Husika kichwa cha habari hajuu nataka kujua je inaweza kupata namba ya simu ya Mchangiaji yoyote humu bila yeye kukupa?
Kwasababu humu kuna watu aina mbalimbali wanafatilia Coment za kuisema...
Nimeona huku watu wako so desperate kupata bikira mpaka kutaka kuoa young girls vijijini huko...
Sawa utampata kigori huko kijijini, akija mtu huyu huwezi hata kufanya discussions nae sababu mko...
HIVI UNAJUA KAMA.UKICHUKIA KUNA MISTARI INAPOTEA GHAFLA KIGANJANI KWAKO?
Yes kama ulivyosoma
no research no right to speak
fanya uchunguzi kesho lete mrejesho
N:B: Biashara nazosemea ni zetu wabongo sio wahindi, waarabu, n.k. hao ni case tofauti, biashara zipo kwa vizazi, familia nzima inashiriki biashara, familia nzima inaishi nyumba moja, wanaoana...
Niseme ukweli mimi kama mr pipa nina miezi zaid ya 7 sijawahi kumsikiliza raisi wangu au kuangalia hutuba zake na sijui saizi raisi anamwonekano upi yote kutokana na kuni kera hasa kwenye hutuba...
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea tamko kutoka kwa Jumuiya ya Madola linaloitaka kumwachia huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ndani ya siku 30...
Anaandika Dr Sisimizi kwenye ukurasa wake wa X;-
𝐍𝐈𝐌𝐄𝐏𝐄𝐍𝐘𝐄𝐙𝐄𝐖𝐀 : Huyu jamaa anaitwa MUHIBU KANU ni Kocha wa Singida, jamaa ni upinde kama ni mchezaji hakupangi namba hadi umpige miti, sikuamini...
Nilianza kunywa pombe bia ikiuzwa tzs600. Konyag leo ni mara kumi ya hiyo coz kuna sehemu zingne wanauza bia hadi 6k ni kama utatafuna na hiyo chupa. Wakaleta konyagi za chupa kwa sh4000, sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.