Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Unaambiwa jamaa kajilinda dk zote tisini akimeza mashambulizi ya timu pinzani . Kwenye dk za nyongeza tano kasimamisha sub hatari 1. Straiker: Samia! 2. Winga: Philipo 3. Midfielder: Majaliwa 4...
10 Reactions
25 Replies
430 Views
Kama una makosa basi uhukumiwe kwa kosa lako. Kusema kukinukisha ni uhaini? Hata hata ule uhaini wa wale wanajeshi waliompinga hayati Nyerere hawakupindua kwa maneno kama haya. Walipanga kutumia...
1 Reactions
8 Replies
46 Views
Kuna stage katika maisha, universe itakupitisha katika tanuri la moto ili tu ikuamshe. Yaani utaona kama Mungu alikosea kukuumba ilihali amekufanya wa tofauti ili uje uje utimize mambo makubwa...
1 Reactions
9 Replies
55 Views
Kama serikali inataka inufaike basi hivyo vituo ni vya serikali, kama wananchi wanatakiwa wanufaike basi hivyo vituo ni vya wananchi Napata shida sana kuelewa dhana ya biashara huria. Kama...
3 Reactions
7 Replies
51 Views
Amekuwa Wakili wa Mamluki walioishitaki Chadema akiwemo Lembrus Mchome anayepinga kufukuzwa Mndeme amekuwa ofisi ya Katibu Mkuu na alipelekwa bungeni ofisi ya KUB Ni kweli kwamba Wakili...
1 Reactions
4 Replies
27 Views
Nyumbani sina jenereta la kufua umeme. Hivyo, Sasa hivi naogopa kuangalia mechi muhimu nyumbani kwangu kwa kuogopa umeme unaweza kukatika wakati wowote kabla ya mechi au katikati ya mechi. badala...
7 Reactions
28 Replies
251 Views
Kwenye mapambano yangu na maisha yangu nimefanya kazi na jamii na watu tofauti tofauti yaani watanzania na watu wa nje . Observation yangu ni hii warundi ni wachapakazi sana hujutii japo sio...
9 Reactions
25 Replies
368 Views
Chadema izungumze na Serikali kuhusu nini? Ili iweje, kuna nini? Kama wanachadema wote ni Magaidi na Wahaini wanauliwa kama dagaa na kubambikwa kila kesi, unawaona hawana haki yoyote kwenye...
14 Reactions
55 Replies
451 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
676K Replies
43M Views
Kucheza kamari - Kubeti mpira siku zenye mechi, Kindege, n.k. Pombe Sex Punyeto Sigara Bangi Ugoro Pombe nimewahi kushuhudia kuna jamaa hio siku arosto zilimkamata sana na hana pesa, akili...
14 Reactions
62 Replies
726 Views

FORUM STATS

Threads
2,082,979
Posts
55,990,828
Back
Top Bottom