Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

My Take Kuna nyumbu watabisha na kuanza kutukana Walisema kibaraka anawania tuzo ya Mabeberu 😂😂 Kazi nzuri sana ya kuhuisha sera Bora za biashara na uwekezaji zimefanikisha wawekezaji wa ndani...
3 Reactions
15 Replies
23 Views
Rose Masesa ambaye ni Dada wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amewataka watanzania kupuuza taarfa ambazo ameziita za uzushi zinazoenezwa na mwanaharakati Mange Kimambi kuwa dada huyo kuwa...
3 Reactions
7 Replies
11 Views
Kuna marafiki ambao kwajili ya pesa wanakuwa hatari zaidi ya maadui. Ukimshirikisha siri zako za mafanikio na mipango ya ndani, yupo radhi kuwapa ramani na kuwakodishia majambazi waje kukuibia au...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
165 Reactions
682K Replies
43M Views
Inadaiwa Mkuu wa JWTZ CDF Mkunda, hajapendezwa na kuitwa kwake Mahakamani. Wote tunajua Jeshi letu lilivyo na kashifa miaka nenda rudi. Kwanza tutamuuliza kama anaumizwa na ufisaidi. Na kama...
7 Reactions
39 Replies
450 Views
Saa 3 kamili tayari watu wameshadika Mahakamani Kaa tayari kwa updates ======== Leo September 16, 2026 Last time tuliishia sehemu ya 428 Sehemu ya 429 Mahakama imeanza. Imepigwa high...
21 Reactions
214 Replies
4K Views
Sisi tulitegemea ungefanya kazi ya maana ya kwenda kuisaidia mahakama kutenda haki lakini tunachokiona, wewe unaenda kuleta udaku, kuzungumza vitu visivyohusiana na mashitaka. Kiufupi unapoteza...
6 Reactions
19 Replies
208 Views
Mimi nilioa kwa sababu nilinunua kitanda na godoro ( Like : Likud mwanangu umeshanunua kitanda na godoro tayari kwanini usioe?. Breaking News: Tumecaha na huyo mwanamke last week. Sasa hivi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Muigizaji na mfanyabiashara maarufu nchini, Kajala Masanja, amefunguka kuhusu hisia za hofu alizozipata pale binti yake, Paula, aliposhika ujauzito. Katika mahojiano kupitia kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
1. Mods, wengine mlifika Hadi inbox kunionya. Mbarikiwe sana.🙏🙏 2. Members wote niliotukana nao, ikiwemo Leo. Mnisamehe 7*70 3. Members walioyashuhudia matusi yangu na kuwakera. Siijui kesho...
15 Reactions
89 Replies
861 Views

FORUM STATS

Threads
2,090,559
Posts
56,161,512
Back
Top Bottom