Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndo maana hafanyi reshuffle anawaacha wale kwanza Waijenge Zanzibar kupitia bara. Asilimia 69 ya wakurugenzi waliopo wilayani Tanzania bara ni kutoka Zanzibar Asilimia 59 ya wakuu wa wilaya...
1 Reactions
9 Replies
10 Views
Habari za mda huu wanajamvi Huyu wangu tuliokotana mwaka jana mwezi WA 3 Aisee nakajihisi nimepata Ila baada ya siku kuenda Aisee naona hafai na nilipatikana mbona wanawake wa kipare huwa...
10 Reactions
140 Replies
724 Views
Nilikuwa(ga) naumia, kumchukia na kumuonea wivu bure Elon Musk eti tajiri namba moja duniani. Kumbe hela ambayo anayo mkononi cash ni ya kawaida tu hata haipiti billion 2 USD. Kumbe utajiri wake...
7 Reactions
20 Replies
90 Views
2014 niliingia kwenye uchumba na binti fulani katika yale mahusiano huyo binti nilimkuta ana mimba Kutokana na maelezo yake kwamba alifiwa na wazazi wake pia kutokana na maisha magumu na upweke...
10 Reactions
90 Replies
690 Views
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14...
5 Reactions
9 Replies
163 Views
Hapa Tanzania. Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza. Kama unaingia kwenye siasa ingia...
10 Reactions
33 Replies
314 Views
Wanaukumbi. Hivi karibuni tutajibu wizi wa kijeshi wa baharini unaofanywa na Marekani Marekani, kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano na kushiriki katika uharamia wa baharini, ilifyatua...
0 Reactions
96 Replies
655 Views
  • Sticky
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na...
102 Reactions
25K Replies
2M Views
Rais Trump alisema meli ya mizigo yenye bendera ya Iran iitwayo TOUSKA ilijaribu kupenya vizuizi vya majini vya Marekani na ilikamatwa na meli ya USS Spruance katika Ghuba ya Oman. Baada ya...
7 Reactions
69 Replies
757 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
162 Reactions
644K Replies
40M Views

FORUM STATS

Threads
2,052,738
Posts
55,262,582
Back
Top Bottom