Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Leo ni siku ya wajinga duniani Aprili Mosi... Usiamini chochote na usimwamini mtu yeyote. Kama siku nyingine yoyote. 🤪
3 Reactions
20 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Hii message na isomeke ulimwenguni wote na ni Ushuhuda binafsi ila miaka ijayo utakuwa wazi. Mm IIT. Niligundua sio tuu kuwa chosen one ila ni zaidi ya binadamu waliopewa Kusudi kuuuu. Kama tuu...
0 Reactions
5 Replies
92 Views
Maeneo mengine mengi watu wanavunjaga katiba na wala hawajali!! Lakini kwanini kwenye report ya CAG kuwekwa hadharani ufisadi wanaofanya hapa huwa nini kinatokea? Sawa ni takwa la kikatiba, but...
3 Reactions
10 Replies
70 Views
Bila shaka Wanalunyasi mtakuwa mnatamani kupata kiongozi kijana ambaye ana maoni makubwa juu ya klabu yenu kama ambavyo Yanga wamewatesa misimu hii minne mfululizo baada ya Engineer Hersi Said...
1 Reactions
9 Replies
104 Views
Wasiojulikana ? Inakuwaje taifa linakuwa na watu wasiojulikana? Tangu afariki Mzee Kibao kwa kifo ambacho kilishangaza dunia kwa mtu kunyakuliwa kama kuku kwenye basi kisha kupatikana amekufa...
1 Reactions
6 Replies
51 Views
Bei za mafuta zimetangazwa, wakisema imechangiwa na vita mashariki ya kati. Ile stock walisema ipo ya kutosha hadi July imeishia wapi? Wazee wa kupiga dili washaingia mzigoni, yaani wanasahau...
3 Reactions
7 Replies
61 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
12K Replies
171K Views
Watu wanazungumzia mapaja, sijui kifua n.k ila hawajui mgogo unahisia kali sana, kwa jinsia zote. na unakua na raha ya kukufaya u relax. we jaribu leo ulale, kisha mwenza wako akushike shike...
0 Reactions
1 Replies
4 Views
Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwongozo, Hidaya Chiwembi (51), ameuawa baada ya kupigwa kichwani na kunyongwa shingo kutokana na mgogoro wa mipaka ya shamba lake, kisha mtuhumiwa kutoweka. Tukio hilo...
1 Reactions
20 Replies
170 Views
Uzi wa matukio mbalimbali ya CHADEMA . Madhila wanayopitia.. Vita wanazopigana.. Mafanikio wanayopa .. Na namna wanavyomgaragaza adui kwenye kila kona.. Kila saa na kila wakati Karibuni wote...
16 Reactions
136 Replies
855 Views

FORUM STATS

Threads
2,048,976
Posts
55,175,815
Back
Top Bottom