Baadhi ya sababu za kukataa kuoa, hoja zangu ni katika mtazamo wa kukataa kuuishi Ujinga na Upumbavu

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,507
11,318
Shalom,

Kama mdau wenu mimi Wadiz naandika yafuatayo katika Hali ambayo naamini ndiyo ipasayo katika hoja mbalimbali zenye mashiko na kulinda uhalali wa baadhi ya wenye kukataa kuoa.

Na katika hili sipo hapa kusema msioe bali iwe ni afya kujadili na kutambua haki ya kila mtu kupanga na kuchagua atakalo katika namna bora na utashi makini wenye kuangazia hoja za msingi.

Kuoa na kuolewa ni kusudi na kusudi hilo yapaswa kubebwa katika dhana iliyojaa uweledi

Hizi ni baadhi ya fikra hai na thabiti katika kukataa kuoa japo sipingi wengine kuoa. Ukikubali hoja walau 5 kati ya hizi 17 basi una ufahamu ya kwamba kuoa ni kujivika ujinga na upumbavu.

Hivyo maamuzi ya kukubali ujinga na upumbavu ni hiari haipaswi kuwa shuruti.

1.Mwanaume hana uhakika wa kuwa juu muda wote na mwanamke anapenda kuzidiwa hataki kufanana ama kuwa sawa.
2. Wanawake ni viraka katika mahusiano wanakaa popote.
3. Wanawake hawana urafiki wa kudumu
4. Wanaweka hawatumii akili kwenye mapenzi
5. Wanawake ni viumbe wapenda ushindani na wanapenda kushinda.
Wanawake hawanaga hali ya kujizatiti.
6. Wanawake ni viumbe wa majira au msimu
7. Wanawake wanajua mwanzo wa safari ila hawajuagi wanakoenda.
8. Wanawake hawana akili ya kujua kusudi la Mungu katika ndoa.
9. Wanawake siku ya kuolewa wanaona wamepata mafanikio wakati ndio kwanza safari ya maisha inaanza.
10. Ndoa nyingi wanaume wameoa maadui zao.
11. Mwanamke ni kiumbe wa masengenyo.
12. Wanawake wengi hawatunzi Siri za ndoa zao. Na hawana uwezo wa kutunza siri
13. Mwanamke hupendezwa na kitu kisicho cha mazoea kwake hivyo si watu wenye kujenga urafiki wa kudumu.
14. Wanawake wengi kusudi lao la ndoa ni kupata watoto, kupata hifadhi ya kuishi na kuishi huko wapate mlo na maisha mazuri.
15. Mwanamke amepewa akili za kitoto kwa hio tarajia maajabu siku yoyote.
16. Mwanamke ni kiumbe mwenye nafsi ya viumbe kama nyoka na Simba jike.
17. Wanawake hawajui kuhusu kuanzisha ukoo na makazi mapya hivyo hawaishi kusudi la kudumu katika ndoa.

Yapo mengi sana sitaki kuwachosha nikibarikiwa nguvu ya fikra na maarifa ntaendelea na mengineyo

Ni hayo tu

Wadiz
 
Wengi wanaofanana na wewe wakifika 50's wanaleft group. Uzalendo unawashinda wanaoa.
Such cases ni udhihirisho wa huo ujinga na upumbavu. Exploit ur brain potential and you will purely settle with our perspective ya kwamba kuoa ni ujinga na upumbavu
 
Shalom,

Kama mdau wenu mimi Wadiz naandika yafuatayo katika Hali ambayo naamini ndiyo ipasayo katika hoja mbalimbali zenye mashiko na kulinda uhalali wa baadhi ya wenye kukataa kuoa.

Na katika hili sipo hapa kusema msioe bali iwe ni afya kujadili na kutambua haki ya kila mtu kupanga na kuchagua atakalo katika namna bora na utashi makini wenye kuangazia hoja za msingi.

Kuoa na kuolewa ni kusudi na kusudi hilo yapaswa kubebwa katika dhana iliyojaa uweledi

Hizi ni baadhi ya fikra hai na thabiti katika kukataa kuoa japo sipingi wengine kuoa. Ukikubali hoja walau 5 kati ya hizi 17 basi una ufahamu ya kwamba kuoa ni kujivika ujinga na upumbavu.

Hivyo maamuzi ya kukubali ujinga na upumbavu ni hiari haipaswi kuwa shuruti.

1.Mwanaume hana uhakika wa kuwa juu muda wote na mwanamke anapenda kuzidiwa hataki kufanana ama kuwa sawa.
2. Wanawake ni viraka katika mahusiano wanakaa popote.
3. Wanawake hawana urafiki wa kudumu
4. Wanaweka hawatumii akili kwenye mapenzi
5. Wanawake ni viumbe wapenda ushindani na wanapenda kushinda.
Wanawake hawanaga hali ya kujizatiti.
6. Wanawake ni viumbe wa majira au msimu
7. Wanawake wanajua mwanzo wa safari ila hawajuagi wanakoenda.
8. Wanawake hawana akili ya kujua kusudi la Mungu katika ndoa.
9. Wanawake siku ya kuolewa wanaona wamepata mafanikio wakati ndio kwanza safari ya maisha inaanza.
10. Ndoa nyingi wanaume wameoa maadui zao.
11. Mwanamke ni kiumbe wa masengenyo.
12. Wanawake wengi hawatunzi Siri za ndoa zao. Na hawana uwezo wa kutunza siri
13. Mwanamke hupendezwa na kitu kisicho cha mazoea kwake hivyo si watu wenye kujenga urafiki wa kudumu.
14. Wanawake wengi kusudi lao la ndoa ni kupata watoto, kupata hifadhi ya kuishi na kuishi huko wapate mlo na maisha mazuri.
15. Mwanamke amepewa akili za kitoto kwa hio tarajia maajabu siku yoyote.
16. Mwanamke ni kiumbe mwenye nafsi ya viumbe kama nyoka na Simba jike.
17. Wanawake hawajui kuhusu kuanzisha ukoo na makazi mapya hivyo hawaishi kusudi la kudumu katika ndoa.

Yapo mengi sana sitaki kuwachosha nikibarikiwa nguvu ya fikra na maarifa ntaendelea na mengineyo

Ni hayo tu

Wadiz
Mkuu kama unakubaliana na hoja ya kuzaliana sio ujinga na upumbavu why kuoa/kuolewa ambapo ndo matokeo ya kuzaliana uwe ujinga na upumbavu?? Hoja zako Bado hazina tafiti kuthibitisha ujinga na upumbavu katika kuoa au kuolewa
 
Back
Top Bottom