Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Heee kumekucha! Wameanza kuchomeana mingo zao Kazi ipo mbona, acha nikae siti ya mbele kabisa! =============== Basi la abiria aina ya Yutong linalomilikiwa na kampuni ya Abood, lenye namba ya...
14 Reactions
69 Replies
983 Views
Please mwenye hotuba / press Conference ya leo aniwekee hapa.
0 Reactions
2 Replies
12 Views
Juzi niliona Binti Raia wa Marekani ambae amefariki kifo cha utata hotelini Zanzibar na hadi leo kifo chake kinahusishwa na mpenzi wake mzungu inasemekana walikuwa na ugomvi hadi kutenganishwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
3 Reactions
4 Replies
61 Views
Asalaam aleykum! Wakuu habari za siku nyingi,wale waliotangulia mbele za haki mungu awasamehe makosa yao wapate amani na wale wangonjwa Mungu awaondolee maradhi ili waendelee katika shughuli za...
2 Reactions
23 Replies
91 Views
unamkumbukia mazuri,au unamkumbukia mabaya.
6 Reactions
28 Replies
414 Views
Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
16 Reactions
91 Replies
1K Views
Wakuu, Wahenga walinena, "Ngoma ikipigwa sana hupasuka," lakini vipi pale mpigaji anapoamua kuziba masikio yake kwa pamba ili asisikie mwangwi wa ngoma anayoipiga? Hapa ndipo tunapojikuta kama...
4 Reactions
14 Replies
97 Views
Mimi ni mkatoliki lakini kwa huyu Papa ni heri niendelee kumuunga mkono Trump, Papa yupo kisiasa zaidi Papa wa sasa anatoka Marekani, na baadhi ya kauli na mitazamo yake imeonekana wazi ana...
5 Reactions
37 Replies
360 Views
Anonymous (d932)
KERO 
Mimi ni mdau wa ukurasa wenu. Nina kero moja, Watumishi wa Ajira Mpya (Walimu) za Januari 2026 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hatujapewa pesa zetu za kujikimu. Kila tunapofuatilia...
0 Reactions
3 Replies
13 Views

FORUM STATS

Threads
2,051,729
Posts
55,238,438
Back
Top Bottom