Ni nani hasa alihusika na Kifo cha Sokoine?

TL. Marandu

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
3,625
5,810
Mara Nyingi Mimi Badala ya Kusoma Riwaya napenda sana Kutafuta habari za Masahibu yenye Utata ili angalau nipate clue ni nini kilitokea hasa.

Muda Mwingi Nimekuwa Nikitatizwa na Matukio ya Afrika ya Kuuana kwa Kugombania Madaraka. Nchini Kenya Miaka ya Nyuma, Kila ikikaribia Uchaguzi ambao Rais anayemaliza Muda wake hagombei tena Basi Kunatokea Mauaji ya Ajabu ajabu sana.

Kenyatta alipoashiria Uzee sana basi kulikuwa na Mauaji ya kutisha ya Kisiasa Kenya. Moi alipotangaza nia ya Kutogombea Tena Miaka y 90 hali Kadhalika. Kibaki alipomaliza Muda wake hali ikawa hiyo hiyo.

Nilidhani Tanzania hali ni Tofauti Lakini sivyo. Mwalimu Nyerere Tangu kumalizika kwa Vita vya Uganda, alishakuwa na Mpango wa Kujiuzulu Urais au Kutogombea Tena. Shadowy forces za Dunia zilishanusa Ni nani Nyerere alimpanga Kumrithi. Waliandika Katika Ripoti yao Maalumu, " Nyerere kwa kupenda Elimu na umahiri aliamua Kumpeleka Dokoine Yugoslavian ili akamalizie Masters yake na Pia ajifunze First hand jinsi Wayugoslavia walivyoendesha Ukomunist kwa Mafanikio.

Hawa walikuwa wakiweza kumvumilia Nyerere lakini walijua Sokoine wasingeweza Kudeal Naye kwani Misimamo yake haikuwa Balanced Kama Mwalimu. Wakamuua Sokoine, Nyerere alilia sana, Lakini hakuna aliyekuwa na Uhakika Ni kina nani hasa walihusika ingawa Sponsors Nyerere aliwajua. " Hawa walijigama Kwenye Chapisho lao moja wakati Fulani Kuwa kwenye Kila Serikali ya Mlengo wa Kushoto ie communist, nusu ya Wajendaji wa serikali, wana usalama nk wapo pia kwenye pay roll yao" Wakimaanisha Kuwa utakuta waziri wa Tanzani lakini Pia Kila Mwezi anavuta Mshahara kwenye coffers za Worlds strongest shadowy forces!

Kadhalika Katika Chapisho lingine walidai, Silaha yao Kubwa ilikuwa Ni kuchapisha Fedha Fake za nchi husika, wanawapa baadhi ya stooges wao,Wanazitumia Kunulia Bidhaa na kuzirundika kwenye Magodown ili zioze na zipotee kuwatia wananchi hasira juu ya regime! Kwa mwenye shaka na hili rejeeni miaka ya 80 jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akibadilisha fedha kwa ghafla. Na pia Rejeeni ni Nani alianzisha Vita dhidi ya wahujumu uchumi 1983-84 (Sokoine) Ikimbukwe Mhujumu uchumi sio Mlanguzi, Mlanguzi ananunua Bidhaa kwa lengo za Kuziuza kwa Bei ya faida Kubwa Mhujumu uchumi au Sabotage ananunua Bidhaa kuziharibu na Kuzipoteza ili aweke mazingira magumu ya kitawala nchi.

Sasa, Baada ya Sokoine Kufa Bado Kulikuwa na Vuta Nikuvute ya Kumpata Mrithi wa Nyerere, Mzozo ulikuwa kati ya awe Kawawa au awe Salim, Nyerere akamteua Mwinyi kama suluhisho. Lakini Pia sio hao wawili tu, Shadowy Forces zilikiwa na watu wao, na Mwishoni, wakati wa utawala wa Mwanzo wa Mwinyi Makicha yakaonekana Wazi. Katika Dossier ya Hawa Shadowy forces walionyesha Makundi Mawili Moja Lililolalia Upande waCommunism na Lingine Upande wa Soko huria, Ambao wasingemlenda Sokoine au yeyote anayependekezwa na Nyerere!

Kundi walillsema ni La Ki Socialist

1) Rashid Kawawa
2) Kingunge Ngombale Mwiru
3) Joseph Warioba
4) David Mwakawago
5) Joseph Butiku
7) David Msuguri
8) Kighoma Malima
9) Pius Msekwa
10) Charles Nyirabu


Kwenye Kundi walilodhani ni La Wingu la Mabadiliko waliwaweka

1) Ali H. Mwinyi
2) Salim A. Salim
3) Cleopa D. Msuya
4) Mustafa Nyang'anyi
5) Seif Sherif Hamad
6) Imran Kombe
7) Paul Bomani
8) Gilbet Rutihinda
9) Idris A. Wakil
10) Alnur Kassum


Katika hiyo Short List ya Shadowy Forces Jina Lililonishitua ni La Imran Kombe, Na Baadaye Nikaona Mahali ambapo Imran Kombe Rip. Amehusishwa moja kwa moja na Makundi yaliyojengeka Kinyang'anyiro cha Primary ya CCM 1995. Hapo ndipo hasa Makundi haya yalianza kusalitiana na Kuvurugana na Nadhani Ndipo Mboga na Ugali wa Uhujumu Uchumi na Kifo cha Sokoine 1983-84 Zikamwagwa! Kuna Madai kwamba Bodyguard wa Sokoine aliamriwa aende Monduli huku Sokoine akielekea Dar kwa Gari badala ya Ndege!

Kilichofikia Imran Kombe hasa Kunyanyuliwa Nafikiri ni 1996 Sijajua hasa Ni nini, Lakini Inawezekana Kulikuwa na Hofu Kubwa Mkapa kama mtu wa Karibu wa Nyerere angerudisha Usocialist, Katika Matoleo yao Pia walionekana Mahali wakisema (1986-87) Nyerere angeweza " Kumshinikiza Mwinyi aachie Ngazi, Ili Awaweke wengine, Wakaonyesha Short List ya Ambao Nyerere angewaweka Moja wao Badala ya Mwinyi Kuwa Ni,
1) Waziri Mkuu Joseph Warioba, au
2) Balozi wa Canada Benjamin Mkapa au
3) Salim au
4) Kingunge Ngombale Mwiru,
5) Rashid Kawawa.
 
Duh...endelea Mkuu...hope utaunganisha dots vizuri namna Mzee Mwinyi alivyoukwaa uraisi.

Mwinyi Alikuwa Ni Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Administration, Lakini sio Kuongoza, Pia alikuwa ni Mtu Mwenye Roho njema sana na asiye na Makuu, Muugwana sana. Nyerere alipoachia Madaraka 1985 Alikuwa hana Uhakika Mambo yatakwendaje, Hivyo alimweka Mwinyi Kwa Kipindi cha Majaribio akijua wazi endapo yakizuka Matatizo Makubwa, as a result ya yeye, Nyerere, kuondoka, Basi Mwinyi asingeona Kinyongo kama ingemlazimu Nyerere Kumwambia aondoke, Kisha au Arudi yeye Mwenyewe Madarakani na Msimamo Mpya au Amweke Mwingine. Ikumbukwe huko Nyuma Nyerere alishafanya hivyo Kwa Kumwachia Kawawa Uwaziri Mkuu! Na Kisha akarudi tena. Hiyo sio Tathmini yangu bali ni Tathmini ya hao Warefu! Je Mnakumbuka Miaka ya 1994 Nyerere alisema wazi Kuwa Mwinyi hakuwa Chaguo Langu!
 
Mara Nyingi Mimi Badala ya Kusoma Riwaya napenda sana Kutafuta habari za Masahibu yenye Utata ili angalau nipate clue ni nini kilitokea hasa.

Muda Mwingi Nimekuwa Nikitatizwa na Matukio ya Afrika ya Kuuana kwa Kugombania Madaraka. Nchini Kenya Miaka ya Nyuma, Kila ikikaribia Uchaguzi ambao Rais anayemaliza Muda wake hagombei tena Basi Kunatokea Mauaji ya Ajabu ajabu sana.

Kenyatta alipoashiria Uzee sana basi kulikuwa na Mauaji ya kutisha ya Kisiasa Kenya. Moi alipotangaza nia ya Kutogombea Tena Miaka y 90 hali Kadhalika. Kibaki alipomaliza Muda wake hali ikawa hiyo hiyo.

Nilidhani Tanzania hali ni Tofauti Lakini sivyo. Mwalimu Nyerere Tangu kumalizika kwa Vita vya Uganda, alishakuwa na Mpango wa Kujiuzulu Urais au Kutogombea Tena. Shadowy forces za Dunia zilishanusa Ni nani Nyerere alimpanga Kumrithi. Waliandika Katika Ripoti yao Maalumu, " Nyerere kwa kupenda alimu na umahiri aliamua Kumpeleka Dokoine Yugoslavian ili akamalizie Masters yake na Pia ajifunze First hand jinsi Wayugoslavia walivyoendesha Ukomunist kwa Mafanikio. Hawa walikuwa wakiweza kumvumilia Nyerere lakini walijua Sokoine wasingeweza Kudeal Naye kwani Misimamo yake haikuwa Balanced Kama Mwalimu. Wakamuua Sokoine, Nyerere alilia sana, Lakini hakuna aliyekuwa na Uhakika Ni kina nani hasa walihusika ingawa Sponsors Nyerere aliwajua. " Hawa walijigama Kwenye Chapisho lao moja wakati Fulani Kuwa kwenye Kila Serikali ya Mlengo wa Kushoto ie communist, nusu ya Wajendaji wa serikali, wana usalama nk wapo pia kwenye pay roll yao" Wakimaanisha Kuwa utakuta waziri wa Tanzani lakini Pia Kila Mwezi anavuta Mshahara kwenye coffers za Worlds strongest shadowy forces! Kadhalika Katika Chapisho lingine walidai, Silaha yao Kubwa ilikuwa Ni kuchapisha Fedha Fake za nchi husika, wanawapa baadhi ya stooges wao,Wanazitumia Kunulia Bidhaa na kuzirundika kwenye Magodown ili zioze na zipotee kuwatia wananchi hasira juu ya regime! Kwa mwenye shaka na hili rejeeni miaka ya 80 jinsi Mwalimu Nyerere alivyokuwa akibadilisha fedha kwa ghafla. Na pia Rejeeni ni Nani alianzisha Vita dhidi ya wahujumu uchumi 1983-84 (Sokoine) Ikimbukwe Mhujumu uchumi sio Mlanguzi, Mlanguzi ananunua Bidhaa kwa lengo za Kuziuza kwa Bei ya faida Kubwa Mhujumu uchumi au Sabotage ananunua Bidhaa kuziharibu na Kuzipoteza ili aweke mazingira magumu ya kitawala nchi.
Sasa, Baada ya Sokoine Kufa Bado Kulikuwa na Vuta Nikuvute ya Kumpata Mrithi wa Nyerere, Mzozo ulikuwa kati ya awe Kawawa au awe Salim, Nyerere akamteua Mwinyi kama suluhisho. Lakini Pia sio hao wawili tu, Shadowy Forces zilikiwa na watu wao, na Mwishoni, wakati wa utawala wa Mwanzo wa Mwinyi Makicha yakaonekana Wazi. Katika Dossier ya Hawa Shadowy forces walionyesha Makundi Mawili Moja Lililolalia Upande waCommunism na Lingine Upande wa Soko huria, Ambao wasingemlenda Sokoine au yeyote anayependekezwa na Nyerere!

Kundi walillsema ni La Ki Socialist

1) Rashid Kawawa
2) Kingunge Ngombale Mwiru
3) Joseph Warioba
4) David Mwakawago
5) Joseph Butiku
7) David Msuguri
8) Kighoma Malima
9) Pius Msekwa
10) Charles Nyirabu


Kwenye Kundi walilodhani ni La Wingu la Mabadiliko waliwaweka

1) Ali H. Mwinyi
2) Salim A. Salim
3) Cleopa D. Msuya
4) Mustafa Nyang'anyi
5) Seif Sherif Hamad
6) Imran Kombe
7) Paul Bomani
8) Gilbet Rutihinda
9) Idris A. Wakil
10) Alnur Kassum


Katika hiyo Short List ya Shadowy Forces Jina Lililonishitua ni La Imran Kombe, Na Baadaye Nikaona Mahali ambapo Imran Kombe Rip. Amehusishwa moja kwa moja na Makundi yaliyojengeka Kinyang'anyiro cha Primary ya CCM 1995. Hapo ndipo hasa Makundi haya yalianza kusalitiana na Kuvurugana na Nadhani Ndipo Mboga na Ugali wa Uhujumu Uchumi na Kifo cha Sokoine 1983-84 Zikamwagwa! Kuna Madai kwamba Bodyguard wa Sokoine aliamriwa aende Monduli huku Sokoine akielekea Dar kwa Gari badala ya Ndege!

Kilichofikia Imran Kombe hasa Kunyanyuliwa Nafikiri ni 1996 Sijajua hasa Ni nini, Lakini Inawezekana Kulikuwa na Hofu Kubwa Mkapa kama mtu wa Karibu wa Nyerere angerudisha Usocialist, Katika Matoleo yao Pia walionekana Mahali wakisema (1986-87) Nyerere angeweza " Kumshinikiza Mwinyi aachie Ngazi, Ili Awaweke wengine, Wakaonyesha Short List ya Ambao Nyerere angewaweka Moja wao Badala ya Mwinyi Kuwa Ni, 1) Waziri Mkuu Joseph Warioba, au 2) Balozi wa Canada Benjamin Mkapa au 3) Salim au 4) Kingunge Ngombale Mwiru,
5) Rashid Kawawa.
utumbo mtupu, hamna ulichoandika cha maana hapo
 
Hadithi nyingine hamna kitu, mtu km Shigongo anaweza tunga kwavkusikia blah blah tu Kombe na Sokoine miaka ya kazivilipishana

Wewe Kakunguni Usibishane Na Wasee wengine wewe, Uwe na Adabu saa nyingine, Nikikuachia Laana itakushika! Mimi sina Hadithi za Alinacha, Unakumbuka Walinitukana Habari yangu Ya Mpango wa Kumuua Lema. Oh ni Hadithi sasa Ona walivyotetemeka.

Haya soma Hiki Kiambatanisho Cha Pili Ukurasa wa 9 na11 Utaona Wale Warefuuu, Walipokuwa wakijaribu Kumfagilia Imran Kombe Kabla hata ya Kufa Kwa Sokoine. Na maneno ya Mwisho ya Sokoine Dodoma yalikuwa atadeal na Viongozi wa Chama na Serikali wanaotumiwa Kuuhujumu Uchumi. Stori yangu ya Waliokuwa Wakipata Mshahara wa Warefu kwa Siri Kombe alidaiwa Kuwa ni Mwanasesere wao na Msambazaji wa Fedha Feki za Kuhujumu Uchumi, Hayo mimi nasoma huku na Kule msinitake nisukumwe na mtu katika uzee wangu huu!
 

Attachments

  • tmp_15356-CIA-RDP83S00855R000200020006-6-821194445.pdf
    1.4 MB · Views: 258
  • tmp_15356-CIA-RDP85S00317R000300070003-8-10739720.pdf
    1.6 MB · Views: 218
Unajua Tanzania ina siri nyingi sana. Sana. Hata ukiacha kifo tata cha Sokoine, kifo cha Karume pia ni tata, Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe haya heleweki, kuondoka kwa Kambona, kupotea kisiasa kwa Bibi Titi, kufa kwa akina Sykes, mengi mengi ni siri. Na hii yote ni kwasababu Nchi kama Nchi yeyote Duniani lazima iwe na siri kwasababu Umma hautakiwi kujua kila kitu na uongozi ni siri nzito sana. Hata kipindi cha Ufalme zamani haya yali kuwako.
 
In Short Shadowy Forces Walitumia Kila wawezalo Ili Imran Kombe apate Nafasi ya Ukuu wa Majeshi Baada ya David Musuguri na Kama wangefanikiwa Basi, Wanghemsaidia Kupindua Serikali. Pili Inajulikana Wazi sana Walikuwa wanatumia Mbinu za Kuvuruga Chaguzi, Ndio Maana Nyerere Mchizi akaweka Urais anagombea na Kivuli hapo wakakwama lakini 1985 Wakaleta Kitimtim sana Kuhusu Mrithi wa Nyerere, Na inaaminka Yule walieamini wazi Piga Uwa Ndiye Mrithi wa Nyerere Yaani Sokoine wakamnyanyua kwa Kuwatumia Wanasesere wao. Mimi sikuwepo nasoma soma kama wengine!
 
Unajua Tanzania ina siri nyingi sana. Sana. Hata ukiacha kifo tata cha Sokoine, kifo cha Karume pia ni tata, Mapinduzi ya Zanzibar yenyewe haya heleweki, kuondoka kwa Kambona, kupotea kisiasa kwa Bibi Titi, kufa kwa akina Sykes, mengi mengi ni siri. Na hii yote ni kwasababu Nchi kama Nchi yeyote Duniani lazima iwe na siri kwasababu Umma hautakiwi kujua kila kitu na uongozi ni siri nzito sana. Hata kipindi cha Ufalme zamani haya yali kuwako.
ntakufuta mkuu.....usiludie.tena
 
Mahali Fulani walisema, Iwapo Nyerere atakufa kwa Ugojwa au Kuuwawa, Ni most likely Viongozi wa Kiraia Akiwepo, Msuya, Malechela, Bomani, etc Wangeshindwa Kuchukua Nchi. Na kwa Njia Hiyo watakaoweza Kuchukua Madaraka watakua ni 1) Imran Kombe au Muhidin Kimario. Lakini walionyesha Kombe ndiye waliyemhusudisha sana hata Kuweka Picha yake kwenye andishi la riport hiyo.

File la Pili Uk. no 16

Wakasema sehemu Nyingine Pia, Iwapo "Successor wa Nyerere akaondoka Ghafla Kutoka Kwenye uwepo" Basi ambao wangeweza Kuingia Madarakani Bila kuingizwa kwa Ushawishi wa Nyerere ni 1) David Msuya 2)Paulo Bomani au Mkapa wangekuwa na Nafasi ya Kuchaguliwa.
File la kwanza Uk. No 10
 

Attachments

  • tmp_6904-CIA-RDP83S00855R000200020006-6(2)1262367240.pdf
    1.4 MB · Views: 147
  • tmp_6904-CIA-RDP85S00317R000300070003-8154258519.pdf
    1.6 MB · Views: 178
Back
Top Bottom