Duuh mbona hatariii hii. LolYaan hata mm nimeshangaa sana alafu yeye alikaa kmya tuu
Aende hospital kwa kufanya check-upYaan h
Hata usingizi sipatii
Inategemea upo wapi ila green tea ni haraka mnoHabari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Watu hadi wiki 2, ukiangalia ni ujinga wa kujitakia tu.Yaan hajapata haja kubwa kwa cku 7? Inawezekanajee?
Duuh ckua najua hili, aseeeh bas hatari.Chache sana hizo, wapo Watu hadi wiki 2, ukiangalia ni ujinga wa kujitakia tu.
Soln;
Matunda, maji ya kunywa mengi, vyakula visivyokobolewa, maziwa mtundu, juisi ya ukwaju.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.