Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba

Sasa muungano gani unayenufaisha upande mmoja tu? Hao wanzanzibar wenyewe ukiwauliza vipi muungano wanaukataa licha ya faida hizo wanazonufaika nazo, wakiamini kuwa wakiwa nje ya muungano kuna manufaa zaidi!!
[blue]Wapo wachache huko zanzibar wanaakili kisoda, useless, aidha wamedata akili, same to hapa bara wapo waliodata akili na solutions wanaona bora chadema iingie LABDA hali itakuwa nzuri, kumbe maisha yameshikwa na BIDII, UBUNIFU, na UCHAPAKAZI.[/blue]
 
Zanzibar pesa waonazipata kwenye,uvuvi na biashara za ndani na nje ya nchi na wanunuzi wakubwa wa mazao ya bara na kuuza Zanzibar pia ndio wafanyabiashara wakubwa bara mfano wapemba wamejaa huku wakifanya biashara bara na Zanzibar Pia ndio wameshika sekta ya utalii kuanzia sehemu za vyakula,nyumba za kupangisha wafanyakazi wa sekta ya utalii kama mahoteli nk hupanga vyumba vya nyumba zao Kwa bei Kali na wapangaji wengi wafanyakazi huko wanataka bara ambao wamejazana hasa kwenye kazi za mahoteli mamia ya kitalii yaliyoko Zanzibar .

Mleta mada unaonyesha hujafika Zanzibar

Ferry Dar wavuvi wa Zanzibar huleta samaki Kila siku wakiuza wanageuza wanarudi zao Zanzibar
Uvuvi ni kilimo mtoa mada ni mbumbumbu
 


Soma vizuri andiko,lengo ni kuonyesha kuwa kilimo sio shughuli pekee ya kujenga uchumi wa nchi
Kwani nani aliyesema kuwa uchumi wa nchi ikiwemo Tanzania unategemea kilimo tu?

Tanzania kwa kujua Hilo ndio.masna tuna wizara zifutazo

Madini,

kilimo ,mifugo na uvuvi

biashara na viwanda

Utalii

Kazi na ajira

Sayansi na teknolojia


Hakuna mahali Kuna mtu Kwa Sasa anayesema nchi kuendelea inategemea kilimo tu
 
soko la kimataifa la samaki la Ferry alfajiri wanzanzibari wako kibao wanashusha samaki
Naona tunaongea vitu tofauti.
Yes lobster,crab,prawns,oyster.tuna ni vigumu sana wavuvi wetu kupata.
Hao samaki wanapatikana deep sea.
Tatizo vyombo vyao dhaifu.
Mzanzibar ye anakuja na mzigo toka kwenu huko.
Asubuhi kauza anaondoka
Hao wadudu wote hapo☝️
Huwakuti sa mbili tu.
Changu,kolekole ,vibua ,tasi na wengine wapo
 
Soma vizuri andiko,lengo ni kuonyesha kuwa kilimo sio shughuli pekee ya kujenga uchumi wa nchi
lakini umeandika kwa dhihaka, kama vile Wazanzibari hawafanyi kazi, wanacheza dhumna tangu asubuhi na kusubiri kudura ya Mungu kupata chakula, kitu ambacho siyo kweli.

Ungekwenda nje ya mji ukaona watu wanavyoshughulika tangu asubuhi mpaka jioni kwenye kilimo, uvuvi na mambo mengine.
 
Naona tunaongea vitu tofauti.
Yes lobster,crab,prawns,oyster.tuna ni vigumu sana wavuvi wetu kupata.
Hao samaki wanapatikana deep sea.
Tatizo vyombo vyao dhaifu.
Mzanzibar ye anakuja na mzigo toka kwenu huko.
Asubuhi kauza anaondoka
Hao wadudu wote hapo☝️
Huwakuti sa mbili tu.
Changu,kolekole ,vibua ,tasi na wengine wapo
 
lakini umeandika kwa dhihaka, kama vile Wazanzibari hawafanyi kazi, wanacheza dhumna tangu asubuhi na kusubiri kudura ya Mungu kupata chakula, kitu ambacho siyo kweli.

Ungekwenda nje ya mji ukaona watu wanavyoshughulika tangu asubuhi mpaka jioni kwenye kilimo, uvuvi na mambo mengine.
Sikuwa na maana hiyo nilitaka kuonyesha jinsi gani watu wanaendesha maisha yaobila kutimia nguvu lakini wabakula wanashiba tofauti na watu wa bara wanaoshinda mashambani lakini maisha magumu
 
Back
Top Bottom