Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Dj Choka kwa sasa anasumbuliwa na figo, hivyo anahitajika mara kwa mara kufanya dialysis kusudi aweze kuishi.
Kumchangia afanyiwe dialysis ni jambo zuri sana pia ni thawabu kwa Mwenyezi Mungu...
Serikali sasa iachane na ujenzi wa stendi za magari na masoko. Haya ni mambo yanayoweza kufanywa na watu binafsi na pia hakuna maana tena ya kujenga majengo makubwa ya kukufanya watu pamoja kama...
Wanajamii, katika maisha ya sasa, ajira pekee haiwezi kuwa suluhisho la kufikia mafanikio kwa kiwango cha juu. Hivyo, ni muhimu kuwa na alternative sources za income ili maisha yaweze kwenda...
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, amesema baadhi ya watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko, akisisitiza kuwa Chama hicho hakiwezi kuwa mfuasi wa ajenda za kisiasa...
Mke wa Cristiano Ronaldo, Georgina Rodríguez amesema ndoa yake na Mumewe ilifungwa katika sebule ya nyumba yao Cascais, Ureno huku ikihudhuriwa na Watu saba tu.
Kauli ya Georgina inakuja ikiwa ni...
Watu wengi tulitarajia atoe hotuba kali sana kupinga haya masuala ya utekaji na mauji. Lakini hata alipo uliwa Mzee Ali Kibao, rais alitamka kifo ni kifo tu👇
Ni dhahiri Tundu Lissu hana kesi yoyote ya kujibu na ataachiwa huru Ijumaa Ijayo.
Ushahidi wote wa Mashahidi 17 wakiwemo wale wa kwenye Kabati hawakuwahi kuthibitisha chochote kuhusu Uhaini wa...
Mtaani kwa sasa kuna mabadiliko makubwa sana: watu wengi wanaachana na zile Subwoofer kubwa zilizosheheni mawaya na kuhamia kwenye Soundbar. Ni nyembamba, zinapendeza zikiwa chini ya TV ya...
Umekutana na mpenzi wako akiwa ashatumika? Imagine ni siku ya harusi yenu. Sasa nakutengnezea picha jinsi mara zote inavyokuaga
Kuna maex wake, kuna aliofanya nao one night stands, kuna waliomla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.