Ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anaweza kumwacha handsome man. Utamkwaza atakaa pembeni lakini baada ya muda mfupi atakuhitaji tena.

Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Unawazungumzia wanawake au wasichana?

Alaf kwa kukukadiria, umri wako ni below 25
 
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .

Inategemea mliachanaje?
Mwanaume mwingine ako na misimamo mikali , ukimkosea heshima pakubwa kwa matusi mazito na kumaliza Maneno yote bila kumstahi hakunali kukurudia.
Anakukinahi mazima hata ukamroge maana wanaume wengine nao hawaishigi kizembeze.
Wanajua kuchukua tahadhari za mara kwa mara.

Kwenye mahusiano respect is fundamental.
 
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .


Sasa wakati wa kumrudia ukikuta kuna mwanamke mwenzio ameshachukua nafasi inakuwaje?
Ulijitia wazimu wa kuondoka sababu umekuta meseji ya mchepuko Halafu unajitoa ufahamu kutaka kurejea?
Maana umejifunza hutashika simu yake tena na kupekua?
Ni afadhali pale mwanzoni kutumia hekima kuliko kujitia wazimu.
 
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .


Wanaume wenyewe unaambiwa anapenda siku 90 za Mwanzo tu baada ya hapo inabaki mazoea na heshima tu baasi!

Ndio maana huwa nawaambia wanawake usijiminishe kuwa Eti unapendwa kiivyooo 🤣🤣🤣
Eti oooh nimemzalia watoto,
Umempa Lis au mmezaa wote?!

Swala la watoto wala halihusiani.

Mwanamke ukikosa hekima ukajitia upumbavu mume ukamchosha
swala la watoto Halina nafasi yoyote ya kukufanya akupende ,
Halina uhusiano .
Utaondoka , Mwanaume mwingine anakwambia chagua ukitaka kuondoka nao Sawa tu ilimradi usinitake hata 100 ya matumizi, ukitaka waache nitawalea na kuwasomesha.

Kazi ni kwako.

Basi hapo ndipo mwanamke utashushuka 😆😆

Utajibaraguza weee! 😅
 
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .

Maskini hapendagi.
 
Back
Top Bottom