake nje ya nchi ??? Are you a dope fiend ?...Yani mi diaspora yetu imekalia kufagia ma vyoo ya wazungu, haijui kusoma wala kuandika wala kufuatilia news za huko, hawajui chochote kinachoendelea nchi wanazoishi ...masikini ya mungu
Maombi yanahitajika!Tutakuja kuwa na jamii ya ajabu sana in future
Safety is the first reason kama unaenda kwaajili ya matibabu popote pale.Unapotaka kusafiri kutoka UK kwenda Uturuki kuongeza makalio unamwomba nani kibali cha safari ya kuingia Uturuki, serikali ya UK au serikali ya Uturuki ?
Na unaposema hutapaka kibali unless unaenda "kimpango wako," ni kwa nini uombe kibali kama unaruhusiwa kwenda "kimpango wako" ??????
Sijui kwenye mazishi yake watasemaje chanzo cha kifo cha marehemu.R.i.P Classmate.....😥
Tako lime fanya aibu kwenye msiba wako..🤣
Jambo zuri sana hili,litawafunza wengi Wanawake wenye akili za pimbi kama huyo mjinga aliyekufa.Mdada wa kitanzania anaejulikana kwa jina la shufaa kitwana tembo amefariki siku ya jana nchini Uturuki wakati anafanyiwa operesheni ya kuongeza makalio na kupunguza tumbo. Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe. Pole ziwafikie familia ya mareemu na marafiki.View attachment 2980499View attachment 2980499
nadhani hapa ni upeo tu wa kuwaza aina ya jamii tunayoutaka kwa Tanzania yetu, maombi ni muhimu lakini Mungu ametupa utashi wankufanya maamuziMaombi yanahitajika!
Ni ujinga wa hali ya juu, tuwafunze watoto wetu kujikubali na kujiaminiSijui kwenye mazishi yake watasemaje chanzo cha kifo cha marehemu.
Hivi kabla ya operation si huwa wanajua kuna uwezekano wa kufa kama mambo yataenda tofauti? Kama hilo lipo wazi wanapoenda waende na bajeti kubwa zaidi itakayomudu kusafirisha mwili endapo kama kifo kitatokea ili kuepusha usumbufu.
Ni ujinga hasa, tatizo ni tamaa za kijinga.Ni ujinga wa hali ya juu, tuwafunze watoto wetu kujikubali na kujiamini
Labda hiki kifo kitawapa alertNi ujinga hasa, tatizo ni tamaa za kijinga.
Hawajifunzi wakishawaza hayo makalio yatawapa umaarufu na fedha akili zinagoma kuona hatari iliyopo mbele yao.Labda hiki kifo kitawapa alert
Mi nakupenda hivo hivo...nipokeeApumzike mahali alipojichagulia,
Hii YOTE ili kuwafurahisha wanaume au Kuna kingine??
Wanaume wanapenda sana wanawake wenye matako that's why sisi tuliopigwa pasi tunakosa utulivu 😭
Kwakweli daah Ni hatariMasponsor wanatuchanganya wadada
Mungu halisi ni yupi mkuu???? ufafanuzi tafadhali.Acha kujihesabia haki,ninyi watu mliopandikizwa hizi dini za wazungu na waarabu mnapenda sana kujiona ni wema na huyo mungu wenu kumbe ni ubatili tu,mungu wa biblia na Qur'an ni tafauti sana na Mungu halisi,endelea kujilisha upepo
Haaaahaaaa ila we jamaaa kila marehemu ni classmate wako. Hata awe na mwezi mmoja ni classmate wako.R.i.P Classmate.....😥
Tako lime fanya aibu kwenye msiba wako..🤣