Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Naomba kusikia kutoka kwa watu wengine ambao labda wamepitia maumivu makubwa ya kupoteza wapendwa wao au kuona ndugu zao wakiteseka hospitalini. Mliwezaje kukabiliana na hali hiyo? nimekuwa...
7 Reactions
117 Replies
360 Views
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
125 Reactions
417K Replies
15M Views
  • Sticky
Nimetafuta humu sikuona special thread kwa ajili ya series ila movies. Kwa wale wapenzi wa series tujadili hapa series tulizoona na ilivutia,pia wengine ambao hatujui baadhi ya series tunaweza...
90 Reactions
35K Replies
3M Views
Hatimaye nimevuna magunia 15 ya mpunga; kwa sasa natafuta mke wa kuoa aje tusaidiane kula mavuno yangu. Kama wewe ni mrembo, na una uwezo wa kumshawishi equation x ili akuruhusu uje ule mavuno...
14 Reactions
83 Replies
754 Views
Nani wana nafasi ya kipekee peponi kwenye ulimwengu wa jinsia pinzani?
12 Reactions
184 Replies
766 Views
Mimi ukinikuta mtaani ni kada wa chama kweli kweli huwa najitahidi kukusanya maoni ya wananchi wengi vijiweni kwa mabodaboda kwa mama ntilie machinga wafanya biashara maana Wakandarasi wanangu...
10 Reactions
78 Replies
497 Views
Wakuu,mimi ni mlokole,nimebatizwa ubatizo wa maji mengi, lakini licha ya kuwa mlokole na ubatizo wa maji meji hainizuii mimi kuhoji na kuwa na mtazamo tofauti na dini yangu. Iko hivi, wachungaji...
6 Reactions
70 Replies
281 Views
Kuna movement inaendelea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii duniani ambako kumekuwa na watu wengi wenye kutoa maoni kwamba " God Is Evil " ( Mungu ni Muovu) . Asilimia kubwa ya watu hawa ni...
6 Reactions
34 Replies
75 Views
Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Nianze kwa habari hii, kuna mama mmoja alikuwa pale TRA tawi la Kinondoni,alikuwa mama poa sana,ukienda pale kufanya makadirio huwa anakupa ushirikiano mzur sana na mwisho wa siku mambo yanakuwa...
12 Reactions
99 Replies
382 Views

FORUM STATS

Threads
2,062,640
Posts
55,502,265
Back
Top Bottom