Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Marekani ina upungufu mkubwa wa silaha kwa Sasa kuliko wakati wowote ule. sababu ni mbili TU. Sababu ya kwanza. kutuma silaha nyingi Ukraine kwenda kusaidia kuipiga Urusi. silaha ambazo kwa...
9 Reactions
73 Replies
930 Views
Sitaki mke sitaki kuwa na watoto.mimi naish kisela na mademu tu mradi tu nipate mechi mimi nipo sawa. sion faida mke na watoto ni shida tupu.
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Nimeona mwanaharakati Cherry Hollister amechapisha ujumbe mzito unaomlenga Dotto Magari, ambapo ametoa madai mbalimbali dhidi yake. Miongoni mwa madai hayo, ni kuwa Dotto anaishi na virusi vya...
13 Reactions
163 Replies
4K Views
Wanawake tunapenda Kupendwa, Kuheshimiwa, Kuthaminiwa, kusikilizwa,Kusifiwa, kuhudumiwa na mambo mengine mazuri kama hayo. Kuhusu kupendwa tunapenda upendo unaoonekana kwa vitendo, hususan...
17 Reactions
229 Replies
1K Views
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, ripoti ya Tume ya Jaji Chande (Aprili 2026) imekupa fursa ya kipekee ya kuandika historia. Kupitia timeline ya miaka mitatu (2026–2029), nchi inaweza...
2 Reactions
10 Replies
151 Views
Upo zako mahali, unakunywa pombe Kali na vichanganyo vya baridi, wakati huo nnje huko Kuna jua Kali sana linawaka 🔥🔥 Wakati unakula vimiminika wanapita walimbwende wewe kazi Yako ni kuwapiga...
12 Reactions
73 Replies
787 Views
Habari marafiki. Mkononi nina kama 20m hivi,kuna kakiwanja kama ka 25×20 nimekapata morogoro road eneo linaitwa madafu kwa 3m,so mkononi nitabakiwa na 17m.je wakuu naweza kweli kujenga nyumba ya...
1 Reactions
5 Replies
28 Views
Serikali ya India imemteua Pralhad Joshi kuwa Waziri mpya wa Elimu baada ya aliyekuwa Waziri wa Elimu, Dharmendra Pradhan, kujiuzulu. Uteuzi huo umefanywa baada ya Rais wa India kukubali barua ya...
0 Reactions
4 Replies
85 Views
Leo Nampa heshima mtu mmoja. Max Mello Mmiliki wa Jamiiforums. Katika kipindi ambacho serikali ilimuwinda, ikimtaka atoee siri za wachangiaji mada mbalimbali... alisimama imara...
34 Reactions
44 Replies
463 Views
Tukio hilo lilitokea majira ya saa 3:30 asubuhi jijini Paris. Wanawake hao wenye umri wa miaka 19, 24 na 36 walijeruhiwa kwa kuchomwa visu, huku mmoja wao akiwa mjamzito. Mshukiwa, mwanaume...
4 Reactions
34 Replies
286 Views

FORUM STATS

Threads
2,076,182
Posts
55,838,664
Back
Top Bottom