Nadharia: Jinsi law of magnetics itakavyozuia ajali barabarani

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,749
9,496
Wakuu habari!

Leo nikiwa barabarani niliona magari mawili yaliyotaka kugongana uso kwa uso ghafla likanijia wazo ambalo limenisukuma kuandika uzi huu namna ya kuzuia ajali kama hizi.

IMG-20170509-WA0118.jpg

Picha nmetoa mtandaoni

Kikawaida ncha mbili za sumaku zikikutana hukwepana, mfano angalia hapa chini kwenye picha
images (1).png

Sasa ikiwa magari yote yatatengenezwa kwa sumaku kwa mbele ktk mtindo wa ncha mbili zinazofanana yakikutana uso kwa uso yatakwepana (yatasukumana bila kugongana) yaani kama ule mchezo wa kusukumana lakini hapa itakua bila kugusana,

Chukulia mfano semi trailer inakutana uso kwa uso na V8, ili zisigongane zikwepane itahitajika sumaku kubwa sana iwekwe mbele ya gari mfano sumaku yenye ukubwa wa shina la mbuyu kwa kila gari yaani semi na V8, kitu ambacho kitaathiri uzito wa kila gari na balance haitakuwdpo,

Kwa vile chuma laini kikizungushiwa nyaya kwa mtindo wa coil kisha kuunganishwa na umeme huwa kinakua sumaku hii njia itafaa zaidi kutengeneza sumaku yenye nguvu kubwa
images.jpeg

Zingatia pia ujio wa magari ya umeme.

Chini ntatoa ufafanuzi wa kimahesabu , Nakaribisha maoni kinzani.
 

Attachments

  • IMG-20170509-WA0118.jpg
    IMG-20170509-WA0118.jpg
    74.8 KB · Views: 7
Picha hapa chini inaonyesha semi trailer na V8 zikikutana uso kwa uso
IMG_20240408_185241_031.jpg

Semi trailer kikawaida ina maximum speed ya 80 km/h na ina uzito wa 42345kg.
VX V8 ina maxmum speed ya 300Km/hr na ina uzito wa 3350kg

kitu chochote chenye uzito na speed kina FORCE kwa muujibu wa newton fitst law of motion

F = M × {(V2 - V1)/t}
F -FORCE
M-MASS
V2 -FINAL VELOCITY
V1-INITIAL VELOCITY

Gari namba moja lina force 1
Pia lina magnetic fotce 1
Gari la pili lina force 2
Pia lina magnetic force 2
 
Gari namba 1 litakumbana na ukinzani wa magnrtic fotce kutoka ktk gari namba 2 hivyo basi kuyakuwa ns resultant fotce ya kila gari

Resultant fotce 1= F1 - MF2
Resultant force2 = F2 - MF1

Ili kupata repulsive force ktk magari itabidi magnetic fotce iwe kubwa kuliko force ya kila gari yaani resultant fotce hapo juu iwe nrgative
 
Gari namba 1 litakumbana na ukinzani wa magnrtic fotce kutoka ktk gari namba 2 hivyo basi kuyakuwa ns resultant fotce ya kila gari

Resultant fotce 1= F1 - MF2
Resultant force2 = F2 - MF1

Ili kupata repulsive force ktk magari itabidi magnetic fotce iwe kubwa kuliko force ya kila gari yaani resultant fotce hapo juu iwe nrgative
Ungeleta mchanganuo wa kutengeneza hyo magnetic force...
 
Wazo zuri na wanasayansi walishayafikiria hili miaka mingi sana lakini mpaka leo wameshindwa kuiapply kwenye vyombo vya barabarani.
Hili jibu lako.
Lipo kitaalamu sana tena sana...
Kuna vitu kuelezea unaweza tumia mda mrefu sana ila kwa short description kama hii mtu ataelewa tu kuwa hiki kitu kimeshindikana.
 
Mkuu tunaweza kuongea mengi lakini itoshe kusema wazo lako ni nzuri mno! Lau kama ingewekana kupata wahandisi wa kulifanyia kazi huwenda tungefanya kitu dunia isingetu sahau, changamoto mawazo kama haya si wengi wetu wanaweza kuya weka hadharani kama wewe wengi wanahofia mtazamo negative wa jamii yetu kwa ujumla wake

Changamoto ni namna ya kuya fanya mawazo kama haya kuwa halisi kutokana mtaji na udhubutu.

Asante sana mleta mada.
 
Wazo zuri na wanasayansi walishayafikiria hili miaka mingi sana lakini mpaka leo wameshindwa kuiapply kwenye vyombo vya barabarani.
Sio wameshindwa nadhani ni sisi ndio tumeshindwa kufikiria ipasavyo kwasababu ni swala la kitaalamu zaidi.

Hivi kwa kufikiri tu unadhani utahitaji sumaku ngapi katika gari ili uweze kuwa secured na ajali?

Vipi kwenye swala la parking na kuendesha chombo kwenye barabara yenye foleni?

Maana yake itahitajika kuwepo na gape kubwa kutoka kwenye gari moja hadi lingine.

So ili kuepuka collisions itabidi kutoka Vingunguti stendi mpaka Mfugale iwe ni distance ya kutosha magari matano tu.

Tungetoboa mpaka hapo?

Lakini fikiria tu power ya hiyo sumaku jinsi ambavyo ingekuwa.

Kwasababu kama Sumaku imefumwa kwa nguvu ya kuweza kufanya gari lenye uzito wa tani kuweza kusukumwa maana yake hiyo ni nguvu kubwa mno.

Hivyo maana yake kama ni gari inatoka Mbeya kuja Dar basi kila kipande cha chuma kilichokuwa njiani lazima kivutwe na sumaku.

Hapo unaweza kujikuta umetengeneza ajali nyingine kwasababu hiyo force ya hivyo vyuma jinsi vitavyovutwa itakuwa ni kubwa mno kiasi iweze ku damage gari lenyewe.
 
Magari kupiishana ndiyo uchawi wenyewe hakuna issue ya magnet wala baba yake nane, zijengwe barabara ambazo magari hayapishani, yaani ni one way, yaani magari yanayoenda mfano Morogoro hayapishani na magari yanayotoka morogoro
hufikirii gharama za ujenzi wa barabara za namna hiyo ni ghali sana nchi nyingi hazina huo uwezo
 
Thanks, but We don't need that bro..!

Gar nying new modern zenye Autopilot zina anti-collision system yenye uwezo wa kudetect na kuzuia collission 7km before the impact.

Hii system utaikuta kwenye electric cars za tesla kama cybertruck, model s3, n.k.

Infact autopilot ni Ai technology ya kutegemewa kabisa kwa sasa linapokuja suala la usalama wa vyombo vya usafiri.
 
Scars sumaku itakayotumika ni ya umeme (solenoid) badala ya bar magnet, kuhusu umbali wa gali moja hadi jingine ktk foleni ni simple kusolve unacheza na magnitude za magnetic force zifanye kazi kwa umbali uliowekwa sasa hivi gari moja linalolifuata lingine kwa nyuma linatakiwa kuacha space ya metre ngapi? Hapo kwenye kuvuta vyuma vilivyo barabarani ndo penye changamoto lakini kuhusu parking ukizima mfumo wa umeme kwa muda ile hali ya u sumaku inatoweka sijui unafahamu hiki kitu?
 
Thanks, but We don't need that bro..!

Gar nying new modern zenye Autopilot zina anti-collision system yenye uwezo wa kudetect na kuzuia collission 7km before the impact.

Hii system utaikuta kwenye electric cars za tesla kama cybertruck, model s3, n.k.

Infact autopilot ni Ai technology ya kutegemewa kabisa kwa sasa linapokuja suala la usalama wa vyombo vya usafiri.
kwenye huo mfumo ni primary prevention kama chanjo swali vipi kama gari mojawapo lita feli break ghafla inauwezo wa kuzuia yasigongane? Mi nadhani huo mfumo ni mzuri ila unamapungufu labda walilenga njia zenye obstacle
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom