Ahsante CHADEMA kwa kuendelea kuwapa Nafasi walau Dakika Tano Hawa Wamama ambao waliuliwa Ndugu zao Oktoba 29 kama nilivyoshauri hapa , CHADEMA YANGU, Kila Mkutano wa Hadhara Tupate Dakika Kumi...
Nashangaa kuona wafuasi wa chadema wanatumia mikutano Yao kujifariji kuwa wanakubalika🤣🤣
Hebu pokeeni ukweli huu.
chadema hamtakaa mshinde uchaguzi hilo msahau
hao watu siyo wapiga KURA wenu...
Ndugu zangu Watanzania,
John Heche Ni Muongo sana Anapokuwa Jukwaani, anakuwa anatoa sauti kubwa huku akiongea takwimu za uongo uongo na Uzushi uzushi tu akifikiria anaongea na kuzungumza na...
Wasalaam wakuu
Kuna hili jambo nimelisikia kwa muda sasa kuwa ili mwanamke amtii mwanaume kwenye mahusiano; iwe ni urafiki wa mwanzo,uchumba ama ndoa inabidi mwanaume amzidi mwanamke hivi vitu;-...
Wahudumu wa afya ngazi ya jamii katika Manispaa ya Songea na Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamekabidhiwa jumla ya baiskeli 337 kwa ufadhili wa kampuni ya Buffalo Bicycles Tanzania Limited ili...
Niende kwenye mada samahani
Mimi niko Dar pls nahitaji kama kuna mtu anaweza kunisaidia kazi au kibarua nataka zile kazi ngumu lengo nataka nimake ndani ya miezi miwili nipate milioni moja so...
Kampuni ya Simu ya YAS. Inatuhumiwa kwa kuibiwa wananchi Bando. GB 10 zinaisha ndani ya Masaa mawili.
Tuungane kupaza sauti. Tunataka turudishiwe Vifurushi vyetu. Wizi hadi lini?
Katika...
First generation ndio imetoa viongozi wengi sana hasa wa kisiasa na maarufu..
Hao pamoja na anonymous na elites wengine ndio wamesimika mizizi ya heshima ya JF
Lakini hapo hapo yakafanyika makosa...
Wakuu!
Siku hizi kila nikifungua mtandao nakutana na theory mpya kuhusu Portugal kupangwa kuwa mabingwa na kundi la siri.
Kuna wanaotaja ile scene ya The Simpsons katika “The Cartridge Family”...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.