Nani Sokoine wa kizazi hiki?

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,562
37,916
April 12, 1984 Nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 10. Nalikumbuka vizuri tangazo la Mwalimu akitutangazia kifo cha Waziri Mkuu aliyepata kupendwa zaidi na Watanganyika Tangu Uhuru Edward Moringe Sokoine.

Kilichosababisha kupendwa kwake ni jinsi alivyowajali watu wa Hali zote na kuhakikisha wote wanaishi maisha ya heshima na utu.

Upungufu mkubwa wa bidhaa uliojitokeza baada ya Vita ya "Kagera" kutokana na upungufu wa Dola aliushughulikia Kwa Moto mkali baada ya kugundua wafanyabiashara wanaficha bidhaa muhimu makusudi ili kuongeza uhaba Kwa lengo la kupandisha bei.

Ni kiongozi aliyewahi kuacha ofisi (Uwaziri Mkuu) na kurudi shule kuongeza maarifa katika kilimo na uchumi. Aliporejea 1982 Mwalimu akamrejeshea nafasi yake.

Sifa Kuu zilizomtifautisha Sokoine na wenzake wengi ni;

1. Kuchukia rushwa kiuhalisia.

2. Ufuatiliaji wa kina na uchukuaji wa hatua bila kuona muhali.

3. Kutojilinbizia Mali na kuridhika na mshahara na posho halali alizolipwa.

4. Hakuwa na upendeleo wa kieneo au kifamilia.

5. Kiongozi aliyejiona Mtumishi wa watu badala ya mtawala.
Nk. Nk.

Leo April 12, 2024 miaka 40 baada ya kifo chake cha ajali pale Dumila Morogoro serikali nzima iko Monduli.

Wanasema wamekwenda kumuenzi Sokoine. Wanakwenda kuenzi jina lake au matendo yake?

Nani anaweza kuwa hata nusu tu ya Sokoine? Nani robo ya Sokoine? Mbona kama wamekwenda kwenye sherehe ya Nanenane?

Mnakwenda kumuenzi Mtu ambaye matendo yake na yenu ni mbingu na ardhi?
 
April 12, 1984 Nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 10. Nalikumbuka vizuri tangazo la Mwalimu akitutangazia kifo cha Waziri Mkuu aliyepata kupendwa zaidi na Watanganyika Tangu Uhuru Edward Moringe Sokoine.

Kilichosababisha kupendwa kwake ni jinsi alivyowajali watu wa Hali zote na kuhakikisha wote wanaishi maisha ya heshima na utu.

Upungufu mkubwa wa bidhaa uliojitokeza baada ya Vita ya "Kagera" kutokana na upungufu wa Dola aliushughulikia Kwa Moto mkali baada ya kugundua wafanyabiashara wanaficha bidhaa muhimu makusudi ili kuongeza uhaba Kwa lengo la kupandisha bei.

Ni kiongozi aliyewahi kuacha ofisi (Uwaziri Mkuu) na kurudi shule kuongeza maarifa katika kilimo na uchumi. Aliporejea 1982 Mwalimu akamrejeshea nafasi yake.

Sifa Kuu zilizomtifautisha Sokoine na wenzake wengi ni;
1.Kuchukia rushwa kiuhalisia.

2.Ufuatiliaji wa kina na uchukuaji wa hatua bila kuona muhali.

3.Kutojilinbizia Mali na kuridhika na mshahara na posho halali alizolipwa.

4.Hakuwa na upendeleo wa kieneo au kifamilia.

5.Kiongozi aliyejiona Mtumishi wa watu badala ya mtawala.
Nk. Nk.

Leo April 12, 2024 miaka 40 baada ya kifo chake cha ajali pale Dumila Morogoro serikali nzima iko Monduli.

Wanasema wamekwenda kumuenzi Sokoine. Wanakwenda kuenzi jina lake au matendo yake?

Nani anaweza kuwa hata nusu tu ya Sokoine? Nani robo ya Sokoine? Mbona kama wamekwenda kwenye sherehe ya Nanenane?

Mnakwenda kumuenzi Mtu ambaye matendo yake na yenu ni mbingu na ardhi?
Nnauhakika % kama Serikali haijatoa posho nono na hela za mafuta nk hakuna hata mmojawao angeenda licha ya kuwa tayar wanamafuta Lita buku za mwez kwa ajili ya kazi hizohizo!!!!!
 
Kwanza namshukuru mama kwa kuruhusu kuenziwa kwa Sokoine, pili kujibu swali lako, Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ndie mrithi wa Sokoine kwa vitendo kabisa.

Mama anachukia Rushwa kwa vitendo kabisa. Amewaambia watumishi wake wale kwa urefu wa kamba zao, wasichukue zaidi.

Mama hana upendeleo kwa upande wowote kabisa, mfano mzuri kaondosha wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Tanga ili kulinda maslahi ya Twiga na Tembo. Na kuhakikisha wanyama hawabughudhiwi, amewapa wa Oman hiyo mbuga wawe kama walinzi.

Hakika mama ni reincarnation ya Sokoine.
 
Kwanza namshukuru mama kwa kuruhusu kuenziwa kwa Sokoine, pili kujibu swali lako, Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ndie mrithi wa Sokoine kwa vitendo kabisa.

Mama anachukia Rushwa kwa vitendo kabisa. Amewaambia watumishi wake wale kwa urefu wa kamba zao, wasichukue zaidi.

Maana hana upendeleo kwa upande wowote kabisa, mfano mzuri kaondosha wamasai Ngorongoro na kuwapeleka Tanga ili kulinda maslahi ya Twiga na Tembo. Na kuhakikisha wanyama hawabughudhiwi, amewapa wa Oman hiyo mbuga wawe kama walinzi.

Hakika mama ni reincarnation ya Sokoine.
Kati ya sifa 5 za Sokoine kweli nimeweka kipengele cha Kula Kwa urefu wa kamba?
 
...zoezi la kukabiliana na wahujumu uchumi miaka ya 1984 aliiendesha vibaya. Kulikuwa na ukatili na unyanyasaji kwa watu ambao walionekana ni mataajiri wakati huo.
Japo alikuwa akisimamia kanuni za azimio la arusha lakini kwenye hilo alishindwa.

Alikuwa na roho mbaya kama ya Magufuli.
 
April 12, 1984 Nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 10. Nalikumbuka vizuri tangazo la Mwalimu akitutangazia kifo cha Waziri Mkuu aliyepata kupendwa zaidi na Watanganyika Tangu Uhuru Edward Moringe Sokoine.

Kilichosababisha kupendwa kwake ni jinsi alivyowajali watu wa Hali zote na kuhakikisha wote wanaishi maisha ya heshima na utu.

Upungufu mkubwa wa bidhaa uliojitokeza baada ya Vita ya "Kagera" kutokana na upungufu wa Dola aliushughulikia Kwa Moto mkali baada ya kugundua wafanyabiashara wanaficha bidhaa muhimu makusudi ili kuongeza uhaba Kwa lengo la kupandisha bei.

Ni kiongozi aliyewahi kuacha ofisi (Uwaziri Mkuu) na kurudi shule kuongeza maarifa katika kilimo na uchumi. Aliporejea 1982 Mwalimu akamrejeshea nafasi yake.

Sifa Kuu zilizomtifautisha Sokoine na wenzake wengi ni;

1. Kuchukia rushwa kiuhalisia.

2. Ufuatiliaji wa kina na uchukuaji wa hatua bila kuona muhali.

3. Kutojilinbizia Mali na kuridhika na mshahara na posho halali alizolipwa.

4. Hakuwa na upendeleo wa kieneo au kifamilia.

5. Kiongozi aliyejiona Mtumishi wa watu badala ya mtawala.
Nk. Nk.

Leo April 12, 2024 miaka 40 baada ya kifo chake cha ajali pale Dumila Morogoro serikali nzima iko Monduli.

Wanasema wamekwenda kumuenzi Sokoine. Wanakwenda kuenzi jina lake au matendo yake?

Nani anaweza kuwa hata nusu tu ya Sokoine? Nani robo ya Sokoine? Mbona kama wamekwenda kwenye sherehe ya Nanenane?

Mnakwenda kumuenzi Mtu ambaye matendo yake na yenu ni mbingu na ardhi?
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu
 
April 12, 1984 Nilikuwa na umri wa miaka zaidi ya 10. Nalikumbuka vizuri tangazo la Mwalimu akitutangazia kifo cha Waziri Mkuu aliyepata kupendwa zaidi na Watanganyika Tangu Uhuru Edward Moringe Sokoine.

Kilichosababisha kupendwa kwake ni jinsi alivyowajali watu wa Hali zote na kuhakikisha wote wanaishi maisha ya heshima na utu.

Upungufu mkubwa wa bidhaa uliojitokeza baada ya Vita ya "Kagera" kutokana na upungufu wa Dola aliushughulikia Kwa Moto mkali baada ya kugundua wafanyabiashara wanaficha bidhaa muhimu makusudi ili kuongeza uhaba Kwa lengo la kupandisha bei.

Ni kiongozi aliyewahi kuacha ofisi (Uwaziri Mkuu) na kurudi shule kuongeza maarifa katika kilimo na uchumi. Aliporejea 1982 Mwalimu akamrejeshea nafasi yake.

Sifa Kuu zilizomtifautisha Sokoine na wenzake wengi ni;

1. Kuchukia rushwa kiuhalisia.

2. Ufuatiliaji wa kina na uchukuaji wa hatua bila kuona muhali.

3. Kutojilinbizia Mali na kuridhika na mshahara na posho halali alizolipwa.

4. Hakuwa na upendeleo wa kieneo au kifamilia.

5. Kiongozi aliyejiona Mtumishi wa watu badala ya mtawala.
Nk. Nk.

Leo April 12, 2024 miaka 40 baada ya kifo chake cha ajali pale Dumila Morogoro serikali nzima iko Monduli.

Wanasema wamekwenda kumuenzi Sokoine. Wanakwenda kuenzi jina lake au matendo yake?

Nani anaweza kuwa hata nusu tu ya Sokoine? Nani robo ya Sokoine? Mbona kama wamekwenda kwenye sherehe ya Nanenane?

Mnakwenda kumuenzi Mtu ambaye matendo yake na yenu ni mbingu na ardhi?
Tofauti kidogo na Mwl. Nyerere, Sokoine haikuwa na hii kitu inaitwa 'muhali'; ilikuwa ukiboronga unakwenda na maji. Lakini Mwl. aliwavumilia baadhi ya viongozi akiwahamisha huku kwenda kule ili wajifunze/kujirekebisha. Lingine huwa halisemwi, Sokoine aliwahi 'kuzira' ofisi wakitofautiana na Mwl. katika hatua za maamuzi kama hayo, akaenda kijijini kwake Monduli juu. Mwl. alijirudi akamrejesha ofisini. Inasemekana walimkuta na wanajamii wenzake akichunga mifugo yake bila wasiwasi. Hata hivyo Mwl. aliamini baada ya yeye mtu sahihi alikuwa Sokine. Sasa kwa kariba hii ya uongozi unataka kumfananisha na nani leo hii? Aina hii ya viongozi huibuka mara chache baada ya miaka mingi sana. Kwa nchi yetu itatuchukua muda kumpata kiongozi aina ya Mwalimu Nyerere au Sokoine. Hawa waliopo leo ni wachumia tumbo na waimba mapambio..!
 
Back
Top Bottom