Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii ndio kauli ya Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani aliyoitoa huko Temeke kwenye Mikutano ya Chama chake Anayebisha hili afuatilie sakata la Uuzwaji wa Bandari
2 Reactions
10 Replies
143 Views
Wana JF katika pitia pitia zangu kwenye Net, nikafanikiwa kukutana na dawa hizi za Asili zinazosaidia kupunguza makali ya HIV, nikaona bora niziweke hapa, ila naomba kutoa tahadhari kwamba sijui...
1 Reactions
19 Replies
18K Views
Hii nchi sijui kama itapoa. Kufatia serikali katili ya CCM kuua watanganyika zaidi ya 3000 na kuwazika kwenye kaburi la halaiki, na kuacha mamia ya vijana wakiwa na ulemavu wa kudumu. Mambo...
11 Reactions
91 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
677K Replies
43M Views
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana...
306 Reactions
54K Replies
21M Views
Huu ndio moja ya uvumbuzi wa hovyo na hatari kuwahi kufanywa duniani nayo ni AI Kiswahili wanaita sijui akili mnemba sijui unde sijui. Ila AI ni moja ya vumbuzi mbaya na hatari kuwahi kufikiri na...
18 Reactions
73 Replies
735 Views
Anonymous
KERO 
Mfumo wa anuani za makazi (NaPA) una changamoto katika mchakato wa kuomba barua ya utambulisho. Tangu wiki iliyopita mfumo huo haujafanya kazi; kila unapojaza taarifa unaambiwa kuwa kuna hitilafu...
0 Reactions
1 Replies
59 Views
Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza: Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika? Na matokeo yakawa high...
9 Reactions
176 Replies
24K Views
Kama maombi kweli kweli yatatatua matatizo, basi umaskini ungeisha, magonjwa yangeponywa, rushwa ingeisha, na majanga yangezuiliwa kwa kuomba tu kwa bidii. Lakini uhalisia haupo hivyo. Watu...
12 Reactions
85 Replies
540 Views
Miaka 15 iliyopita, Juma Kassim Nature kutoka Temeke alikuwa moja kati ya wasanii watatu wenye majina makubwa zaidi kwenye mkondo mkuu wa Bongo Fleva. Albam yake ya kwanza, ‘Nini Chanzo’ pamoja...
50 Reactions
137 Replies
28K Views

FORUM STATS

Threads
2,083,943
Posts
56,011,269
Back
Top Bottom