soma

  1. Zirconium

    Hizi ni baadhi ya ELEMENTS za watu waliofanikiwa KIUCHUMI lakini HAWAJIONESHI. Soma hadi mwisho kisha jitathimini wewe binafsi uko wapi?

    1. Waliofanikiwa Kiuchumi ni watu waliofanikiwa katika UTUNZAJI WA MUDA! Hawapendi kupoteza muda 2. Waliofanikiwa Kiuchumi ni MABAHILI na wanachukiwa na watu wao wa karibu, kwa sababu ya ubahili wao. 3. Waliofanikiwa Kiuchumi, hawapendi sana POPULARITY ili kuwa huru ktk mambo yao binafsi...
  2. Mohamed Said

    ANGALIA KIPINDI CHA KENNETH KAUNDA CHA TBC KISHA SOMA MAKALA YANGU

    https://youtu.be/CVXxtVyvVPM?si=rF3f154L9fP4pv3c Baada ya kuangalia kipindi cha Kenneth Kaunda nikaona niweke makala yake niliyoandika mwaka wa 2021 alipotimiza miaka 97. KENNETH DAVID KAUNDA NA ALLY KLEIST 1953 Leo Kenneth Kaunda katimiza miaka 97. Nimeangalia picha ya Kenneth David Kaunda...
  3. Poor Brain

    Njia Mbali mbali za kupata Pesa bila kuvuja jasho

    Kama kijana ambaye hutaki mambo ya kuvuja jasho... Hutaki kazi ngumu na kazi huna.... Unataka maisha smart ila kazi ngumu hutaki.. Basi hapa panakufaaa takupa mbinu ambazo zitakufanya wewe uwe unapata pesa bila kusumbuka.. sawa blood.. Oky endelea fatilia zaidi kila siku tatoa mbinu tatu...
  4. K

    Soma Hii

    Watu wasiotenda haki ni wengi na ni Makatili . Huisema haki huku wakiwa wanaichukia haki yenyewe. Ndiyo Maana kukiwa na mtu akiishabikia haki Waovu kwa uovu wao hukaa kimya wakisubiri habari za kijinga na za hovyo hovyo ili waziunge mkono
  5. H

    Chuo gani kwa hapa kwetu Tanzania naweza soma Master's degree in sign language interpretation

    Baada na kuhitimu na kuitumikia ipasavyo Bachelor of Education Special Needs. Nahitaji kua mbobezi Zaid katika maswala ya ukalimani na lugha ya alama, naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa nchini kinatoa kozi tajwa kwa level ya Masters
  6. Festo Andrews

    UNAPOANDAA CV YAKO HUWA UNAKUMBUKA KUWEKA VERIFICATIOM PAGE? SOMA UMUHIMU WAKE HAPA

    Kabla hujatuma CV yako, huwa unakumbuka kuongeza ukurasa wa uthibitisho wa wasifu i.e. CV Verification Page? Na kwanini ni muhimu uthibitishe CV yako kabla hujaituma? Hebu tuangalie kwa kina umuhimu wa kuwa na ukurasa wa uthibitisho wa wasifu (CV verification page) 1.Kuongeza Imani: Katika...
  7. Mejjah92

    Soma katiba ya nchi yako ujue sheria na haki yako uwe jasiri maana tunaongozwa kwa katiba

    Maneno hayo yana ukweli mwingi. Kujua Katiba ya nchi yako ni muhimu sana kwa sababu: Inakupa Ufahamu wa Haki Zako – Unapojua haki zako, huwezi kudhulumiwa kirahisi, na utaweza kuzitetea ipasavyo. Unajua Wajibu Wako – Katiba siyo tu kuhusu haki, bali pia inabainisha majukumu yako kama raia...
  8. Allen Kilewella

    Soma kiumakini utapata jambo la maana

    The Arse’s Bold Bid for Leadership: A Tale of Guts and Glory In the bustling metropolis of Human Body, where organs worked tirelessly to keep the system running, a new contender emerged for the role of leadership: the Arse. Yes, the Arse—often overlooked, frequently ridiculed, but undeniably...
  9. TODAYS

    HILA SISI!; Sitii Neno Katika Hii, Hebu Soma Kwanza!.

    Alafu sema hitimisho lako linakuwaje katika mchezo huo ili huyu mama aendelee kuwa nawe?.
  10. Sam Richards

    Wengi hawajui maana ya CHATGPT na inavyofanya kazi. Soma hapa

    CHATGPT inasimama kwa "Chat Generative Pre-trained Transformer." Hii ni teknolojia ya akili bandia inayotumika kutoa majibu ya mazungumzo, kama vile tunavyozungumza sasa. Inategemea mafunzo yaliyofanywa kwenye data nyingi za maandiko ili kujua jinsi ya kujibu maswali na kujenga mazungumzo ya...
  11. R

    Uhuru wa Mahakama: Mahakama yasitisha amri ya Trump ya kuzuia uraia wa kuzaliwa Marekani

    UHURU WA MAHAKAMA Kwako Ibrahim Juma , CJ. MH. JAJI MKUU NAOMBA UPITIE UONE KAMA KUNA HAJA YA KUIGA MFANO HUU WA MAHAKAMA HURU Jaji wa Mahakama ya Wilaya ya Marekani, John Coughenour, ametoa agizo la muda la kusitisha utekelezaji wa amri ya Rais Donald Trump ya kufuta uraia wa kuzaliwa nchini...
  12. T

    Goodluck Gozbert kiroho yupo sahihi kuchoma gari soma hii.. 1Sam15-20

    Ndugu zangu shetani hajalala shetani anafanya kazi mpaka sasa. Kuna watu hawajuwi vile shetani anafanya kazi ila kwa wale tuna soma Biblia shetani sio kiumbe mzuri. Shetani ktk hii dunia ya leo anafanya kazi kwa namna ukijuwa unaweza kuogopa watu,zawadi,maneno,vyakula, macho ya watu nk. Ndugu...
  13. CARIFONIA

    Je, unatamani kuwa tajiri basi soma kwa umakini huu uzi

    “Siri 12 Ambazo Matajiri Hawataki Uzijue” Tunaishi katika dunia iliyoundwa na matajiri, kwa faida ya matajiri. Kila kitu, kuanzia vyombo vya habari unavyotumia hadi ushauri unaopewa, kimepangwa kwa makusudi kukuweka kwenye mbio zisizoisha za kutafuta maisha, huku wao wakizidi kupaa juu. Ni...
  14. M

    Natengeneza projects za aina yoyote bure njoo na idea yako tuu hakikisha ni nzuri na yenye kunufaisha. Soma maelekezo kwa kuelewa

    Wakuu mko salama Iwe application ya simu, desktop application, web systems zote hizi nazitengeza... Cost za server na bundle ni juu yako application ikikamilika ndo tutagawana faida
  15. Prof_Adventure_guide

    Kisa: Changamoto ambayo nimewahi kukumbana nayo katika hifadhi ya taifa Serengeti

    Karibu kwenye safari yetu ya kusisimua ya Serengeti, ambako mandhari ya pori ni ya kupendeza na wanyama wanaotembea kwa majivuno chini ya jua kali! Mimi ndiye mwongozo wako, na leo tunaendesha Land Cruiser ya kuvutia—model GX 200, yenye injini ya Turbo Diesel 4.5L V8. Ni gari linayojulikana kwa...
  16. Madingi ya Mbinguni

    AY na Mwana FA unajua kwanini walitengana? Soma hapa.

    Mwana FA na AY waligombana baada ya FA kuajiriwa na kitengo idara pendwa ya jengo la mwewe. AY akamuona huyu tayari kashakula shavu ukudani kwa wakuda. Alamsiki.
  17. TODAYS

    HATARI SANA: Mashirika Yatangaza Kufirisika! - Soma.

    Kampuni za bima kwenye jiji la Los Angeles zimeanza kuwasilisha maombi yao haraka kwamba ya kufilisika. Hiyo imejili kutokana na moto unaoendelea kuwaacha wakaazi wengi nje bila makazi. Moto huo kuharibu na kuchoma ekari zaidi 2,921 za mandhari nzuri ya Pasifiki ya Palisades imepotea.
  18. Prof_Adventure_guide

    Hii hapa historia kamili ya mlima Kilimanjaro, soma kwa makini uielewe

    Mlima Kilimanjaro, ambao ni mlima mrefu zaidi barani Afrika, una historia yenye mvuto na thamani kubwa. Katika muktadha wa utafiti wa muda mrefu, Kilimanjaro inajulikana kama "Kilimanjaro" kutoka kwa neno la Kiswahili linalomaanisha "mlima wa wingu". History ya Kilimanjaro inategemea mazingira...
  19. The introvert

    Soma kurasa za mbele za magazeti ya leo Januari 6,2025

    Cc: SwahiliTimes 𝗡𝗯 : 𝗪𝗲𝘄𝗲 𝗻𝗶 𝗠𝗽𝗲𝗻𝘇𝗶 𝗺𝘀𝗼𝗺𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗴𝗮𝘇𝗲𝘁𝗶 𝗹𝗶𝗽𝗶?
Back
Top Bottom