Unajua leo nilikuwa na cheki ile performance ya Justin Bieber ya coachella...
Na as a fan, nimejikuta najifunza kitu muhimu katika maisha..
Ya kuwa inabidi mtu a jifunze namna ya ku adapt...
Ndugu zangu Watanzania,
Amri iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya kutaka Wageni wote wasajiliwe kwa kutumia Namba za Nida katika nyumba za Kulala Wageni Inakwenda kudhoofisha secta hiyo na...
Habari za asubuhi wana jf, PICHA ZA UCHI au VIDEO ZA NGONO hivi ni vitu ambavyo vinachukua nafasi kubwa katika ubongo wa binadamu ambapo muda mwingine huifanya akili kua polepole...
Ina maana tunakuwa na wasomi wenye shahada 3,200,000
Basi tufanye na diploma 3,200,000
6.4M
Idadi ya watu ni milion 70
Au basi takwimu zinaonesha mambo mengii
Muda huu Marekani wanaofanya mashambulizi ya anga ya mabomu mazito makubwa huko kusini mwa Iran.
Uzuri wa marekani walisema kuwa watakua wanashambulia Iran Kila watavyoamua🤣🤣
Kesho wale viongozi...
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kupepesa macho wala kutikisa masikio. Hakika sikuwahi kufahamu kuwa sharia za kiislamu ni za kikatili kiasi hiki hadi nilipoitazama video iliyopo hapo chini...
Taja watoto wa Rais, au waziri yoyote aliywai kuwa kama Maria Sarungi,
Hahahaha Kuna kizee kimoja hapa butimba gerezani kimemtaja, Makongoro Nyerere, sijakishangaa maana kilifungwa miaka ya 1992...
Sasa labda ili tuliweke kiudini maana tukiliweka kitaifa TUNAKUTANA na mijitu kama yule shekhe sijui nani, pasipo kumsaau shekhe majini.r.i.p.
Wakatoliki tunayo Nafasi ya kutafakari matendo...
Habari za Jumapili.
Kwa uelewa wangu huu ninaamini kabisa Wazungu, mabeberu kamwe hawataruhusu nchi walizozitawala ikiwemo Tanzania ifanye Jambo ambalo litaiinua nchi, kuiendeleza, ikiwezekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.