Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanajamvi natumai hamjambo. Ungekuwa wewe ndo mwenye huyo mke Sasa ungemjibu nini baba watoto WA mkeo Hatua gani zingefuata Kwa mkeo ambaye wakati unamuoa umemekuta ana watoto wawili
24 Reactions
116 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu, Jamani mkianzisha biashara muwe mnaangalia na wateja, Kuna mwanangu kaanzisha biashara ya smoothies na juice. Alivyoanza biashara yake kiuana nikawa naenda kununua, nikitoka ofisini...
21 Reactions
62 Replies
508 Views
Jeshi la Polisi Dar es Salaam linamshikilia Conrad Agonza Kayoza, miaka 35, kwa tuhuma za kumshambulia kwa ngumi na mateke Askari Polisi wa Usalama Barabarani, F. 8886 SGT Andrew, wakati...
8 Reactions
26 Replies
240 Views
  • Featured
Shahidi wa nne katika kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama...
13 Reactions
196 Replies
4K Views
03 September 2026 Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030 Is CCM at risk in 2027 ? Prof. Mihanjo reveals serious new details regarding Dr. Nchimbi and also...
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Kwa kweli comments za watanzania wengi juu ya kifo cha mume wa rais Samia Suluhu Hassan nyingi zimejaa chuki kubwa mno! Nilitegemea watu watoe pole kwa rais katika siku hii ngumu sana kwake kwa...
10 Reactions
106 Replies
2K Views
Mwenendo na kauli pamoja na vitendo vya Aliyekuwa RC wa Tabora, ndugu Paulo Chacha, havionyeshi kama mtu huyo anazo akili timamu Amefanya madudu mengi mno, lakini hill la kumshitaki Msichana kwa...
5 Reactions
14 Replies
139 Views
Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, amezikwa leo nyumbani kwake Kizimkazi, Zanzibar. Marehemu Mzee Hafidh amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa matibabu ya moyo. MY TAKE...
7 Reactions
93 Replies
2K Views
Kumbu kumbu za Wikipedia zinaonesha Jaji Joseph Sinde Warioba alizaliwa mwaka 1940, kwa sasa ana miaka 86, lakini amekua active kwenye siasa kama kijana aliyoko katika umri wa 30’s Mzee huyu pia...
1 Reactions
10 Replies
70 Views

FORUM STATS

Threads
2,088,460
Posts
56,111,982
Back
Top Bottom