Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau myimwike, Nimefanya kazi baadhi ya sehemu za pwani, wakati wadau humu wanazungumzia kuoa au kutoa kuoa singo maza Wenzetu pwani hawana stori hizo. Kuoa rahisi kuachana ni rahisi pia hawana...
10 Reactions
48 Replies
542 Views
Mwenye picha yake aiweke hapa tafadhari..!!
0 Reactions
4 Replies
97 Views
Tanzania imeporomoka kwa nafasi 20 katika Ripoti ya Kipimo cha Amani Duniani (Global Peace Index - GPI 2026), na sasa inashika nafasi ya 98 kati ya nchi 163 zilizotathminiwa duniani. Kwa mujibu...
0 Reactions
8 Replies
133 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
3 Reactions
18 Replies
156 Views
Vijana wenzangu mjitahidi sana kuyaelewa maisha. Maisha ya duniani yana formula na hii formula ndio inawafanya baadhi kufanikiwa na kuwa mbele. Ni muhimu pia wakati una date angalia familia na...
46 Reactions
194 Replies
2K Views
Aisee hapa Dar tunaibiana sana haiwezekani parachichi bei ya chini iwe 1500 tena hilo la bukujero ni low quality Kwani uzalishaji wake umekuwaje hadi yauzwe bei hivi?utafikiri tunaagiza kutoka China
10 Reactions
52 Replies
453 Views
Wale wenye dini zenu za Wazungu na Waarabu nawaletea utafiti Kwa mujibu wa ripoti ya BBC. Uislamu wakua kwa kasi duniani huku Ukristo ukipungua - Utafiti mpya https://bbc.in/4wmrWQR
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hivi Benki KUU ya Mtanzania Yaani BOT Inasubiri Nini Kuiweka picha ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu...
5 Reactions
80 Replies
665 Views
Matumizi ya ukatili wa kingono, udhalilishaji, na ukatili wa kisiasa dhidi ya wakosoaji, wanaharakati, na wanasiasa ni suala zito sana katika misingi ya maadili ya kibinadamu na taifa, utu na haki...
9 Reactions
22 Replies
396 Views
Nipo kwenye harusi upande wa bibi harusi meza kuu hakuna baba,wala baba wadogo wala wakubwa meza kuu wapo mama mama wadogo wajomba watoto wa wajamba kaka zake na dada zake tu mean kijana kaenda...
7 Reactions
60 Replies
740 Views

FORUM STATS

Threads
2,079,724
Posts
55,922,106
Back
Top Bottom