Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Alianza kama utani ila kwa ilipofikia hali ni mbaya. Ni kama watu wamehalalisha kutukana hili tusi linalopendwa sana na Sugu ambaye pia ni mnufaika wa michango huko CHADEMA. Ilikuwa kila akiandika...
Habar wakuu Leo saa nane nanusu mchana nlikua natuma uchafu kwenye shimo la choo nje ,nyuki wakawa wanatoka kwenye tundu kidgo kidogo kidogo mim nikadharau,kumbe walikua wanatoka wanakaa mgongoni...
Jana Jumanne bhana nikaamka na dhamira moja—kutafuta ukweli kuhusu ufadhili wa MEXT wa Japan. Nilikuwa na ndoto ya kuwasaidia vijana wangu wanne kufungua milango ya elimu ya kimataifa. Safari...
Nilikuwa naomba msaada, dada yangu ni mjane kafiwa na mume wake, ndugu wa Mwanaume awakuonekana kwenye kuuguza dada kapambana mpaka dakika ya mwisho mume wake alipofariki, Aprili 21, 2026.
Kabla...
Hotuba kamili ya Rais wa Marekani Donald Trump akitangaza vita dhidi ya Iran
Muda mfupi uliopita, jeshi la Marekani lilianza operesheni kubwa za mapigano nchini Iran. Lengo letu ni kuwalinda...
Healing
Juzi nilikuwa Nyamagana, ndani ya ukumbi wa Tanzanite, tukizungumza kuhusu healing.
Nikasisitiza jambo moja muhimu sana:
Mtu inaweza kupita miaka 10… na bado hajapona.
Kwa sababu healing...
Its simple,
Ni kwa sababu kwao ugaidi umeunganishwa na Mungu, yaani mtu anapigana na watu bila sababu ya msingi kwa niaba ya Mungu wa kufikirika.
Inachekesha sana ila kwao ni "sacred."...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.