Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Tu
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Naoa tu hivyo hivyo hawana tofauti na ambao hawajazaa mkuu.
 
Fatilia watu wote wakubwa na waliofanikiwa ndoa zao

Except Mkapa tu na yeye ni vile hakuwa na mbegu

Ila the rest walioa fresh girl wabichi kabisa.

Ni utoto sana kuingia kwenye ndoa na demu kashafumuliwa malinda yote hana duh so sad!!!
Kwamba mkspa hana nini
 
Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili

Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu

Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!

Niilchogundua wanaume wa jf wanapenda sana kupewa attention Yani wanajua wakiazisha mada za kupondawanawake watapata comment nyiingi
na je pia umegundua nini baada ya kua single mazeri
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kuna tatizo gani? Wanawake karibia wote wamezaa au kutoa mimba.
Nyie ndo mnapiga magoti kuvalisha Pete huku watu washatumia hiyo malighafi miaka na miaka.

Mpende mamaako basi.
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!


Kupendacho roho hula nyama mbichi!

Lakini pia Kwenye kuoa huwa na mambo mengi sana.

Wanaume wengi huoa kwa shinikizo la kichawi
kwa kurogwa na ushirikina.

Wewe mwenyewe mleta mada ukijichanganya tu unaweza kujikuta umefanya maamuzi ambayo hukuyatarajia.
 
Kwamba mwanamke aliyezaa kabla ya ndoa hafai sio? Hivi kati ya kuoa mwanamke aliyezaa na anayekuheshimu,na kuoa mwanamke ambaye hajazaa na akakuzalia mtoto wa nje ndani ya ndoa yako,kipi ni Bora?
Bora kuoa mwanamke ambaye hajazaa,na akuheshimu na na asikuzalie mtoto nje ya ndoa
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kumekuchaaa 😂😂😂😂😂
 
Uhalisia ni kwamba hawa masingle maza wanaolewa sana kuliko hata vigoli maana akikukamata hutoki..lakini kuanza match 1:0 ni uwaki vijana msijichanganye
Mkuu wanaroga sana awa Single mother. Kuna mdau alisema akijua mtoto wake ana mahusiano na Mwanamke mwenye mtoto atafanya juuchini avenue mahusiano yao bola wao kujua.
 
Back
Top Bottom