Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Nimekaa na kutafakari; binadamu ni nani? Na purpose yake kuu ni kipi duniani? Kwanini kila mmoja anawaza tofauti lakini huwa kwenye same circle, kuanzia birth to death? Je kama kuzaliwa kwa kiumbe...
0 Reactions
3 Replies
283 Views
Hiyo hali inaitwa déjà vu, Wanasayansi wameielezea kwa theories tofauti wakielezea inasababishwa na nini. Ila bado hamna jibu rasmi linalokubaliwa na wanasayansi: Theory mojawapo inaeleza...
2 Reactions
15 Replies
632 Views
MAKOSA MATANO YA WAFILISTI KWA SAMSONI By CK Allan - Kitabu Cha Rejea ni kutoka WAAMUZI (Biblia) Inasadikika kuwa watu waliouwawa kwa mkono wa Samson kwenye ule ukumbi (uwanja wa michezo) siku...
14 Reactions
21 Replies
2K Views
Wanabodi, Kifo cha Ephraim Kibonde kimeibua simanzi kubwa kwa sababu katika uhai wake hakuwahi kuugua, amekufa ghafla, hivyo watu kubaki na maswali mengi. Katika bandiko la Tribute to Kibonde...
70 Reactions
206 Replies
26K Views
maisha ya mwanadamu ni kama maua huchanua na kusinyaa, wengi wetu tumezaliwa tukiwa na ndoto kibao za mafanikio katika maisha yetu , hakuna mtu asiye penda kuishi maisha mazuri, kila mtu anatamani...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Habari za jioni wanajukwaa....kama kichwa cha uzi kinavyosema ningependa tujadili mada hii Kutokana na hili swali swali kuulizwa mara nyingi kwenye thread zangu nimeona nifungue uzi wake ili...
52 Reactions
330 Replies
52K Views
Kuna baadhi yetu tumekuwa tukihusisha watu masikini kwamba ni wavivu, huenda hii ilikuwa kweli zama za kale za kuhitaji nguvu na jitahada za kulima ili upate mkate wako wa kila siku (sababu hata...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Je, nani anasema ukweli kuhusu kifo cha Sokoine.!? Ni Nyerere aliyedai alikufa kwa ajali ya gari, lakini hakutaka kabisa watu wahoji wala kuchunguza ajali hiyo ilikuwaje au tumuamini Dr. Shaba...
44 Reactions
135 Replies
25K Views
Siku hizi kila mtu anatafuta njia tofauti tofauti na wengi wanafundisha unawezaje kuwa makini. Ina onekana kuna tatizo kubwa la watu kushindwa kuwa makini kwenye wanachofanya na kupata mvurugiko...
0 Reactions
10 Replies
465 Views
Wakuu habari! Leo nikiwa barabarani niliona magari mawili yaliyotaka kugongana uso kwa uso ghafla likanijia wazo ambalo limenisukuma kuandika uzi huu namna ya kuzuia ajali kama hizi. Picha...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Mara Nyingi Mimi Badala ya Kusoma Riwaya napenda sana Kutafuta habari za Masahibu yenye Utata ili angalau nipate clue ni nini kilitokea hasa. Muda Mwingi Nimekuwa Nikitatizwa na Matukio ya Afrika...
26 Reactions
116 Replies
35K Views
Habari wakuu, Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari...
15 Reactions
234 Replies
15K Views
Nimekua mfuatiliaji mzuri wa makala kadhaa za umafia, utemi na ugaidi, Kuhusu binadam waliochafukwa na roho, Japo kwa kiasi nilikuja kugundua kuwa hakuna binadam anaezaliwa akiwa mafia, Wengi wa...
4 Reactions
9 Replies
981 Views
400 hundred years of slavery ya mtu mweusi katika ardhi ya marekani na visiwa vya carribean. Miaka mia kadhaa ya utumwa na ukandamizaji wa kiovu katika bara la Afrika. Naelewa katika process ya...
2 Reactions
13 Replies
865 Views
JINSI YA KUFANYA MEDITATION Meditation Ya Pumzi: MEDITATION: Ni ile hali wakati mawazo yanapokuwa yameyeyushwa na kufikia mahali ambapo hakuna fikra yenye kuingia tena. ¡¤ Wengine wanaielezea...
122 Reactions
1K Replies
218K Views
Ndugu zangu. Hata sasa tumeshuhudia anguko la mwanadamu katika nyakati hizi za Neema ya Mungu ya Wokovu kupitia damu ya Thamani ya Yesu Kristo... Manabii wa uongo walikuwepo tangu nyakati za...
1 Reactions
5 Replies
302 Views
Halo marafiki poleni na urefu wa mwaka uliofikia ukingoni Tuende kwenye mada fupi sana lakini utapata lolote litakalo kusaidia maishani mwako baadae Usigeuke nyuma utakuwa jiwe la chumvi sio...
13 Reactions
17 Replies
1K Views
BEHIND THE CURTAIN: SEPTEMBER 11 Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu...
162 Reactions
1K Replies
288K Views
Habari za sikukuu wana JF natumaini kila mtu ni mzima wa Afya bila kupoteza muda twende kwenye mada na ningeomba tuisome kwa umakini sana maana kuna jambo kubwa nataka tujifunze mwishoni...
38 Reactions
47 Replies
6K Views
KWANZA UKISOMA KWA PC AU COMPUTER NYINGINE IPO BORA KULIKO KWA SIMU Fanya Research yeyote ya underground utagundua All Roads lead to Rome Vatican. Diplomatic roads .Nk Kati ya vitu vilivyo wahi...
34 Reactions
623 Replies
99K Views
Back
Top Bottom