🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Ni jambo najiuliza, na nakiri sijui msimamo wa katiba yetu ukoje juu ya hili, labda kwa sababu halijawahi kutokea na hatujawahi kufikiri linaweza kutokea.
Katika uchaguzi Mkuu, ushindi wa kiti...
Habari waungwana, Leo nilienda saloon moja ambapo sio mbali sana na kilipo chuo kikubwa Cha serikali.
Wakati nikiwa hapo nahudumiwa Kuna kabinti akawa ameleta huduma ya mtori na chai Kwa hao...
Mzuka wana jamvi .
Miaka ya nyuma wazazi wengi walikuwa wanalalamika watoto wao kupotea na kuanza matendo ya kihuni wanapoanza uvutaji wa sigara bwege (Bangi) .
Sasa hivi umeingia ulevi mpya wa...
My Take
Mjumbe Hauwawi.
===============
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, na Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, waliunda tiketi ya uchaguzi iliyomwezesha Samia kushinda na kupata muhula wa...
Leo bhana mjini Dar es Salaam kuna pambano la ndondi 💪 (vitasa)
Mwakinyo anazichapa leo, kitawaka Sijui itakuwa TKO au sare au atapigwa
Basi bhana mapambano yapo mengi si unajua mwanetu🤪...
Ni obvious, upinzani Tanzania kuhusu urais, watausikia tu kwenye bomba tu, kwasababu, kwanza hawana mgombea mwenye kaliba ya urais, lakini pia, hawana agenda zenye kugusa maisha halisi ya wa...
Kabla ya maandamano ya MO29 kulikuwa na propaganda nyingi hasa kutoka kwa chawa wa mama kuwa hakuna mtanzania atakayejitokeza siku ya maandamano kwa kuwa Watanzania ni waoga.
Propaganda hizo...
Ni kuwepo duniani ili kutafuta hela, kushindana au ni kuwepo duniani ili tuishi?
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo na kugundua kuwa, watu wengi wanatumia nguvu kubwa ya kutafuta hela, vyeo...
Guys
Tusipoteze muda sana. Presidential candidates 2030 washajulikana mpaka muda huu.
Sasa itakuwa ni watanganyika kunyoa au kusuka aidha mpokee vipande vya pesa nchi iuzwe au mchague mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.