Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Umewahi kuwa in love na mtu lakini ukashindwa kabisa kumwambia? ❤️ Ni nini kilikufanya ushindwe kufunguka? Kwa sisi baby girls, mara nyingi tunaamini ni bora kubaki kimya kuliko kuonekana...
16 Reactions
369 Replies
3K Views
Kwa nini Mwamposa na mitume wenzake wa kileo wanaonekana matapeli na waamini wa dini na madhehebu mengine wakati ukifuatilia katika historia ya dini zote kubwa mbili utakuta kuna historia ndefu ya...
6 Reactions
46 Replies
274 Views
Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki. Kupitia page yake Kalapina ameandika 👇...
5 Reactions
98 Replies
959 Views
Mchagua Jembe sio Mkulima na wahenga wakaongeza kuwa penye Miti mingi hapana wajenzi. Wanaume halisi huwa hatuchagui wanawake kutokana na Genes zetu purely ni za Kiume hivyo basi kila kiumbe...
12 Reactions
89 Replies
562 Views
Habari,..swali langu linaendelea kwa kuangalia takwimu za ajira za ivi karibuni (recent placements) za sekretarieti ya ajira. Kwa majina ya walioitwa kazini hasa uwalimu wa masomo ya...
1 Reactions
0 Replies
1 Views
Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa...
1 Reactions
3 Replies
76 Views
Kuna video inasambaa akimuonyesha kada wa ccm Bakari akiwa na majeraha makubwa mwilini inasemekana alitekwa na wasiojulikana amepigwa sana yaani hadi vidonda Kisa alimtetea nchimbi 😔 Soma Kada...
3 Reactions
5 Replies
51 Views
Hali ya vita kwa kweli sio nzuri kwa upande wa Marekani. Kama Marekani ingekua na dalili za kushinda vita basi mambo yangekua shwari,lkn inaonesha Hali sio shwari kwa Mzeebaba Marekani. Malalamiko...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Habar za siku ya nane nane,na kwa wanasimba wenzangu leo ndio Ile sikukuu yetu ya kipekee kabisa,tuwe proud kuwa wanasimba daima NGUVU MOJA. Mara nyingi sana hapa jf utasikia kauli kama Watu...
2 Reactions
4 Replies
5 Views
Kuna dada wa mgahawa X huwa anapenda sana kunichangamkia ila jana ndo nilijua ya kuwa ameshindlia wezele.. Aisee ana mkia, her butty is on another level... Jana kavaa dera flani hivi matata, alaf...
16 Reactions
154 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
2,079,284
Posts
55,910,265
Back
Top Bottom