Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 937
- 3,194
Pole sana mkuu, yote ni mapito na ni mitihani ya kutufanya tushukuru na kufurahia uhai tulionaoHaha kaka kulingana na hali niliokuwa nayo maticha walinihurumia maana nilikuwa sijafanya mitihani yote, kwahyi wapo baadhi nilipewa max za bure, wengine walinipa mitihani simple kivyangu tu.