mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,299
- 36,725
Aliyesema kilimo ni uti wa mgongo au kale kamsemo ka mhenga kuwa kama mnataka mali mtayapata shambani aje Zanzibar. Hata ule msemo wa kwenye bible kuwa asiyefanya kazi asile aje Unguja atengue kauli yake.
Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000, mashamba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja au mbili lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula.
Saa nne watu wanacheza bao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita baba zao kijiweni waende wakale msosi nyumbani.
Unguja nzima ng'ombe walioko hawazidi 1000, mashamba yaliyopo yanatosha kulisha wilaya moja au mbili lakini hutosikia Zanzibar wana njaa au wamekosa chakula.
Saa nne watu wanacheza bao na dhumna ila ikifika mchana madogo wanakuja kuwaita baba zao kijiweni waende wakale msosi nyumbani.