Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

NItakupa sababu mbili muhimu kwanini usitumie kadi yako ya TIGO mastercard kununua vitu online. 1. Hii kadi wameunganisha mojamoja na akaunti ya Tigopesa, hamna control ambayo mteja unakua nayo...
23 Reactions
89 Replies
13K Views
  • Featured
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo...
3 Reactions
58 Replies
1K Views
Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani. Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana. Kabla ya uchaguzi. johnthebaptist
4 Reactions
72 Replies
639 Views
LIBERIA 1980 Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980 A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Kumbe kazi siyo ndogo, hii bill kama Trump atatia saini kutakuwa na kilio na kusaga meno. Mswada wa Marekani unaagiza kutathmini ushirikiano wa Tanzania na China kijeshi, kiuchumi na kisiasa...
29 Reactions
239 Replies
3K Views
Rapper Zainab Lipangile ( Zay B) amefariki Leo asubuhi na anatarajiwa kuzikwa Leo saa kumi kwenye makaburi ya Tabata Kinyerezi. Inna lilahi wa innah ilayhi raji'un. Rest In Peace Zay B.
24 Reactions
261 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kesho ni mwezi ya 6 tarehe 1 nusu mwaka umekata sasa tunaenda kuanza nusu nyingine Basi nakuombea biashara yako isifungwe, uchumi wako...
7 Reactions
10 Replies
58 Views
Eti ndo jiji lilitoa Spika wa Tanzania 🤣🤣🤣 Siwezi kulala Mbeya... Usiku huu Nageuza Iringa.. Ntalala mbele kwa mbele japo hata Makambako.. CCM mumelaaniwa.. Kwanini huyu Mzanzibari Samia...
24 Reactions
70 Replies
926 Views
Kampuni za magari kutoka China zinafanya vizuri kwenye soko la magari SA na imepelekea kampuni ya Cherry kununua kiwanda cha Nissan kilichopo Pretoria kuanzia mwakani kitakua kinazalisha magari ya...
11 Reactions
39 Replies
1K Views
Jordan ina watu 11m. Tanzania 65m. Ukubwa wa Jordan ni kilomita za eneo 80, 000 na kidogo. Tanzania ni kilomita za eneo 950,000. Jordan inaingia kama mara 12 kwa tz. Mto pekee Jordan ni mto...
0 Reactions
0 Replies
12 Views

FORUM STATS

Threads
2,060,931
Posts
55,457,309
Back
Top Bottom