Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Dah huyu jamaa anaandika historia mapema sana. Baada ya mechi ya jana dhidi ya Senegal, Kylian Mbappe amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya France baada ya kufikisha mabao...
5 Reactions
9 Replies
99 Views
Mechi ya ufunguzi wa Kundi K kwenye Kombe la Dunia 2026 kati ya Portugal na DR Congo imekwisha kwa sare ya 1–1, mchezo ukiwa na mvuto mkubwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Portugal walitangulia...
1 Reactions
73 Replies
620 Views
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani. Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu. Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana. Aombe ziara ya hata...
0 Reactions
22 Replies
113 Views
Anonymous
HOJA 
Mdau, naomba kuuliza na kupata ufafanuzi kuhusu suala la ajira hewa au ajira zisizotekelezwa kwa wakati. Ni kwanini Serikali hutangaza ajira ambazo hazitekelezwi kwa wakati au zinabaki kwenye...
0 Reactions
2 Replies
18 Views
Mchezaji wa Singida Black Stars Mossi Nduwumwe amefikisha mabao 12 msimu huu baada ya kufunga hat-trick yake ya kwanza, ambayo pia ndiyo ya pekee hadi sasa katika Ligi Kuu Tanzania Bara. Wengi...
1 Reactions
4 Replies
53 Views
Ukifuatilia hotuba za Nyerere nyingi utaona anailaumu katiba ya mwaka 1977 ambayo yeye ndo muasisi binafsi haya ni moja ya jambo linalofikirisha sana Kwamba unatengeneza katiba alafu baadae...
5 Reactions
90 Replies
332 Views
  • Sticky
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum. 2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano. 🌍 Waandaaji Mashindano...
27 Reactions
4K Replies
25K Views
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
4 Reactions
47 Replies
275 Views
Kuna majaribio ambayo naona wengi watakufa na kweli mtakufa .Hii serikali inawezekana kuna pesa zina kwenda META. Leo data analysis inaonyesha META kabla ya kufanya kuijadili CCM inapita CCM ku...
1 Reactions
2 Replies
14 Views
Wahusika wa usambazaji wa Fiber kazi yenu nzuri ila imekuwa kero, nguzo zenu zinadondoka sana, nyaya zenu zinalegea mno, hebu fanyeni kitu ziwe sawa, vinginevyo tutaanza zikata ili mje kuweka...
4 Reactions
22 Replies
172 Views

FORUM STATS

Threads
2,065,281
Posts
55,568,058
Back
Top Bottom