Kumekuwepo na taarifa zisizokuwa rasimi watu wakithubutu hata kusema milipuko yote iliyotekea katika makmbi hayo ni hujuma je wewe na mimi waweza kuhisi ni hujuma au ni bahati mbaya?
Maana kwa...
Mikataba yote ya UFISADI DUNIA NZIMA inawekwa hapa:
http://wikileaks.org/wiki/Wikileaks
Wikileaks, a wiki-based information clearinghouse for whistleblowers that TIME said "... could become as...
Katika pita pita vi inzi vinadokeza kuwa balozi wa TZ huko Canada anatarajiwa kuhamishiwa UK na yule ambaye tulidokeza miezi michache nyuma kuwa ameshindwa kupelekwa kule Scandinavia anaweza...
HII NI KWA MUJIBU WA TOVUTI YA CIA KUHUSU TZ:
Tanzania
Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments
Pres.Jakaya Mrisho KIKWETE
Vice Pres.Ali Mohamed SHEIN, Dr.
Prime...
Wadau wa Umoja House salaam!
Nimeona nisilifumbie macho suala hili maana linaharibu uzuri wa Mjengo mzima na kitendekacho humo ndani.
Awali ya yote napenda kuzipongeza balozi za Uingereza...
By ANDREI CHANG
HONG KONG,
China has had a number of dealings with South African weapons manufacturers over the past decade, most of which have not resulted in actual weapons purchases...
Looks like it sasa kabla hamjaanza kumshambulia R.O tuanze kwa kuangalia hao wazungu walikuwa ni akina nani na je walipewa security clearance na nani? Na kwa nini walikuwa wanaopiga picha wakati...
Kama mliona ya Loliondo ni makubwa basi makubwa zaidi yanakuja,
Watanzania tuwe tiyari kupokonywa ardhi.
=============
Tanzania farmers in key arable areas face eviction by multinational...
Natafuta "Africa Peer Review Mechanism -Country Review Report Tanzania".
Not sure kwamba hii review haijafanywa Tanzania au imefanywa lakini ripoti haipatikani katika website yao hapa...
Baada ya salamu nina ujumbe kwenu: Stand down. Makuwadi na vikaragosi vyenu viambieni virudi nyuma. Miti mingine haikwewi na milima mingine inatosha kuiangalia kwa mbali tu. Mlifanyalo lifanyeni...
Tunawashukuru kwa mwitikio wenu lakini kwa hakika mmetupa kibarua kipya kabisa na kazi imekuwa ngumu katika hiyo ripoti. Kutokana na ongezeko kubwa la watu wapya ambao wangependa kupata ripoti hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.