Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,120
- 80,041
Mie siwezi kumweleza mtu kama huyoLabda umwelekeze wewe mkuu….aseme tu kakutana na limbukeni bas
Mie siwezi kumweleza mtu kama huyoLabda umwelekeze wewe mkuu….aseme tu kakutana na limbukeni bas
Imagine mwanaume anajisifia handsomeMada za watoto wa 2000 hizi, wanawake wenye akili zetu timamu hata msamiati handsome tulishausahau!
Inategemea na ntu na ntuInategemea .....
👊Mie siwezi kumweleza mtu kama huyo
Angetuwekea picha hapo ingesaidia sanaWakuu hivi kwani huyo handsome ndo yupoje?
Mara ya mwisho kusikia mambo ya u handsome ilikua 1997 sekondari
Hahahaa. Handsome huyo ndo kawaza mpaka hapo. 😅😅😅Maombi? We hamnazo kweli
Kabisa. 😀Angetuwekea picha hapo ingesaidia sana
Unawazungumzia wanawake au wasichana?Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Kwanza mwanaume kuanza kuongelea na kujisifia uhandsome ni dalili mbaya.Hahahaa. Handsome huyo ndo kawaza mpaka hapo. 😅😅😅
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .
Hello morning 🌞!
Mimi ni miongoni mwa wanaume ambao nawasema vibaya wanawake mitandaoni nikiwatuhumu kuwa wanawake hawana upendo wa kweli. Mapenzi wameyageuza kama ajira.
Lakini utafiti wangu wa hivi karibuni nimebaini kuwa mwanaume handsome hawezi kuachwa na mwanamke hata amkwaze kwa kiwango gani.
Mwanamke akikwazwa na mpenzi wake ambaye ni handsome anaweza kufuta namba yake na baada ya wiki tu akahangahika kuitafuta kama amepoteza roho yake.
Najua ma ugly mtanimaind ila huo ndio ukweli. Fanyeni maombi muzae watoto ma handsome.
Ma ugly wamegeuzwa 🏧 na wake zao. Sisi ma handsome tunahonga kama sehemu tu ya majukumu au kuwasaidia wenzetu .