Nimekuwa nikimletea chakula apendavyo na huwa ananiagiza yeye,lakini matokeo yake unakuta hajala,ukimuuliza why haujala atakwambia nlipoikula kdg nilitapika.
Leo kaniagiza chapati, mandazi na...
Unakuta mtu ikifika tarehe 25 na hajaona salario imecheza kwenye balance moyo unaanza kwenda mbio lakini haka kajamaa utakuta kijijini kameacha watoto wawili kwa wadada wawili tofauti na hapa...
Samia Suluhu ni dikteta mbaya sana mwenye damu za watu mikononi mwake, tunafurahi kwamba Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inaendelea kumbana taratibu
Tuelekee kule Hormuz
Iran imetangaza kuwa jeshi lake litashambulia majeshi ya Marekani endapo yatajaribu kuingia katika Mlango wa Hormuz, kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump...
Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na...
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!
Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa...
Mwanaharakati wa Kenya, Hussein Khalidi amesema kuwa wanaharakati wa Afrika Mashariki hawatishwi na kauli ya Rais wa Tanzania, Saia Suluhu Hassan ya kuwaonya Gen-Z wa Afrika Mashariki kuwa...
Najua huu uzi utawakera wengi (hasa wale wasiojua kufikiri vizuri na mtanichukia hata kunitukana), ila najua wale vipanga (Geniuses) watanielewa.
Sasa imekuwa ni Kero yaani kila Mwili tu...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.