Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Heche ameanza kuvuruga mambo maana Chadema ilishaanzaa kujenga imani kubwa sana kama chama ambacho hakinunuliki kama ilivyokuwa Wakati wa Mbowe.
Lakini kitendo cha kuanza kuwarudisha wasaliti...
Kadiri miaka inavyoenda ndivyo umuhimu wa China unazidi kuonekana duniani, Mchina ana soft power moja inayokua kwa kasi sana.
China haihitaji kuanzisha unnecessary wars and conflicts duniani kama...
Nina matatizo makubwa sana, umri wangu ni miaka 30, nimeolewa lakini sijabahatika kupata mtoto, kwani nikiwa Kidato cha 4 nilifanyiwa oparesheni ya uvimbe, niliporeje home mama akaniambia huku...
Ushawahi kushuhudia dada yako anabakwa mbele ya familia nzima?
Ushawahi kushuhudia mama yako amefanywa mtumwa na kuuzwa kwa ajili ya kutumika kingono?
Ushawwahi kushuhudia kundi la watu...
BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?"
Ambassador Lazaro Nyalandu...
Matokeo na Hitimisho la Uchunguzi Kuhusu Mwenendo wa Askari wa IDF Aliyeharibu Alama ya Kikristo Kusini mwa Lebanon
Uchunguzi uligundua kuwa wakati wa shughuli za IDF katika eneo la kijiji cha...
Yaani inakaribia tarehe ya kulipa anakupiga sounds anakuambia yuko vibaya mpaka tarehe fulani,inafika tarehe hiyo unaniambia hela imepelea,mimi sina masikhara,nakufungia ndio uanze kuleta maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.