KATIKA UISLAMU mtoto wa nje ya ndoa (mtoto wa zinaa) hana haki ya kurithi mali ya baba yake kibiolojia kwa sababu hakuna uhusiano wa kisheria wa kifamilia kati yao.
Hata hivyo, mtoto huyo anayo...
Wanabodi,
Leo nimepata fursa ya kuendesha darasa kuhusu dhana ya usaliti, ambayo inatumia jina la Yuda.
Kufuatia Yuda Iskariote kumsaliti Bwana Yesu kwa vipande 30 vya fedha, kumelichafua jina la...
Habari zenu wana JF
Naomba ushaurii wenu wadau wa MASASI hapo town ni biashara gani INALIPA ambayo nitajikwamua kimaisha kwa mtaji wa million moja na nusu.
Nawasilisha kwenu wadau
Kuna utaratibu wa kihuni unataka kuwa ndio order of the day...
yaani mtu anaibuka mtandaoni na kujidai kupost au kuandaa podcast kuhadaa vijana wadogo ambao hawana historia.
Nikijikita kwenye...
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote ,
Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
Kama kuna mtu au watu waliopo karibu na Diva The Boss, ningeshauri wawe karibu naye zaidi katika kipindi hiki na wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia.
Kutokana na baadhi ya viashiria...
Mambo yanazidi kuwa mengi.... Wazanzibari ni wabaguzi sana. Hawataki tumiliki ardhi Zanzibar, hawataki tufanyekazi Zanzibar, hawataki tutibiwe Zanzibar na mengine yanakuja soon.
Anaandika John...
Guys
Tusipoteze muda sana. Presidential candidates 2030 washajulikana mpaka muda huu.
Sasa itakuwa ni watanganyika kunyoa au kusuka aidha mpokee vipande vya pesa nchi iuzwe au mchague mtu...
Msaada wana JF.
Nina siku ya pili mwenzenu nahanagika kupakua vitu kutoka youtube na kuvihifadhi kwenye PC yangu,nimehangaika sana lakini nimekwama kwa yeyote mwenye kujua namna na kupakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.