Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Siku zote jambo usilolijua ni usiku wa Giza, sikuwahi amini Wala sikuwahi kuelewa kitu kinaitwa URAIBU , ila sasa nimejua kwa vitendo Nini maana ya URAIBU Nilikua nikisikia neno KAMARI , lakini...
13 Reactions
66 Replies
841 Views
  • Sticky
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano...
27 Reactions
5K Replies
32K Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
22 Reactions
5K Replies
434K Views
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa ( dakawa). Kuna mchongo wako ewe kijana wa...
11 Reactions
47 Replies
48 Views
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
47 Reactions
6K Replies
459K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hv kati ya hao nani mwenye cheo kikubwa zaid na ni nani anaefuatia kwa ukubwa au MCHANGO WENU,,
3 Reactions
16 Replies
40 Views
Anakuwa haraka anapendeza haraka na uzuri wake unaisha mapema. akifika 40 kwa ule aliyeringia masela ataacha maringo naanakuwa mzuri...
1 Reactions
22 Replies
95 Views
Kama uko na nyumba ya wageni na unahitaji mfanyakazi Niko hapa, nitafanya kazi zote, na Seriously ndani ya miaka miwili utajenga guest nyingine. Mtu seriously pekee anicheki
3 Reactions
13 Replies
87 Views
Hivi kwanini Jiji la Dar es salaam hakuna tofali za kuchoma tofauti na mikoa mingi ya Tanzania, je tofali za kuchoma ni ishara ya umaskini ?
6 Reactions
113 Replies
505 Views
Hapa Duniani tunapita.. Tusivimbe kwa kiburi na tusiache kutenda Mema.. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishna Msaidizi Mwandamizi Richard Abwao atakumbukwa. ===== Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
8 Reactions
107 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
2,066,008
Posts
55,587,460
Back
Top Bottom