Kumchizisha ndugu yako awe ndondocha, kila siku unaporudi unajijua wewe ndio chanzo chake kuwa chizi
Kumuua mzazi wako, mtu aliekuleta duniani umemtoa duniani anatumika kama msukule.
Kumuua...
Hapa mtaani Kuna jamaa ni likubwa miaka 33 ila lipo nyumbani kwao linakula ugali wa shikamoo ubaya babayake analalaimika mtaani jamaahataki kazi yeye kazi yake ni kubeti tu hivi huyu jamaa...
Tunapoelekea Ashura siku ya alhamis tarehe 25 June 2025 tunakumbuka matukio aliyopitia kipenzi chetu cha dhati mwamba mkombozi wa waislamu Imam Hussain ibn Ali A.S aliyeuwawa kikatili kuulinda...
Kama njia ya kulipiza kisasi kwa kitendo cha Iran kuzuia meli za baadhi ya mataifa kupita kwenye mkondo wa bahari wa Hormuz, tangu jana majira ya saa 4 asubuhi, Jeshi la Marekani limeweka zuio la...
Kuna mambo imeanza kunuka kwa Kenya Women Teachers Association (KEWOTA) baada ya kufichuliwa sakata kubwa ya pesa. Inadaiwa zaidi ya walimu wanawake 95,000 walikuwa wanakatwa Sh200 kila mwezi bila...
Chama cha Wanasheria nchini Uganda (ULS) kimepinga vikali pendekezo la kuongeza muda wa muhula wa uongozi wa Wabunge na Rais kutoka miaka mitano hadi saba, kikionya kuwa hatua hiyo inaweza...
Wakati wanaenda kwenye wiki mbili za ceasefire.
👉 Nani kashinda vita kati ya USA vs Iran?
Kwa vigezo gani:
Military power (nani kampiga mwenzie zaidi)?
Survival (nani bado yupo hai kiushawishi...
Wazee, I'm curious kufahm hili jambo kwa undani zaidi. Nimetembea hadi Sumbawanga nikitafuta uhalisia wa mambo haya, lakini nilichokutana nacho ni simulizi tu hakuna ushahidi wa moja kwa moja...
Baada ya Zuio la kizushi la shughuli za Chadema kuangukia pua Mahakamani, Natangaza rasmi kuanza kwa Mikutano ya hadhara kwenye Jimbo la Kyela
Hatuna muda wa kupoteza, Wananchi wameongopewa sana...
Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.