Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,933
- 16,576
Hamjui hospitali zilipo? Ale mapapai mawili yaliyoiva sana kabla hajaelekea hospitaliHabari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari