Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ameongea Haji Sande Manara kuhusu mchezo wa Jana Fainali ya Muungano kwa kocha wao wa yanga. “Ndio football but na Sisi tupunguze midomo midomo,tunachonga mno kupitiliza wakati kocha wetu ni...
0 Reactions
3 Replies
116 Views
Habari za usiku Mimi napitia changamoto ya kimahusiano. Tumenyamaziana na mwanaume niliyekuwa na mahusiano hii ni week ya 4. Kusema ukweli sina kosa lolote nililolifanya ila ni yeye ndio alikuwa...
20 Reactions
260 Replies
4K Views
Dunia inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kukomesha Adhabu za Viboko shuleni leo. Nchini Tanzania, baadhi ya mashirika ya haki za binadamu na yale yanayojihusisha na elimu yametoa tamko la pamoja...
2 Reactions
11 Replies
21 Views
MODE Naomba tuanzishe jukwaa la Spiritual,tumwage humu mambo ya spiritial wana jf wawe ma milionea,mabilionea na ma multi milionea kwa kutumia powers za spiritualism ambazo kila mtu anazo bila...
8 Reactions
30 Replies
194 Views
Mwanafunzi wa kidato cha pili Shule ya Sekondari Rudewa iliyopo Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro aliyefahamika kwa jina la Athuman Salum (16) amefariki Dunia baada ya kuliwa na mamba katika Mto...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Maumivu ni nini? Maumivu ni hisia ya uchungu au usumbufu ambayo mwili, moyo au akili huipata pale kuna tatizo, jeraha, ugonjwa au emotional stress Sometimes pain is physical and sometimes it’s...
5 Reactions
49 Replies
128 Views
Hamjambo! 1. Ingawaje wengi wanakataa hayakuwa mapinduzi. Na serikali haijakiri kwenye ripoti zake. Lakini Mimi Mtibeli nakiri yale yalikuwa mapinduzi yaliyojificha kwenye mwamvuli wa...
4 Reactions
140 Replies
811 Views
Wakuu, akili imezima Wapangaji hawalipi na niko mbali
14 Reactions
124 Replies
1K Views
Aliongoza Tume ya kuchunguza Mauaji ya kinyama ya bonde la Ihefu 2006 Na Baadaye akapewa tena shavu la kuongoza kilichoitwa tume ya Haki Jinai Yeyote mwenye chochote kilicholetwa na Tume zake...
2 Reactions
16 Replies
115 Views

FORUM STATS

Threads
2,054,575
Posts
55,301,955
Back
Top Bottom