Mabinti, hasa nyie wadogo wa alfu mbili, hata akuambiaje, Usijichanganye kumzalia mtoto.
Hakuna jukumu kubwa kwenye maisha zaidi ya kuzaa na kulea watoto. Mwanaume akikuambia bado hayuko tayari...
Juzi niliona Binti Raia wa Marekani ambae amefariki kifo cha utata hotelini Zanzibar na hadi leo kifo chake kinahusishwa na mpenzi wake mzungu inasemekana walikuwa na ugomvi hadi kutenganishwa...
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya...
Soma judgement ya CHADEMA hapa
===========
At the High Court of Tanzania, the respondents herein instituted a petition against the applicants both jointly and severally for the following...
Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za...
Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati...
Kwa kawaida mtoto mpaka afike chuo kikuu na kuhitimu tyari anakuwa na umri wa miaka 25 na zaidi.
SWALA hili la elimu ya msingi miaka kumi ni kuzeesha WATANZANIA madarasani na kupotezeana muda...
Nakubaliana kabisa na CAG na hapa tatizo sio kukosa pesa Bali poor planning inayofanywa na wakuu wa taasisi za Barabara ambao ni TanRoads na TARURA.
Kwa sababu haiwezekani Kila mwaka wanakuja na...
Maybe I should ask this here.
When was the last time you bought a newspaper. An actual hard copy.
Read Also: Tanzanian Billionaire Rostam Aziz Set to Become Majority Shareholder of Nation Media...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.