Vipi, umeshawahi kukutana na mtu ambaye hatosheki kingono au kweye mahusiano ya kimapenzi?
Ambao hamjaangalia, inamhusu mbaba anaitwa Jonasi ambaye ana ndoa ya mke zaidi ya mmoja ila bado ana...
AJALI NILIYOIPATA NJIANI: SOMO KWA MADEREVA WOTE
Utangulizi
Tarehe 15/06/2026 ni siku ambayo sitaisahau kwa urahisi katika maisha yangu. Nilipata ajali ya pikipiki katika eneo la Butinzya nikiwa...
Habari za muda huu wana-JamiiForums,
Kuna wakati unakaa na kutafakari jinsi maisha yalivyobadilika kwa kasi sana hasa kwa sisi tuliobahatika kuzaliwa na kukulia katika miaka ya 1970, 1980, na...
"Kuzingatia maelezo ambayo ni msingi wa kikatiba na sheria, msimamo wa kisheria nchini ni kwamba haki ya kufanya mikutano ya hadhara ni haki ya kikatiba lakini utekelezaji wake unaweza kuwekwa...
Baada ya CCM kupitia serikali yake dhalimu kupiga marufuku mikutano ya siasa na wao kuanza kumtumia waziri mkuu wao fake Mwigulu kumwaga sumu ya kuwa maandamano yameandaliwa kuleta vurugu na wao...
Kama ulikua hujui kuwa DAR ES SALAAM kuna TAPELI WA JUICE wacha nikufahamishe;-
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida kuwahi kutokea TANZANIA,
Mkoani DAR ES SALAAM kuna muuza juice mmoja tapeli...
Kuna wakati inabidi ukweli uwe wazi ili upate amani ya Moyo.
Mimi Nusratt Mohamed, Nimechoka kuwa muuzaji.
Nimechoka na hii kazi,
Nimechoka kuwa dada poa,
Nimechoka kudhalilika kwenye jamii...
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
Unabii wowote unaotolewa kwa Jina la BWANA hupimwa kwa NENO la Mungu yani BIBLIA. Nina uhakika nabii Denis hawezi kubisha kigezo hiki. Twende kazi:
1. Unabii alioutoa ni SIMBA NI BINGWA 2026. Je...
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari mbili linauzwa. Shamba liko Saeni Misugusugu Kibaha maarufu kama Zogowale. Linakaribiana na maeneo ya uwekezaji wa viwanda hivyo ukinunua unakuwa umejiwekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.