Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei.
Vyombo...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tuko Ripoti za CAG zilipoanza kuwekwa hadharani hadi hii leo kuna jambo moja halijabadilika. Wamekuwepo ma CAGs kadhaa walioandika ripoti zilizooneha weledi wa hali ya juu -...
Hadi Leo Marekani Wana jicho la tai la kuona mataifa hatari Kwa Dunia miaka kadhaa Ijayo .
Iran ni majawapo ya mataifa hatari ambayo Us ametusaidia kulipungizia nguvu zake zenye Nia mbaya...
Leo kariakoo msimbazi nyingi zilikuwa zinaonekana bajaji boda na dala dala za biashara tu magari ni machache sana bei ya mafuta sio poa watu wameyaacha magari nyumbani
Kunapoelekea gari zenye...
Mimi nipo hapa napunguza stress za dunia
Kulia ina ruhusiwa ila usikate tamaa maisha hayajawai kuwa mepesi ata kwa matajiri kaza moyo
All in all sita wafundisha vyote sawa 😄
Happy Easter Day...
Jamiinimetushape kwamba ndoa ni kitu cha lazima sana vinginevyo hamna urafiki,mapenzi au mahusiano ya namna yoyote kati ya me na ke
Na hii ndo inasababisha ndoa nyingi kuwa za hovyo kuliko...
Habari Wana Jamvi,
Wakubwa Zangu Shikamoo.
Natumaini Mungu Anabariki kwa Kila Changamoto mpya mnazopitia
Naombeni Ushauri, Maoni, Kujuzwa kuhusu Hali Nayopitia kwa sasa
Nimekumbwa na Tatizo La...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Meli zinazotaka kupita Hormuz masharti ni ziwe kutoka nchi rafiki ambazo hazikushirikiana na Marekani au Israel dhidi ya Iran.
Na ni lazima zilipe ada kwa sarafu ya Kichina (Yuan) au crypto kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.