Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hamjambo! Kwanza poleni kwa wote walioumizwa na taarifa ya Lisu kukutwa na kesi ya Kujibu. Sasa isiishie kujifariji kwamba Mashahidi aliowaita Lisu hawawezi kufika mahakamani. Sitegemei Tundu...
16 Reactions
138 Replies
1K Views
Hii biashara ni hatari yani ukikosea steps umekufa wewe. Watu hawana huruma ukipoteza hata dollar 500 kupigwa chuma ni dakika Moja Hii biashara ukijiingiza kutoka ni nguma sana once a mafia...
18 Reactions
122 Replies
1K Views
Imagine kuunga tela kwenye familia ya mwanaume mwingine wakati unaweza kuanzisha familia yako Kwanini ujiingize kwenye Mgogoro usiokuhusu? Una haraka sana ya kuoa? Umekosa mwanamks wa kuanza nae...
40 Reactions
365 Replies
2K Views
Mawakili wa Serikali wapinga Rais Samia na wenzake kuitwa mahakamani Wakili wa Serikali Mkuu, Nasoro Katuga, amesimama: Upande wa Jamhuri unajua ni haki ya mshitakiwa kujitetea na yeye kueleza...
5 Reactions
20 Replies
369 Views
Viongozi wa dini wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi mbalimbali zinazotekelezwa na Serikali, wakisema mafanikio hayo yanaonekana na kugusa maisha ya wananchi. “Kazi umeifanya...
0 Reactions
3 Replies
38 Views
Hakika watu wa kale walipata kunena kwamba "Mti mrefu haukosi upepo" - ikiwa na maana kwamba, mtu anayefanya vizuri hukutana na maneno mengi ya ukinzani na nongwa. Mfano huo naweza kuutumia kwa...
0 Reactions
14 Replies
125 Views
Mfanyabiashara Rostam Azizi ametoa nasaha kwa Isaya Yunge, kijana Mtanzania ambaye amemuoa binti wa Rais wa Kenya, William Ruto. Katika ujumbe wake, Rostam alizungumza kwa lugha ya Kisukuma...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
Ni hatari kwamba Polepole apotee kama kuku alafu Lissu akutwe na kesi ya kujibu anyongwe au mpulizie sumu kama afe taratibu hii nchi mnataka kuingiza kwenye matatizo makubwa sana kama utani...
2 Reactions
9 Replies
141 Views
Wazeee twende speed muda wa salamu hamna tutasalimiana kwenye comment.. Asee Biashara ni nzuri sana kama ukiwa umetuliza akili ukajua unaingia kufanya biashara gani na biashara ya nini... Kuna...
23 Reactions
41 Replies
2K Views
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
51 Reactions
8K Replies
517K Views

FORUM STATS

Threads
2,083,334
Posts
55,997,822
Back
Top Bottom