Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka...
Kufuatia ajali ya vijana wawili wenye Subari Pichani wakishindana na Crown , sasa ni rasmi “bodaboda akili zao ni sawa kabisa na vijana wa Subaru/Crown”
Ajali imetokea Morogoro, wakipiga ligi na...
Magaidi wa Hezboullah huko Lebanon toka jana na leo wamegaragazwa vibaya sana, wengi wa makamanda wao wameuwawa pamoja na wapiganaji wao.
Picha hizi ni baadhi tu ya makamanda wao waliouliwa...
Probox ni gari maarufu sana East Africa, nadhani ni kwasababu ya durability, space kubwa ya kubeba mizigo na abiria etc.
Sasa ndugu zetu Wakenya sijui wanazitumia vibaya? Maana kwenye page ya...
Kila kitu hutokea kwa sababu. Ikiwa sisi wanaume wenye ndoa zetu, tukiamua kuwa waaminifu kwa wake zetu, kuna uwezekano mkubwa huko mitaani wanawake wengine wakiwepo wanafunzi wa vyuo wakapata...
Ofisi za Gazeti la Pambazuko zimevunjwa na watu wasiojulikana na kuibiwa vifaa mbalimbali zikiwemo nyaraka, kompyuta mpakato (laptop) mbili na kamera ya kazi za uandishi wa habari.
Tukio hilo...
Ndugu zangu habarini za wakati huu. Naomba mwenye kujua taratibu za kufungua biashara yoyote ndogo-ndogo anifahamishe hataua kwa hafua kwa mjibu wa sheria.
🌲 - 🇱🇧 | 🇮🇱❌🇱🇧 Kundi jipya zaidi la vifo vya magaidi wa Hezbollah: wote waliuawa wakati wa wimbi la mashambulizi ya angani na kwa sasa wanatambuliwa, wakiwemo Hezbollah Sheikh Sadek Nabulsi na...
Serikali imetoa ufafanuzi kwa umma kufuatia taarifa iliyoelezwa kuwa potofu iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kuhusu uteuzi wa Mbunge uliofanywa na Rais Samia Aprili 2...
1. Sitachoka kuwafundisha ninyi vijana. Maana wengi wenu hamkuishi na Wazee nazungumzia wazee waliozaliwa kabla ya mwaka 1940. Hao ndio Wababu.
2. Mtibeli nilibahatika kuishi na Wazee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.