Kabla ya Uchaguzi boss alitaka amuweke mrithi wake kwenye kampuni yake, mrithi anayemtaka yeye. Ila kutokana na upinzani mkubwa ndani ya kampuni maamuzi magumu ilibidi yafanyike
Baada ya Uchaguzi...
Shabiby Bus boresheni huduma zenu haswa sehemu mnazopeleka abiria kula na kujisaidia.Maafisa afya nao mfanye kazi zenu vizuri,abiria watakuja kupata madhara kiafya.Hembu kuweni na ofisi nzuri...
SCHOOL FOR SALE or RENT as YARD/ SHULE INAUZWA.
IPO MBAGALA-TEMEKE
Eka 80
Fully fenced
Linagusa lami
Full DOCUMENTS/ HATI kamili
Panafaa
Parking ya malori
Kiwanda
Hospitali
BEI/ PRICE...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Kwamba nikijaribu kujitafta mimi halisi sipo?
Najua utabisha, but honestly hakuna self! Yaani you don't exist, wewe ni kama thought, wazo flani tu ambao liko implanted kama jina, jinsia, baba...
https://youtu.be/fQ599jLDuzs?si=IjRry0Ag8mFp7rd-
Nimejiuliza Sana swaali hili na kukosa majibu, kwa nini?
Nisemapo wenye CCM yao nadhani nimeeleweka, maana hii ya kina Samia, Kikwete na wapiga...
Na mtu ambaye yupo Dodoma jana katutext eti ameshikwa na polisi tumlipie dhamana tokea hapo hatuna taarifa yeyote naomba msaada kama kuna mtu ambaye anaweza kutusaidia tumpate .
Maana hapatikani...
Hamjambo!
Maswali kama nilivyouliza.
Kama wanaojiuza wanatoka Bara na Kenya, je wanunuzi wanatoka wapi?
Na kwa nini Zanzibar iwe soko la biashara hiyo?
Huwezi fungua soko la Dhahabu Iringa...
Kaimu Waziri wa Afya Zanzibar, Saada Mkuya Salum amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar haiwezi kugharamia matibabu kwa Watu wasio Wazanzibar.
Saada ametoa kauli hiyo Juni 8, 2026 wakati akijibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.