NItakupa sababu mbili muhimu kwanini usitumie kadi yako ya TIGO mastercard kununua vitu online.
1. Hii kadi wameunganisha mojamoja na akaunti ya Tigopesa, hamna control ambayo mteja unakua nayo...
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, akifanya mahojiano na Salim Kikeke, Crown Media
Salim Kikeke: Kuna watu wanasema kwamba pengine, kwa sababu ya huo...
Huyu MwanaJF yuko wapi ni muda sasa hajaonekana hapa jukwaani.
Nimeona reply yake ya mwisho ni mwezi wa tisa mwaka jana.
Kabla ya uchaguzi.
johnthebaptist
LIBERIA 1980
Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
A Liberian army soldier stands ready to execute a former cabinet minister following the 1980 coup...
Kumbe kazi siyo ndogo, hii bill kama Trump atatia saini kutakuwa na kilio na kusaga meno.
Mswada wa Marekani unaagiza kutathmini ushirikiano wa Tanzania na China kijeshi, kiuchumi na kisiasa...
Rapper Zainab Lipangile ( Zay B) amefariki Leo asubuhi na anatarajiwa kuzikwa Leo saa kumi kwenye makaburi ya Tabata Kinyerezi.
Inna lilahi wa innah ilayhi raji'un.
Rest In Peace Zay B.
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Kesho ni mwezi ya 6 tarehe 1 nusu mwaka umekata sasa tunaenda kuanza nusu nyingine
Basi nakuombea biashara yako isifungwe, uchumi wako...
Eti ndo jiji lilitoa Spika wa Tanzania 🤣🤣🤣
Siwezi kulala Mbeya... Usiku huu Nageuza Iringa.. Ntalala mbele kwa mbele japo hata Makambako..
CCM mumelaaniwa..
Kwanini huyu Mzanzibari Samia...
Kampuni za magari kutoka China zinafanya vizuri kwenye soko la magari SA na imepelekea kampuni ya Cherry kununua kiwanda cha Nissan kilichopo Pretoria kuanzia mwakani kitakua kinazalisha magari ya...
Jordan ina watu 11m. Tanzania 65m.
Ukubwa wa Jordan ni kilomita za eneo 80, 000 na kidogo. Tanzania ni kilomita za eneo 950,000. Jordan inaingia kama mara 12 kwa tz.
Mto pekee Jordan ni mto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.