Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jamii yetu imetufundisha kuona thamani ya mwanaume kupitia mfukoni mwake. Ndio maana mwanaume asiye na pesa mara nyingi anaonekana hana mvuto, kwa sababu pesa imetafsiriwa kama usalama,uwezo na...
14 Reactions
183 Replies
384 Views
Makonda alisema hayo akiwa Arusha akijibu tuhuma za Kumshambulia Lissu, alisema Lissu hata CCM huwa hawamwamini ndo maana Vikao uwa wanamshirikisha mbowe anatunza Siri na uwa anafika makubaliano...
13 Reactions
61 Replies
494 Views
Anonymous
DOKEZO 
Leo tunaamua kuvunja ukimya. Sisi ni wakata tiketi (Cashiers) wa Mradi wa MwendoKasi (BRT Phase II – Mbagala) tunaofanya kazi kupitia Vodacom Tanzania katika mfumo wa ukusanyaji wa nauli. Kila...
1 Reactions
11 Replies
219 Views
Nice guys (wanaume wema) ni wadhaifu/nyoronyoro na hawawezi kupambania wanawake? Nice guys wanakosa tabia za masculinity ya hali ya juu? Nice guys hawavutii?
16 Reactions
331 Replies
3K Views
Naona serikali ina hamu ya ugaidi Yaani kuwepo ugaidi TANZANIA jamii ya kimataifa ikae kimya Leo vijana wadogo kabisa wanayuo wa chadema wamepewa kesi za ugaidi Wanachama 23 wa chadema wamepewa...
2 Reactions
8 Replies
24 Views
Zile tambo za, We are Sovereign State, na Who are You, zimeanza kupungua. Hakuna cha kufanya tathimini wala nini, mwachieni Lissu na mruhusu demokrasia iongoze nchi. But we warned you no any...
33 Reactions
52 Replies
773 Views
Serikali ya Samia imemwacha bila kumkamata wala kumhoji shehe Mwaipopo aliyetangaza hadharani kuwa ana kikundi cha mbwa mwitu ambao kazi yao ni kuwatairi bila ganzi watu na kuwakata vichwa...
5 Reactions
5 Replies
56 Views
Shida ni nini ndugu zanguni😁 Nimechungulia hapa Bar nikatamka kwa sauti kuu na ya mshtuko, "Mkeo anakuja", watu wote wametawanyika kwa kasi ya 5G, wengine wametawanyika kwa kuyumba yumba, wengine...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Wakuu, Nimekutana na ujumbe huu unaosambaa. Mtu anadai anafanya kazi lodge na anaonya watu wasitupe condom zilizotumika kwenye dustbin kwa sababu kuna watu wanazinunua kwa Tsh 20,000 kila moja...
3 Reactions
45 Replies
294 Views
Hivi ndivyo ilivyoagizwa na Tayari ishaanza kufanyiwa kazi Ngoja tuone mwisho wa makatili hawa watakapoishia
5 Reactions
26 Replies
375 Views

FORUM STATS

Threads
2,075,085
Posts
55,813,328
Back
Top Bottom