Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana.
Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
Mechi ya ufunguzi wa Kundi K kwenye Kombe la Dunia 2026 kati ya Portugal na DR Congo imekwisha kwa sare ya 1–1, mchezo ukiwa na mvuto mkubwa kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Portugal walitangulia...
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.
Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.
Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.
Aombe ziara ya hata...
Mdau, naomba kuuliza na kupata ufafanuzi kuhusu suala la ajira hewa au ajira zisizotekelezwa kwa wakati.
Ni kwanini Serikali hutangaza ajira ambazo hazitekelezwi kwa wakati au zinabaki kwenye...
Mchezaji wa Singida Black Stars Mossi Nduwumwe amefikisha mabao 12 msimu huu baada ya kufunga hat-trick yake ya kwanza, ambayo pia ndiyo ya pekee hadi sasa katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wengi...
Ukifuatilia hotuba za Nyerere nyingi utaona anailaumu katiba ya mwaka 1977 ambayo yeye ndo muasisi binafsi haya ni moja ya jambo linalofikirisha sana
Kwamba unatengeneza katiba alafu baadae...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
Kuna majaribio ambayo naona wengi watakufa na kweli mtakufa .Hii serikali inawezekana kuna pesa zina kwenda META.
Leo data analysis inaonyesha META kabla ya kufanya kuijadili CCM inapita CCM ku...
Wahusika wa usambazaji wa Fiber kazi yenu nzuri ila imekuwa kero, nguzo zenu zinadondoka sana, nyaya zenu zinalegea mno, hebu fanyeni kitu ziwe sawa, vinginevyo tutaanza zikata ili mje kuweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.