Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huyo mtoto ni maini matupu, sijaona binti mrembo kama huyo kwenye tasnia ya sanaa, katoto katamu sana kana akili ya haraka mno . Ngoja nisake pesa ili siku moja nije niweke hata kidole tu
18 Reactions
91 Replies
690 Views
Kiongozi huyo amesisitiza kuwa Zambia kama taifa huru lina misingi yake thabiti na haliko tayari kufuata wala kutumia mfumo au formula za kisiasa kutoka nchini Tanzania. Amewataka raia kutoka...
10 Reactions
40 Replies
625 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
133 Reactions
244K Replies
21M Views
Naona sasa tunakoelekea siyo penyewe ndugu watanzania. Msikilizeni huyu mshikaji ============= Linusu Kimario, mkazi wa Kipawa, Dar es Salaam, amedai kupigwa na kundi la waendesha bodaboda zaidi...
17 Reactions
33 Replies
341 Views
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtia mbaroni Tito Onesmo Machibya, maarufu kama “Nabii Tito”, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo, matusi na uchochezi. Kwa mujibu wa taarifa ya...
4 Reactions
16 Replies
109 Views
Dunia tunayoiishi kwa muundo wa 3d ni umetengenezwa na kiumbe kilichopo level ya 10d yaani 10th dimension. Kila kitu kinachoeendelea kimepangwa, kuanzia mwezi, nyota na sayari nyingine. Mtu...
4 Reactions
26 Replies
186 Views
Ilaa Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗...
17 Reactions
168 Replies
1K Views
Ukimuuliza Atheist " Hicho kitanda ulicho lalia kimetengenezwa au kimetokea tu chenyewe? " . Atakujibu kimetengenezwa na mtu.". Haya sasa muulize " Huyo mtu alie tengeneza hicho kitanda unamjua au...
14 Reactions
154 Replies
600 Views
Habari wa ndugu .... Iko hivi ... Nilipata ruhusa ya kwenda chuo nje ya nchi ila mkurugenzi wangu aligoma kunisainia barua. Nikaondoka bila ruhusa yake. Nikiwa huko masomoni nikapigwa SP ""Stop...
5 Reactions
119 Replies
3K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa waathirika wa ukosefu wa ajira rasmi serikalini tangu nilipohitimu chuo miaka 10 iliyopita. Kutokana na hali hiyo, nilijiongeza kwa kujifunza taaluma nyingine yenye masharti...
0 Reactions
7 Replies
30 Views

FORUM STATS

Threads
2,081,345
Posts
55,958,429
Back
Top Bottom