Kama kuna mtu anafikiri kazi ya kudai HAKI ni ya muda mfupi, huyo atakuwa hajui maana ya kupambania haki.
Maandamano ya siku moja au mbili hayawezi kuleta mabadiliko, hasa toka mikononi mwa watu...
Kwahiyo wale ambao mmejichotea mihela ya Abdul basi jaribuni kutunga UONGO mwingine ili mueleweke
Mali za Chadema zikiwemo hela ziko Chini ya Ofisi ya Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini na si...
Jambo Moja kubwa sana la uhakika ni Kua CCM Mule ndani na Genge lao hamna mwenye akili kabisa !.
Ingawa wako Serious kabisa kwenye Mipango hayo hata kama ni ya kuuua Mtu, wako Radhi kuua .
Hivi...
Kuna mtu alishaandika hivyo humu si muda mrefu.
Kwa kweli na mimi leo nakiri...
Yote hayo kwenye heading nayafanya, na nimefikia kwenye conclusion kwamba... it's very hard kunyooka.
Cha kwanza...
Kuna haka ka Tabia ka kubeza nguvu na sacrifice za watu! Hasa jasho kwenye vyama! Naona CHADEMA mmeanza kujisahau kisa tu mtu mmoja ambaye anataka ambition zake zitimie
Mimi ni CCM mfu niwe wazi...
Ukiona mtu amebeba mimba unaweza Tu kuhisi imepatikana kirahisi rahisi,.
Kuna ambao wanapata kirahisi Tu chap tena wengine bila hata kutarajia imo,.
Ila kuna ambao kutafuta Mtoto IPO ndani ya...
Mambo yalikuwa hivi. Kulikuwa na sababu tosha kabisa za kujenga Refinery ya Dangote Tanga. Museveni, Ruto na Dangote walijadiliana hili, na wakasema kwa sababu bomba la mafuta kutoka Uganda...
Ukipitia maoni au hata mijadala ya watu mbalimbali humu jukwaani na hata kwenye mitandao mingine ya kijamii utagundua kuwa raia wengi hawana uwezo wa kuandika Kiswahili kwa ufasaha.
Wengi wao...
Baada ya oct29 nilitoka huku kijijini kwangu kwenda jijini Arusha kujionea halihalisi nakumbuka ilikuwa nov.4 hivi nilimkuta askari mmoja wa jeshi la wananchi nilosoma naye kule Dakawa akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.