Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Suppose I am walking on the road saying the following words: I will commit treason. can there be a treason case against me within tanzania laws context? JIBU: Simply walking down a street...
3 Reactions
25 Replies
370 Views
Kuna mambo ambayo jamii inaweza kuyasahau kadri muda unavyopita, lakini kuna maumivu ambayo hayawezi kufutwa kwa kupita kwa miaka. Kisa cha Binti Akwilina ni miongoni mwa mambo hayo. Leo nimeona...
4 Reactions
26 Replies
141 Views
Inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana. Ni muhimu sana kutii sheria na katiba ya nchi bila shuruti, ili hatiame kuepuka hali za taharuku na kuchanganyikiwa kama hizi.:NoGodNo: Mungu...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mashahidi wa Mh. Lissu wanakiri kuwa Lissu amewaita majaji maCCM. Kauli hii ni mbaya sana kwa utawala wa sheria kwakuwa inahimiza watu wake na watu wengine wasioipenda CCM wasiende mahakamani...
2 Reactions
41 Replies
371 Views
Kwanza kabisa nipende kuweka angalizo... Haya ni maoni yangu, sio fundamental kwa watu wengine. Humu hakuna kitu cha kujifunza, kumejawa na watu feki. Sio kwa ubaya ila hizi ID fake zina haribu...
7 Reactions
96 Replies
445 Views
Polisi hawajijui. Na hawajui kuwa katika miaka ya karibuni jeshi la Polisi limejijengea sifa hasi mbele ya jamii. Utekaji, ubambikaji kesi na taarifa zisizokuwa na ukweli dhidi ya wananchi kwa...
8 Reactions
33 Replies
256 Views
Anonymous
KERO 
Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango, I mean house allowance.....licha ya kwamba tumepanga mitaani na kuna ambao wanaishi kota na bado wanapewa posho, kuna upendeleo. Posho ya pango ni...
6 Reactions
82 Replies
639 Views
Huyo mwanamke unaemuamini sana, unampenda sana na anakupenda sana huyo huyo lazima anae mchepuko wake. (Ukibisha haibadili ukweli) kiasili mwanamke sio mtiifu ni muasi ndio maana unaona Eva...
33 Reactions
207 Replies
3K Views
Akizungumza Septemba 7, 2026 kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Anna Tibaijuka, amesisitiza kuwa ataendelea...
15 Reactions
76 Replies
888 Views
Katikati ya mjadala unaoendelea kuhusu wageni wanaofanya kazi na biashara nchini Kenya, swali moja muhimu limejitokeza: Mgeni anapata wapi ruhusa ya kufanya kazi Kenya, na anahitaji nini? Kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
2,088,914
Posts
56,121,637
Back
Top Bottom