Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,693
- 86,597
Inaumiza Sana SanaMama bado kajifungia ndani? Hatoi hata pole kwa waliofikwa na mafuriko?
Inaumiza Sana SanaMama bado kajifungia ndani? Hatoi hata pole kwa waliofikwa na mafuriko?
Hebu kwanza.Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Lissu ni kichaa, na wanaomfuata nao ni vichaa.period.Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Sasa wewe kuongozwa kwako na chuki dhidi ya Lissu ndiyo hakukufanyi tukuone mpumbavu?Jibu hizo hoja za kichaa.Lissu ni kichaa, na wanaomfuata nao ni vichaa.period.
Acha unafikiri Binti. Kama ameshindwa kumstaafisha Mwenyekiti wake Mbowe ambaye anaenda mwaka wa 40 Sasa akiwa madarakani ndio amwondoe Mzee Kinana ambaye hata mwaka hajamaliza?Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Naona mnaangaika na kinana ujumbe umewagusa asingekuwa na madhara mngempuuza!Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Kojoa ukalale upo kwenye usingizi mzitoKwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Kustaafu hawezi maana ndiyo kula yake. Ana miradi yake inalindwa na yeye kuwa madarakani....atafia palle tu!Kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu anapanga kufafanua na kupangua Upotoshaji wa Mzee Kinana, huu alioutoa leo kwa Waandishi wa Habari.
Hatuna haja ya kuyarudia tena aliyoongea Mzee Zaidi Kinana, maana ni dhahiri kila mmoja amemsikia, bali bila hata akili kubwa sana utagundua kwamba uwezo wa Mzee Kinana umekwisha, hana tena ule weledi aliosifiwa nao awali, nadhani ni kwa sababu ya Uzee (Kila lenye mwanzo lina mwisho, huwezi kuwa na zaidi ya miaka 80 ukawa na akili zilezile za ujana)
Swali letu ni hili, Je Spana za Lissu Zitamstaafisha Rasmi Siasa Mzee Kinana ?
Maroketi ya uongo. Labda useme atasema ni lini watanganyika wataruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar, kugombea uongozi Zanzibar, kutumia driving license za bara huko Zanzibar nk. Kama hakuna rocket la hivyo ujue hizo zitakuwa ni porojo zile zile za kawaida.Yaani mpaka msahau katiba mpya, akijibu tunarudi tena, safari hii Nchimbi akiwa Mwanza atavurumisha maroketi
Wakati ni ukutaHaya maneno nadhani ndio sababu kuu.
Ukute ndiyo umejibu hoja za lissu hapoLissu ni kichaa, na wanaomfuata nao ni vichaa.period.
Kama kutetea haki ni kichaa basi wacha Nchi nzima tuwe vichaaLissu ni kichaa, na wanaomfuata nao ni vichaa.period.
😆😆😆😆😆Inaumiza Sana Sana