Habari wananzengo,
Naomba kuuliza Je ni Muda gani Mtu anapewa mkopo kama amekidhi vigezo vyote vya kukopesheka, ie ana dhamana, ana biashara iliosajiliwa, Bank statement zake ziko vizuri ...
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive...
Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na...
Hello wana JF,
Basi bhana, kazi tunaifanya mijadala ya kijamii tunashiriki kikamilifu
Pamoja na hayo, tusiache kulombana kwa faida lukuki zipatikanazo kwa tendo hili tamuu na adhimu😄
Ukiihisi...
Mzunguko wa Ncha (The Rim Licker): Kulamba pembe zote za juu ambapo ice cream inakutana na koni ili kuzuia isidondoke.
Unyonyaji wa Juu (The Top Sucker): Kunyonya au kulamba ice cream kutoka juu...
Nilichojua ni kwamba, hapo kabla ya wiki hii kuanza, ulikuwa hunipendi.
Ila sasa ndani ya wiki hii umeamua kuniweka katika orodha ya vitu na watu ambao huwapendi milele(umenichukia).
Sawa...
Ni jambo kama linakuwa fashion sasa
Kuna wezi wa aina mbili.
1. Wanaotakiwa kuzikusanya kuzihesabu na kuzihifadhi
2. Wanaoingia nyumba za ibada na kuvuja ofisi zinapotunzwa sadaka kisha kuiba na...
Hii tabia imekaa kiupinde sana unakuta mwanaume kabisa ananua kitanda eti bed sofa WTF!
Kihalisi kitanda cha kiume ni cha mbao, imeshindikana kabisa basi kiwe cha chuma kisicho na urembo wa sofa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.