Wajumbe wa jukwaa hili
Kuna huu upumbavu wa kifala unaoendelea hapa mjini kati ya hawa viumbe wanaojitapa kujiita Mishangazi na hawa Vitoto vya Kiume (Vibenten) vinavyoshinda vikilamba miguu ya...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Je wajua , kwanini diaspora wengi toka Africa , wapo nnje ila wanafanya michongo ya pesa kutokea Africa !!! Na hawataki kutoka nnje kuja Africa ?
Ukweli ni kwamba ukiwa nnje ya Africa...
Ndugu zangu Watanzania,
Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na...
Wengi wanapenda Kudai:
"Yesu hajawahi kusema waziwazi kwamba yeye ni Mungu."
Kisha wanachukua vifungu vichache kama:
• "Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake."
• "Siku ile na saa ile hakuna...
Hivi kuna madhara yoyote mwanamke akishika ujauzito na kuamua kumficha mwanaume bila kuwa na ugomvi au tatizo lolote kati yao, kwa lengo la kumlea mtoto peke yake?
Pia, ikiwa mwanaume huyo...
Najua Mungu ni mmoja na Sisi kama watu tunaishi mfumo wa kimaendeleo ambao unamtukuza Mungu kwa kushirikiana na kusaidiana kiutendaji kutimiza lengo la Mungu kikazi, kimaendeleo, fursa na riziki...
Habari za usiku utulivu wanajukwaa,
Leo bhana katika kupitia pita mtandaoni Huku na kule nikakutana na Link ya dalali muuza utamu, nikaingia ili nisome some kidogo kusudi muda uende bhana...
Usione ubabe wa charamira jua kuna jambo linakuja mtabaki mkijiuliza nguvu kapata wapi.
Ndio maana lolote likitokea kama litafanikiwa mtaanza kuvuta picha ya nyuma .Hii code naogopa maana inaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.