Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Dunia inakabiliwa na janga la kimyakimya linaloendelea kuua maelfu ya watu kila mwaka, Moshi wa majumbani unaotokana na kuni na mkaa ingawa tatizo hili mara nyingi halipewi uzito wa kutosha...
1 Reactions
6 Replies
23 Views
Ni stail ipi unapendelea sana ya kuvuna asali. Wataalam haya masuala watupe cha kwao?
1 Reactions
10 Replies
103 Views
Serikali ya Tanzania imeanza kuchukua hatua za kidigitali katika mchakato wa ajira kwa kutumia TEHAMA, ili kuondoa usumbufu wa waombaji kubeba vyeti na vitambulisho kila sehemu. Kauli hii ya Mhe...
1 Reactions
4 Replies
16 Views
Wacha wenye hela waibiwe. Kuna Youtuber anaitwa Matt Armstrong, amekua aki-rebuild magari mbalimbali ya kifahari yaliyopata ajali au kuharibika kisha kuyauza. Amedeal na Ferrari, Lambo...
22 Reactions
34 Replies
406 Views
Wataalamu tunaomba mwongozo wa kudispline watoto maana waziri amecharuka huko. Kumbe tunafanya uhaini
4 Reactions
14 Replies
113 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
65 Reactions
66K Replies
5M Views
Sio viumbe hai wote wana damu moja inayofanana rangi Ingawa mara nyingi tunafikiria damu kuwa nyekundu kabisa, jamii ya wanyama inaonyesha wigo mzuri wa uhandisi wa kibiolojia. Rangi ya damu...
5 Reactions
30 Replies
147 Views
Iran imeanzisha kampeni yay kuwandikisha watoto wa umri kuanzia muaka 12 kufundishwa mambo ya kijeshi kama sehemu ya juhudi zake za kueneza vita. Ripoti kutoka kwa makundi kama vile Human Rights...
0 Reactions
2 Replies
12 Views
Watanzania wengi wamesikitika sana kuona kuwa eti Act Wazalendo inaungana na Chadema kupinga ripoti ya kada wa CCM Chande Othman. Act Wazalendo ilikuwa pamoja na CCM mtandao. Chama cha mafisadi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
The Weekend - Out of Time
30 Reactions
11K Replies
267K Views

FORUM STATS

Threads
2,053,986
Posts
55,289,717
Back
Top Bottom