Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanabodi, Naomba kulianza bandiko hili kwa kutoa elimu kwa umma,kuhusu gender differences betwen ME na KE, sio vile viungo vya uzazi, ni uwezo wa kufikiri, thinking ability, na namna ya kufikia...
5 Reactions
27 Replies
301 Views
Yaani sasa Rwanda haitaki Mataputapu kutoka Tanzania. Ila double kiki imepenya🤣🤣 Watengeneza pombe wameagizwa kuziondoa sokoni, na kusitisha matangazo ya pombe kila sehemu hata mabango...
20 Reactions
93 Replies
2K Views
Mara ya kwanza nilidhania router yangu mbovu. Mara ya pili nikajua mawingu na mvua iyo week. Ila sasa nimeconfirm. Kama ni mtumiaji wa router za Airtel, ikivuka 500GB wana limit speed. Mfano...
10 Reactions
60 Replies
2K Views
Niseme tu mimi ni single father wa binti mmoja , japo nilisha sema nawakiume mkubwa ila ni stori ndefu mpaka kufanya maamuzi ya kubaki na binti yangu tu. Binti yangu nilianza kukaa nae alipo...
32 Reactions
185 Replies
1K Views
Kimsingi Kauli kama hizi hutokewa na watu wajinga na ambao wanaishi kwenye mawazo ya kale na kusikiliza stori za vijiweni zilizojaa uongo na mihemko. Mwambukusi Toka anazaliwa Hadi anazeeka yeye...
7 Reactions
180 Replies
1K Views
Nilikuwa nazungumza na demu flan huvi ,sasa ni mke wa mtu.alikuwa mtu wangu for two years hatukuwahi kusex,baadae tukatofautiana,kila mtu akawa na ndoa yake ingawa tumekuwa tukishirikiana kwenye...
3 Reactions
13 Replies
116 Views
Kwa yeyote anaye mfahamu kwenye hiyo picha tuwasiliane mana kuna simu imeokotwa ina picha hiyo
14 Reactions
26 Replies
310 Views
Mara Nyingine number 13 watu huichukulia kama namba ya mkosi , Lakini tunajiuliza sana kwanini watu huchukulia namba 13 kama namba ya mkosi, yanayosemwa yana maana kubwa sana ndio maana leo hii...
12 Reactions
208 Replies
56K Views
Mimi ni mwanaume mwenye miaka 50, Nina watoto 1, kazi ni mfanyabiashara, dini ni Mkristo. Natafuta mke mwenye miaka 25 mpaka 40. Awe Mkristo. Kama upo serious njoo in box tuyajenge
1 Reactions
31 Replies
147 Views
Wanaume Wengi ni wazembe wa kujitaftia maarifa ila ukitaka kuweka confidence na kuweka ego au aura ! 1. Soma sana makala , vitabu na majarida ya topic kadhaa hii ni tabia yangu toka shule Mpaka...
11 Reactions
30 Replies
227 Views

FORUM STATS

Threads
2,078,961
Posts
55,901,976
Back
Top Bottom