Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,312
- 6,824
Mimi nliwahi nusurika kuzama baharini, pale Coco beach.
Kipindi nasoma nna kama miaka 17
niliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo, usawa wa magoti sababu Sina nguvu maji yakanizidi nguvu yananisukuma kwenda ndani.
Nikitaka kurudi ufuoni Yale mawimbi yanayorudi toka ufuoni (ufukweni) yananisukuma na kunirudisha kwenda ndani zaidi nlipoteza nguvu sababu ya kushindwa kupumua vema, nikajikuta nimekaa kitako chini ya maji.
Akili ikaniambia unaenda kufa Binti fumbua macho utoke nje sio mbali sana maana nilipoteza uelekeo sijui niende kulia au kushoto, sijui ufuoni kuko upanda gani tena nikichelewa nitazimia Kwa kukosa pumzi nilikuea naenda huku najiona, najiambia ndio basi Tena.
Nlivyofumbua macho naona upande mmoja uko deep giza kunatisha, upande wa pili angalau Kuna mwangaza Kwa juu nikaanza kutambaa Kwa kushikilia miamba chini maana nikisimama nguvu Sina wimbi litaanirudisha Tena kulekule.
Hatimaye nikatokea nje huku nimechubuliwa miguu inavuja damu. Mpaka Leo sigusi kamwe maji.
Kama huna nguvu usiingie kwenye maji.
Kipindi nasoma nna kama miaka 17
niliingia na wenzangu kwenye maji ila upande wangu sikushika boya nliingia kama nlivyo, usawa wa magoti sababu Sina nguvu maji yakanizidi nguvu yananisukuma kwenda ndani.
Nikitaka kurudi ufuoni Yale mawimbi yanayorudi toka ufuoni (ufukweni) yananisukuma na kunirudisha kwenda ndani zaidi nlipoteza nguvu sababu ya kushindwa kupumua vema, nikajikuta nimekaa kitako chini ya maji.
Akili ikaniambia unaenda kufa Binti fumbua macho utoke nje sio mbali sana maana nilipoteza uelekeo sijui niende kulia au kushoto, sijui ufuoni kuko upanda gani tena nikichelewa nitazimia Kwa kukosa pumzi nilikuea naenda huku najiona, najiambia ndio basi Tena.
Nlivyofumbua macho naona upande mmoja uko deep giza kunatisha, upande wa pili angalau Kuna mwangaza Kwa juu nikaanza kutambaa Kwa kushikilia miamba chini maana nikisimama nguvu Sina wimbi litaanirudisha Tena kulekule.
Hatimaye nikatokea nje huku nimechubuliwa miguu inavuja damu. Mpaka Leo sigusi kamwe maji.
Kama huna nguvu usiingie kwenye maji.