Wakuu Sina muda wa kuandika thread ndefu sana.
Lakini kwa ufupi sana kama wewe ni mfanya biashara wa mazao especially mahindi na mpunga njoo Mpanda -kapanga kama unaenda mwese.
Mahindi yanauzwa...
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi inayoendelea nchini kuhusu Utanganyika na Uzanzibar kiasi kwamba sasa mijadala hiyo imeingia kwenye Muungano wenyewe!
Madai ya mwanzo kabisa ilikuwa kutaka...
Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni.
BEI ZA LOGO
80K= Logo+B Card+Letter head...
Bajeti ya Tanzania Mzima ni 31 Trilion means kila mtanzania Ana ratio ya 460,000. Na wazanzibari ni 8.5 Trilion Means kwa ratio mzanzibari Ana 6,580,000 (Plus 460,000 zile za watanzania maana nao...
🏆 FIFA World Cup 2026 Finals Uzi Maalum.
2026 FIFA World Cup itakuwa toleo la kihistoria la Kombe la Dunia kutokana na mabadiliko makubwa katika mfumo wa mashindano.
🌍 Waandaaji
Mashindano...
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
Unakumbuka mara yako ya mwisho kupiga mswaki? Wengi watasema jana usiku ila ukweli kuwa watanzania asilimia 70 hawapigi mswaki. Mimi mwenyewe nina siku kama 3 hadi 5 hivi sijapiga mswaki...
Kwa hali inayo endelea katika jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na maji ya Ziwa Victoria kukosekana maji na eti RC yupo anazunguka zunguka mjini mjini akipeperusha benders kwenye Gari yake ni...
OMBI LA KUONANA NA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN KUHUSU MADAI DHIDI YA BARRICK NORTH MARA & NORTH MARA GOLD MINE
Mheshimiwa Rais ninaomba kwa unyenyekevu nikutane na kukuelezea kibinafsi mateso...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.