eFootball ni mchezo wa simu unaohusisha mpira wa miguu, na hapa kuna habari muhimu kuhusu mchezo huo:
▫️Jina na Kurekebishwa: Mchezo huu awali ulijulikana kama "Pro Evolution Soccer" (PES)...
Likizo si muda wa kupumzika tu mbele ya TV au kutumia simu na gadgets nyingine muda wote. Ni nafasi muhimu kwa mtoto kujifunza vitu vipya tofauti na anavyojifunza darasani, kama vile ujuzi wa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limefanikiwa kuwakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya aliyekuwa Mhandisi wa Maji wa RUWASA Wilaya ya Busega, Safiel Peter Senzota (37). Tukio hilo...
Kilwa kivinje iliyokuwa ngome kuu ya Act wazalendo sasa ni Chadema tupu.
Ikumbukwe mpaka sasa kila inakoenda kufanya mikutano yake Chadema inapata uungwaji mkono na wananchi kwa asilimia mia👇
Mama Manyema anayefanya biashara ya Chakula kariakoo, ana siri kubwa!
1. Hana fremu wala baraza.
2. Hajapima afya wala hakaguliwi.
3. Haijulikani anapopikia kwakuwa huleta chakula kwa kirikuu na...
Habari wanaJF,
Ninaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi". Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.
Mfano:
Ualimu Tanzania...
Nauza shamba langu lipo Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Kisarawe, kata ya Kisanga, kijiji cha Kitunda.
Lina ukubwa wa Ekari 6. Udonga safi sana wenye rutuba. Lina maji ya kutosha lwa kilimo cha...
Maajabu ya Ubongo wa Binadamu
1. Hali ya Deja Vu:
Hisia ya kushangaza kuwa tukio unaloliona sasa ulishawahi kuliishi huko nyuma, inayotokana na ubongo kuchelewa kupokea taarifa kwa sekunde chache...
Sijui nani anahitaji kusikia hii.
Ila kama una changamoto fulani.
Sio mbaya ukienda Kanisani. Au msikitini.
Umuombe mungu akupe hekima, nguvu na uzima wa kutatua hiyo changamoto.
Tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.