Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii, Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌 Nimepiga interview nyingi then after hapo...
18 Reactions
90 Replies
1K Views
Kuna mambo kwenye mahusiano ukijaribu kuyatumia kwa kanuni za kawaida za hesabu unaweza kuchanganyikiwa sana! 😅 Hebu tuanze: 1. Akisema: “Sina njaa.” Haimaanishi hatakula. 😂 👉 Hiyo inaweza...
1 Reactions
10 Replies
20 Views
Mods naomba uzi huu usiungwe kule Pichani ni Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ambaye ndie baba yake na Makamu rais mteule Deogratius John Ndejembi. Mzee Pancras Mtemi Ndejembi ni moja ya makada...
8 Reactions
45 Replies
974 Views
Nilimsikia Mh. Lissu kwenye moja ya majibu yake mahakamani akisema na kukubali kuwa yeye ni mtu anaehishimika sana ndani na nje ya nchi kiasi cha jumuiya za kimataifa kumtambua na kumheshimisha...
1 Reactions
76 Replies
778 Views
Embu angalia Watu wanaoiunga Mkono CHADEMA, ni Wasomi waloelimika, Prof Shivj, Prof Tibaijuka, Jaji warioba, Jumuiya za Wasomi Tanzania, TEC , Nchimbi, Polepole n.k Sasa njooo CCM, angalia aina...
7 Reactions
17 Replies
126 Views
Nilikuwa tafakari siasa zetu hizi, swali likaja hivi ikatokea mgombea Urais kupitia chama fulani mfano CCM, akashinda Urais na baada ya kuapishwa tu ,ikatokea sintofahamu kwenye chama chake akaona...
0 Reactions
25 Replies
1K Views
Tetesi nilizodaka toka kwenye vyombo vya usalama ni kwama Nchimbi hayupo Tanzania. Ametoweka kuogopa kutekwa Wanangu chimbeni na kufuatilia hili ili tuivue nguo CCM.
17 Reactions
67 Replies
2K Views
Familia ni muhimu. Cc Seran
17 Reactions
165 Replies
889 Views
Kwa kweli kuamua kuacha mikate na siagi na kuamua kutoka kwenye himaya ni kitendo kitakatifu sana. Wote waliobaki nikiwaangalia wamebaki wapiga zumari na machawa ... Unapopewa nafasi na kisha...
1 Reactions
1 Replies
10 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
679K Replies
43M Views

FORUM STATS

Threads
2,085,506
Posts
56,044,590
Back
Top Bottom