Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanabodi, Kumekuwa na matukio ya kusikitisha ya maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu hasa kipindi cha mvua nyingi ikiwemo Manyara, Same (Mlima Kawetere) na sasa Rungwe...
2 Reactions
4 Replies
59 Views
Hatimaye watia nyeto wote duniani wamepata utetezi wa kisayansi. Utafiti huu mpya umebaini kuwa kadiri mbegu zikihifadhiwa kwa muda mrefu pasipo kumwagwa ndivyo ubora wake unavyopungua. Dr...
8 Reactions
54 Replies
233 Views
Mwaka 1907 Balozi wa Uingereza nchini Ujerumani Eyre Crowe aliaandaa andiko zito "The Crowe Memorandum" na kulituma London. Mle ndani alisema kwamba Ujerumani inakusanya chuma na mainjiania kwa...
28 Reactions
91 Replies
2K Views
Nimetimiza zile siku za kusubiria ili nikapime tena wakuu mdudu bado yupo ila hakuna kuumwa tumbo ni kichwa kuuma kizunguzungu kama nataka kuanguka, mwili kuchoka, kuhisi kama kuna kitu hapa...
1 Reactions
11 Replies
105 Views
Nani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
16 Reactions
146 Replies
1K Views
Wakuu habari, natumai mko poa kabisa. Ninaomba ushauri kwakuwa kidogo kwa sheria zetu za Tz zinachanganya sana. Kuna bidhaa fulani ni kinywaji nataka ni ki introduce ila sio luxury ni...
2 Reactions
6 Replies
45 Views
Nawasalimu katika jina la Bwana Yesu Christo. Kuna maamuzi nataka kuyafanya, ila kabla ya kutoa uamuzi wa mwisho nikaona si mbaya nikiomba ushauri kwa wataalamu wa mambo ya mahusiano humu jf...
7 Reactions
87 Replies
760 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kutokana na kuenea kwa elimu ya fedha, kwa sasa Watanzania wengi wamehamasika kuwekeza kwenye soko la hisa la Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). Cha...
16 Reactions
79 Replies
1K Views
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani Machi 26, 2026 Saa 11:30 Jioni kuivaa Liechtenstein katika michuano ya FIFA Series inayoendelea Kigali, Rwanda ikiwa ni sehemu ya...
2 Reactions
26 Replies
271 Views
Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi dhidi ya Iran siku ya Jumamosi, huku shambulio la kwanza likiripotiwa kutokea karibu na ofisi za Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei. Vyombo...
29 Reactions
11K Replies
158K Views

FORUM STATS

Threads
2,047,999
Posts
55,155,633
Back
Top Bottom