Mungu wa mababu zetu alimfufua Yesu, yule mliyemuua kwa kumning’iniza mti. (Matendo 5:30)
Basi Yesu aliposema:
Na asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hastahili mimi. (Mathayo 10:38)
Ingepasa...
Msikilize
Anajenga hoja kwa kutumia higher mental faculties of reasoning in Law
Tatizo akiahidiwa kushiriki uchaguzi wa wabunge ana cross kwenda "ACT"..... To me is disqualified as worthy of...
Kutoka kwenye akaunti ya X ya Hilda Newton.
‼️UKWELI KUHUSU BUYOBE, KWENYE SAKATA LA KUTEKWA MSHABAHA.‼️
Shuka na Thread hadi mwisho uzi ni mrefu👇
Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia...
Natambua kwamba Hilda Newton amemuanika kwa kiasi fulani Japo kwa kuchelewa, lakini maelezo Yale hayatoshelezi
Sasa ni vema BUYOBE akaanikwa kikamilifu hapa jf ili kila Mmoja amfahamu vizuri
Ni...
Mimi ni muislamu na hata iweje nitabaki kuwa muislamu mpaka naingia kaburini na nakubali Muhammad ni mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu japo utume wake ni wa mashaka mashaka sana.
Muhammad...
Na hiyo huchangiwa zaidi na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa 100%, hali ambayo huwakosesha kabisa vyama vya siasa vya upinzani nchini agenda. Matokeo yake hali hiyo ni kwamba wapinzani...
Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
Ukisikiliza hii hotuba ya mh. Heche utagundua taifa hili tuna rasilimali ya watu wema sana na tunatakiwa kuwatumia kama taifa kwa manufaa yetu sote na Heche kwangu amethibitisha hilo baada ya...
WASIRA AKONGA NYOYO ZA WANANCHI KIGOMA MJINI
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewahutubia na kukonga nyoyo za mamia ya wana CCM na wananchi wa Kigoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.