Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, yule mliyemuua kwa kumning’iniza mti. (Matendo 5:30) Basi Yesu aliposema: Na asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hastahili mimi. (Mathayo 10:38) Ingepasa...
0 Reactions
1 Replies
13 Views
Msikilize Anajenga hoja kwa kutumia higher mental faculties of reasoning in Law Tatizo akiahidiwa kushiriki uchaguzi wa wabunge ana cross kwenda "ACT"..... To me is disqualified as worthy of...
5 Reactions
24 Replies
281 Views
Habari ya leo wadau!Kama mtu anaanza kuwekeza katika hisa leo 4/5/2026 unaweza kumshauri anunue hisa za kampuni/benki gani?NAOMBENI USHAURI HAPO
3 Reactions
15 Replies
312 Views
Kutoka kwenye akaunti ya X ya Hilda Newton. ‼️UKWELI KUHUSU BUYOBE, KWENYE SAKATA LA KUTEKWA MSHABAHA.‼️ Shuka na Thread hadi mwisho uzi ni mrefu👇 Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia...
39 Reactions
186 Replies
3K Views
Natambua kwamba Hilda Newton amemuanika kwa kiasi fulani Japo kwa kuchelewa, lakini maelezo Yale hayatoshelezi Sasa ni vema BUYOBE akaanikwa kikamilifu hapa jf ili kila Mmoja amfahamu vizuri Ni...
5 Reactions
25 Replies
330 Views
Mimi ni muislamu na hata iweje nitabaki kuwa muislamu mpaka naingia kaburini na nakubali Muhammad ni mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu japo utume wake ni wa mashaka mashaka sana. Muhammad...
47 Reactions
262 Replies
3K Views
Na hiyo huchangiwa zaidi na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa 100%, hali ambayo huwakosesha kabisa vyama vya siasa vya upinzani nchini agenda. Matokeo yake hali hiyo ni kwamba wapinzani...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
7 Reactions
15 Replies
395 Views
Ukisikiliza hii hotuba ya mh. Heche utagundua taifa hili tuna rasilimali ya watu wema sana na tunatakiwa kuwatumia kama taifa kwa manufaa yetu sote na Heche kwangu amethibitisha hilo baada ya...
0 Reactions
4 Replies
120 Views
WASIRA AKONGA NYOYO ZA WANANCHI KIGOMA MJINI Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewahutubia na kukonga nyoyo za mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma...
2 Reactions
9 Replies
57 Views

FORUM STATS

Threads
2,057,717
Posts
55,378,190
Back
Top Bottom