Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

It's me JamiiForums member (Nina Akili Ndogo Sana) Kabla ya vurugu na mauaji ya Oktoba 2025, TCRA waliwahi kuchezea mifumo ya utendaji kazi pale ofisi zao kuu za Dar Es Salaam kisha nikawaandikia...
4 Reactions
19 Replies
311 Views
Yaani Tanzania ndo Basi tena.. Tulizoea Shule zetu zilikuwa zinapewa Majina ya Watu waliofanyia Makubwa Tanzania na Afrika kwa Ujumla ili wakubukwe. Lakini sasa hivi watu wanajiamlia kutaja...
4 Reactions
41 Replies
551 Views
Ninafuatilia maandamano ya Gen Z; 7/7, kuna vitu symbolic kabisa naviona. Baada ya Tarehe 7/7 tutarajie kuona mijadala ya kuwatenga Wazanzibari walioko Tanganyika, Tutarajie kuona chuki kubwa...
1 Reactions
11 Replies
44 Views
Kumekuwa na mabishano ulimwenguni pote baina ya waislam Kwa waislam kuhusu ni kipi hasa kinauongoza uislamu kati ya Quran na Hadithi kumhusu Mtume Muhammad na maisha yake. Wanaounga mkono...
2 Reactions
14 Replies
65 Views
Wanaukumbi. 🇮🇷 Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imekataa madai ya Rais Trump kwamba pande zote zimeidhinisha makubaliano yaliyopendekezwa kati ya Marekani na Iran. Maafisa mjini Tehran walisema: ❌...
0 Reactions
10 Replies
46 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
146 Reactions
173K Replies
10M Views
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi inayoendelea nchini kuhusu Utanganyika na Uzanzibar kiasi kwamba sasa mijadala hiyo imeingia kwenye Muungano wenyewe! Madai ya mwanzo kabisa ilikuwa kutaka...
1 Reactions
21 Replies
256 Views
Wakuu, habari za muda huu. Jana jioni baada ya mihangaiko na pilika za hapa na pale za kusaka tonge, nikajikuta maeneo fulani hivi tulivu, nikaingia kwenye ka-pub flani hivi amazing kwa ajili ya...
11 Reactions
60 Replies
319 Views
Anaandika Elia Wilinasi Sikanyika Watoto watakaozaliwa baada ya mwaka 2025 watakua katika dunia ambayo AI imejengeka ndani ya karibu kila mfumo wa maisha, ikibadilisha namna elimu, ajira, kazi...
0 Reactions
1 Replies
11 Views

FORUM STATS

Threads
2,064,107
Posts
55,537,984
Back
Top Bottom