Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wanaogopana au ufisadi ndani ya chadema ndio mtindo wa maisha ya viongozi wao hasa wa kitaifa? Chadema hawajui kwamba ufisadi ni adui wa haki? Au chadema wanapambania haki za mafisadi kama yule...
3 Reactions
58 Replies
166 Views
Guys am back... Better than who I was... Ni mimi de Gunner. Tafadhari Moderator rudisheni jina langu la de Gunner Maisha ya ban mabaya sana, it's not worth it. Najua humu kuna anonymous IDs...
9 Reactions
309 Replies
2K Views
Habari za muda humu Nitasema ukweli Kama Kuna hukumu Basi nihukumiwe wote tunakosea Hakuna mkamilifu Nachoitaji ni ukweli mchungu hata kama utaniuma ni sawa ilimradi nisiharibu maisha yangu...
15 Reactions
216 Replies
921 Views
Wakuu ukipasua nazi mle ndani unakuta mna maji nani kayaweka?
0 Reactions
2 Replies
3 Views
weredi wa jeshi lolote duniani upimwa kwa global firepower kulingana vita wanazipigana au kama Hawako vitani basi 1. Walinde Mipaka, ila Mara kadhaa tumeona wahamiaji haramu wengi wako Tanzania...
45 Reactions
116 Replies
2K Views
KENYA NZIMA IPO GIZANI, Wenda Tanzania ikawa Gizani siku 3
2 Reactions
44 Replies
294 Views
🤔 Unakuta mdada ana 35+ anakuuliza "kama hautaki kunioa niambie" sasa unajiuliza hao aliopita tangu akiwa 18 mbona akuwaambia wamuoe akiwa bado kigori
0 Reactions
7 Replies
31 Views
Kijana anataka kuwa vet (daktari wa wanyama) anataka kusoma bachelor of agriculture science halafu mwaka wa tatu achague livestock production, je baada ya hapo anaweza kutambuliwa kama daktari wa...
0 Reactions
3 Replies
14 Views
Msichana mwenye umri wa miaka 16 kutoka Kijiji cha Lyamidati, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga, ameokolewa dhidi ya ndoa ya utotoni baada ya operesheni maalumu iliyofanywa na...
1 Reactions
6 Replies
35 Views
Habari wadau, Nianze na mzizi wa umaskini unatoka wapi: Na mzizi wa umaskini haupo katika aina ya kazi, haipo katika chanzo cha kipato. Uhusiano kati ya unachotengeneza na unachokitumia ndio...
0 Reactions
1 Replies
7 Views

FORUM STATS

Threads
2,076,686
Posts
55,850,844
Back
Top Bottom