Heee kumekucha! Wameanza kuchomeana mingo zao
Kazi ipo mbona, acha nikae siti ya mbele kabisa!
===============
Basi la abiria aina ya Yutong linalomilikiwa na kampuni ya
Abood, lenye namba ya...
Juzi niliona Binti Raia wa Marekani ambae amefariki kifo cha utata hotelini Zanzibar na hadi leo kifo chake kinahusishwa na mpenzi wake mzungu inasemekana walikuwa na ugomvi hadi kutenganishwa...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Jumatano ya leo ni kuwaelimisha Watanzania kuwa
kwa mujibu wa Katiba ya JMT ya mwaka 1977. Rais wa JMT kama Taasisi ya urais, hakosei...
Asalaam aleykum!
Wakuu habari za siku nyingi,wale waliotangulia mbele za haki mungu awasamehe makosa yao wapate amani na wale wangonjwa Mungu awaondolee maradhi ili waendelee katika shughuli za...
Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
Wakuu,
Wahenga walinena, "Ngoma ikipigwa sana hupasuka," lakini vipi pale mpigaji anapoamua kuziba masikio yake kwa pamba ili asisikie mwangwi wa ngoma anayoipiga? Hapa ndipo tunapojikuta kama...
Mimi ni mkatoliki lakini kwa huyu Papa ni heri niendelee kumuunga mkono Trump, Papa yupo kisiasa zaidi
Papa wa sasa anatoka Marekani, na baadhi ya kauli na mitazamo yake imeonekana wazi ana...
Mimi ni mdau wa ukurasa wenu. Nina kero moja, Watumishi wa Ajira Mpya (Walimu) za Januari 2026 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hatujapewa pesa zetu za kujikimu.
Kila tunapofuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.