Ulishawahi kunusurika kifo? Ulijisikiaje vile unaona kabisa unaondoka

aah nmekumbuka mbali sana nlipoona this thread

nilikua nmekwenda kuogerea back then nikiwa na like 15 years old tu , basi this side tuko girls, ile ingine boys, basi kulikua na michezo mingi sana kwa maji. sikua najua kuogelea but si unajua tena utoto kujifanya najua.

mchezo umenoga aah girls tulivo wajinga boys wakatuita, kumbe side yao kuna maji mengi kiasi, aki venye tunaendelea kuswim kuna dem akanipush side ingine
iko na more waters , nikajaribu kurudi juu nashindwa, nilistruggle sana hadi nikaishiwa nguvu kabisa niko nazidi kuzama chini, nkasema im dying leo, siezi lia wala kupiga kelele ndani ya maji

ghafla nikaona mtu mmoja kaingia hadi chini kabisa nilikofika akanishika akanivuta juu, kifupi i didnt know what happened next cas wanasema nilifaint, kuamka niko hospital, nilishkuru sana

imagine kumbe aloniokoa ni mtu tu mbaba alikua ako busy na mambo yake, akaona vigirls na viboys vinapiga kelele kwa swiming na hakuna mtu mkubwa ndo akajirusha kwa maji akiwa amevaa smart kabisa sa suit but hakujali , akawafokea mnashindwa kuokoa mwenzenu anazama, akifa? ndio yeye akajirusha kuniokoa

sadly sikuwahi mjua wala kumuona after, niliulizia sana na mom pia alitaka amjue amshukuru, but everyone anasema was just a stranger wala hata hawaelewi alitokea wapi.

another sad story

same place, same swiming baada ya 1 week wakafa 3 boys na walizama hadi chini, na wamekuja kukutwa after 3 hours baada ya mmoja kuja kuitwa na mother akr waondoke anamtafta hamuoni na hao friends wake

hadi leo sijawah sahau
 
I am very sorry my dr..
aah nmekumbuka mbali sana nlipoona this thread

nilikua nmekwenda kuogerea back then nikiwa na like 15 years old tu , basi this side tuko girls, ile ingine boys, basi kulikua na michezo mingi sana kwa maji. sikua najua kuogelea but si unajua tena utoto kujifanya najua.

mchezo umenoga aah girls tulivo wajinga boys wakatuita, kumbe side yao kuna maji mengi kiasi, aki venye tunaendelea kuswim kuna dem akanipush side ingine
iko na more waters , nikajaribu kurudi juu nashindwa, nilistruggle sana hadi nikaishiwa nguvu kabisa niko nazidi kuzama chini, nkasema im dying leo, siezi lia wala kupiga kelele ndani ya maji

ghafla nikaona mtu mmoja kaingia hadi chini kabisa nilikofika akanishika akanivuta juu, kifupi i didnt know what happened next cas wanasema nilifaint, kuamka niko hospital, nilishkuru sana

imagine kumbe aloniokoa ni mtu tu mbaba alikua ako busy na mambo yake, akaona vigirls na viboys vinapigavkelele kwa swiming na hakuna mtu mkubwa ndo akajirusha kwa maji akiwa amevaa smart kabisa sa suit but hakujali akawafokea mnaagindwa kuokoa mwenzenu anazama, akifa? ndio yeye akajirusha kuniokoa

sadly sikuwahi mjua wala kumuona after, niliulizia sana na mom pia alitaka amjue amshukuru, but everyone anasema was just a stranger wala hata hawaelewi alitokea wapi.

another sad story

same place, same swiming baada ya 1 week wakafa 3 boys na walizama hadi chini, na wamekuja kukutwa after 3 hours baada ya mmoja kuja kuitwa na mother akr waondoke anamtafta hamuoni na hao friends wake

hadi leo sijawah sahau
 
Enzi hizo kijijini nyumba zinaezekwa nyasi. Kusikia mji fulani umeungua kwa moto ilikua kawaida sana, nikiwa na miaka kama 4 hivi na mdogo angu anaenifuata, Siku hiyo tuliachwa wenyewe nyumbani mida ya jioni. Tulikua tumekaa zetu ndani hatuna habari, mara tukaanza kuona kama jua limewaka sana kumbe nyumba imakata moto b'n, sie tukaendelea zetu kucheza tukifahamu ni jua limekua kali kwa siku hiyo. Kwa bahati nzuri kuna mama jirani alikua anatoka kusaga mashineni akaona ule moto akaanza kupiga yowe na kuja mbio kuangalia, kufika akazama ndani na kutukuta tumelala zetu tunaliangalia paa na kushangaa jinsi jua lilivyo kali, ndio kutushika na kutuburuta nje chap. Mungu mkubwa tulitoka salama kabisa bila jeraha lolote la moto, bila yule mama nadhani tungekua mishkaki ile siku
Mlikua molofa "kweri kweri" in JPM voice!!!
 
Mwezi wa 12 nilikuwa likizo maskani.Ghafla usiku nikiwa nimelala nikahisi pua na mdomo havifanyi kazi kule kuhangaika nilisimama, wima nikapita na kaneti.Muungurumo nilioutoa nyumba nzima waliamka .Nikawa nalala kwenye kochi tu.Kama ndio roho huwa inatoka vile.Kazi ipo.
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯DadekπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lingekufa jitu.. ule mlio nahisi ulimshtua hadi huyo mtoa roho
 
Nliparamiwa na gari nikarushwa mbali kinoma waliokua karibu wakawa wanasema "huyu ashakufa" Mimi nkawa nawaskia lkn kujibu siwezi kunyanyuka siwezii nikawaza huenda kwel nimekufa sema sijui, nlikuja kupata fahamu baada ya masaaa kadhaaa nakuta kila Dr anasema lake huyu nyuzi mwingine X ray
Daaah nimecheka mkuu hiyo kauli yako ya kuparamiwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Pole sana mkuu Mungu ni mwema...
Naomba niulize ilikua kipindi gani cha mama samia au..?
 
Mimi niseme tu namshukuru MUNGU kwa zaidi ya second chances anazo nipa, nimechomoka ktk ajali nyingi na kuwa ktk sintofahamu nyingi za kiimani, uchawi , vurugu mechi nyingi. matukio ni mengi ya kuogofya, lkn yale machache yasio amsha memories mbaya nitashare nanyi kama ifutavyo.

1. Kuna siku,nimetoka zangu kuzurula usiku. Kijana wa watu single, sina majukum sio mtu wa club wala pombe but i loved kuwa road night, music , sauti ya upepo nikishusha viooo vya gari ( Nahisi Raha). Zaidi ya yote ni kuomba ktk gariz una drive unazunguka DSM Ktk huku unaomba, nalihisi kuwa connected sana na MUNGU.

Siku ya mkasa ilikuwa ni ligi na Magari ya magazeti, kwa mara ya kwanza nakutana nayo usiku, sifa zao ngoja nizione ni za kweli??

Jamaa walikuwa kama watatu au wanne, nikaunga nao. Kumbe wao wanatabia za kubeti nani atawahi kuvuka point fulani. Nimeenda nao fresh kabisa, niko mkiani au akizembea namuacha mmoja wao.

Jamaa wakafanya ni personal sasa. Kuna mmoja akiwa mbele yangu, akatoa ishara ya ku overtake lori la mbele. Kosa langu lilikuwa kutembea na macho ya dereva mwenzangu, kumbe yeye ameshaikadiliq lori linalokuja atakuwa amesha rudi ktk site before kukutana nalo uso kwa uso.

Ametoka, nimetoka naye ( ligi). Ile anarudi tu, ghafla naona lori hilo mbele ikiwa lile ninalo overtake sija limaliza bado. So kushoto lori, Kulia ni unaingia darajani, mbele Lori, ni MUNGU alinitoa hapo bila mchubuko wa gari wala mwili.

MUNGU tu connect wote akili, mimi nikajikuta nimekaa ktk mstari mweupe wa kati ( wa kutengesha Lane). Kila lori likabana upande wa kushot ktk njano, nikwa Sandwiched. Yaan niki kata hata kidgo nakutana na Lori.
Hapo ziliembea honiiiiii tuuuuu.

Nilivuka na kumshukuru MUNGU
Nusu nusu wakufilimbe ulembe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Nilishafariki na nahisi sasa hivi natumia bonus tu.

Nilikuwa mkoa wa KAGERA, wilaya BUKOBA maeneo ya kwa KAGAMBO hii barabara ni nyembamba yenye matumizi makubwa mno. Nilipata ajali ya pikipiki ilinivaa mwilini kwa speed ya kimbunga HIDAYA nilipokuwa nikijaribu kuvuka kwa miguu, nilianguka chini na kutoa shahada pale pale. (NILIPONA)


2.Nahisi moyo wangu unachangamoto.

Ni mara kadhaa nikiwa usingizi nahisi kukosa pumzi , kuishiwa nguvu na maumivu makali ya moyo kitu pekee kinachobaki kufanya kazi ni akili tu (ubongo) mfano mzuri mtu aliepooza. (Ikitokea hivi natamka shahada). Kuamka hapo ni mchakato wa akili usiohitaji matumizi ya nguvu.
(Hii hutokea walau mara moja kwa miezi miwili ama mitatu)

3. Kupaliwa na mate usingizini (sikia kwa jirani) . Hii pia hunikuta mara kadhaa kwa kipindi cha miezi miwili ama mitatu. Mate yanafika kwenye koo la hewa wakati ambao mwili hauko active. Natoa macho nakuhisi mtoa roho yupo mlangoni.






Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Weee ni wewe na shahada tuuu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Bila ya hivo mkuu ungeisoma namba kitambo sana...
Unatoaga shahada mapema ukijua hapo utoboi nini ?
 
Kuna siku chuo nililala njaa na kesho yake hadi mchana nikawa sijapata mazingira ya menyu. Mfukoni nilikuwa na weed tu nikaigonga ili nilale nisubri mkeka wangu utiki nikale. Aisee nilivomaliza ile stick nguvu zikaisha, jasho jing. Mbele naona blurred nikahs tu moyoni sukari imeshuka nikajikokokota had kuna kaduka hv nikafka wateja wamama walivoniona wakanipisha wanaulza baba nini mbn jasho ivo? hata kuongea siwez nikapointi soda akanipa juice sikutaka kuhoji nikaigida uhai ukarejea. nikakaelezea situesheni kale kasista kauza duka kakaelewa kakanipa pole kakanipa na biskuti: USENGE NA MKEKA UKACHANIKA.
Njaa ilitka ukufukunyue mfukunyundu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
3. Nilienda mkoa fulan hivi kikazi mikoa ya Pwani, kiroho safi niwahifadhi. Wale jamaa ni wadini, ndumba nyingi na wavivu sanaaaa.

Usumbufu usiku wa kimazingara ni kawaida, achana na wazee wanasayans wanasema hakuna uchawi,mimi sina uchizi ninajua nisemayo.

Ile kuzima taa za ndani na zinawashwa ilikuwa kawaida, watu wanafungua milango na kuifunga unaisikia tu.

Niliboreka Sanaa,nikaon huu ni ufala, siwez hadithiq yote maana kuna wadau wataanza fikx wale tunaojuana.

Sasa nikaanza ku practice ule mstari ktk Zaburi ( MBINGU NI MBINGU ZA BWANA LKN NCHI AMEKABIDHI WANADAMU). Nikaswich mindset kuwa mm ni mtawala sio majini wala mapepo.

Kuna mtoto wa mchawi, sijui vigagura maarufu kule bush aliingia anga zangu, akaniletea drama. Alikuwa ni mvulana umria wa balehe, anajikutan nunda, mtaan wana muogopa kwa history ya ukooo wao. Aliniletea umaarufu, akijihis ananimudu. Those times nilikuwa mazoez mengi tu si haba. Wakubwa na vijana wengine wakasema ngoja waone.

Kumbe kijana sijui mgonjwa yule, au ni nini, nilicheza naye kidgo aka kata moto. Hapo ndipo nilikalia Vikao na ukooo, mashangaz,na wajomba na babu kwamba legacy yao inatestiwa,nani ana courage ya kufanya vile.


Hakuna lililo nificha mengin ya siri nilikuja kuhadithiwa na watu wa mtaan kuhusu hivo vikaao na maamuz yao, mwisho wa siku kijana alikuwa msela wangu sanaa. Namtuma maeneo kibao..
"""achana na wazee wanasayans wanasema hakuna uchawi,mimi sina uchizi ninajua nisemayo."""
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mengine tuyaache ila niliwah nunua ugomv mara kadhaa ,kusaidia tu wanyonge. Mbali na jukum langu tukiwa huo mkoa X wa Pwani, tulienda center kula maisha, misosi etc.

Nikaona pisi kali moja ipo na Msela wake, wale ni wageni tu sijui walikuja kufanya nn kule ila Walifikia guest house ( Nilijua baadae).

Kuna wahuni walikuwa wana wamendea hao wageni, ni kama nikausomq mchezo,mimi na msela wangu naye alikuja huko alikuwa na assignment. Baada ya Kula kulq nikamwambia msela tusiondoke kuna watu innocent hapa wanaweza fanyiwa umafia let's wait.

Tukaon wao wanatoka nje, nasi tukatoka. Lile kundi la wahun hawaingiag ktk ile sehem ya kula kula, maana mmilik naye mafia hataki ujinga ktk biashara yake.

Jamaa waliwazingira, walikuwa kama watano hadi nane. Hawakuwa na silaha kali wala nn zaid ya sura zao za bangi na wengine wakiwa wanakata fimbo ( Kumbe hao jamaa ni boda boda pia).

Tukaungan na Ile pisi na mshikaj wake, jamaa bishooo tu, body kali ,body lq simba ilq roho ya Mbwa.

Sisi kufika pale, jamaa alipata upenyo bana ,akasepa akamuacha demu wake na sisi.

Nikasogea mbele na mwana, nikasema masela eeh ,mnasaka michongo, lkn leo bahati sio yenu sanaa. Mnaweza mkapata ila kwa mbinde, wawili kati yetu, lazima tuwapige drip na either alama ya kudumu au kilema cha kudumu, na hii vurugu haitaisha hata mkishinda, tutawindana otherwise mtuue.

So, kama una kiu sana na visimu vyetu, tangulia mbele uwe ktk idadi ya hao wawili wa kwanza, Oya mm mwenyewe nna sura ya mwanaume e,sauti ya mwanaume,haija shake , tukaona hao wanasem kumbe ma bro mpo na shemej eeh, poaa.

Majamaaa walisepa, tukabak na demu, baada ya muda msela bishooo ana rudi, vipi babe,sijui nini .

Yule manzi alimjibu tu " When men were men, where were U...? " Demu akatoa number kwetu na ahsante tukasimamia wapande boda hao tukasepa.

Mastory mengine,yataniadhri humu, watu wengin waanze kupate clue mm naweza kuwa nani.
Hii repeated
 
Back
Top Bottom