Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bingwa atakuwa Croatia. Mimi sio mchawi. Sio mtabiri. Sio Ostaz. Sio Mtume na Nabii. Ni Mwanahisabati/ Mwanasayansi ( my mindset is scientific and mathematically oriented)/ Mwanamichezo...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
KATIKA UISLAMU mtoto wa nje ya ndoa (mtoto wa zinaa) hana haki ya kurithi mali ya baba yake kibiolojia kwa sababu hakuna uhusiano wa kisheria wa kifamilia kati yao. Hata hivyo, mtoto huyo anayo...
3 Reactions
68 Replies
203 Views
Wanabodi, Leo nimepata fursa ya kuendesha darasa kuhusu dhana ya usaliti, ambayo inatumia jina la Yuda. Kufuatia Yuda Iskariote kumsaliti Bwana Yesu kwa vipande 30 vya fedha, kumelichafua jina la...
3 Reactions
5 Replies
48 Views
Habari zenu wana JF Naomba ushaurii wenu wadau wa MASASI hapo town ni biashara gani INALIPA ambayo nitajikwamua kimaisha kwa mtaji wa million moja na nusu. Nawasilisha kwenu wadau
1 Reactions
6 Replies
24 Views
Kuna utaratibu wa kihuni unataka kuwa ndio order of the day... yaani mtu anaibuka mtandaoni na kujidai kupost au kuandaa podcast kuhadaa vijana wadogo ambao hawana historia. Nikijikita kwenye...
5 Reactions
12 Replies
148 Views
Sasa sababu ya Trump akalazimisha kinguvu michuano hio ifanyike nchini kwake ili kujipa ujiko usio na maana yoyote , Sasa tunaona michuano imeshakua MIBOVU hata kabla haijaanza...joto Kali...
7 Reactions
17 Replies
273 Views
Kama kuna mtu au watu waliopo karibu na Diva The Boss, ningeshauri wawe karibu naye zaidi katika kipindi hiki na wampatie usikivu, ushauri na msaada wa kihisia. Kutokana na baadhi ya viashiria...
5 Reactions
9 Replies
144 Views
Mambo yanazidi kuwa mengi.... Wazanzibari ni wabaguzi sana. Hawataki tumiliki ardhi Zanzibar, hawataki tufanyekazi Zanzibar, hawataki tutibiwe Zanzibar na mengine yanakuja soon. Anaandika John...
52 Reactions
178 Replies
2K Views
Guys Tusipoteze muda sana. Presidential candidates 2030 washajulikana mpaka muda huu. Sasa itakuwa ni watanganyika kunyoa au kusuka aidha mpokee vipande vya pesa nchi iuzwe au mchague mtu...
1 Reactions
4 Replies
53 Views
Msaada wana JF. Nina siku ya pili mwenzenu nahanagika kupakua vitu kutoka youtube na kuvihifadhi kwenye PC yangu,nimehangaika sana lakini nimekwama kwa yeyote mwenye kujua namna na kupakua...
1 Reactions
19 Replies
83 Views

FORUM STATS

Threads
2,063,414
Posts
55,521,762
Back
Top Bottom