Jukwaa la Historia

  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
24 Reactions
1K Replies
286K Views
  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
20 Reactions
684 Replies
157K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
494K Views
  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
88 Reactions
2K Replies
520K Views
  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
897 Replies
230K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
674K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
177K Views
Maktaba leo imetembelewa na Mwalimu wa Historia Dr. Francis Daud. Kilichomleta ni yeye kutaka kusikia kutoka kwangu kipi nikijuacho kuhusu mwanamapinduzi huyu. Sikiliza mazungumzo yetu...
0 Reactions
5 Replies
134 Views
MAKALA SEHEMU YA KWANZA: TANZANIA ILIPOKUWA MAKAO MAKUU YA VYAMA VYA UKOMBOZI NA CHANGAMOTO ZAKE MWAKA 1959 CHAMA CHA MRENGO MKALI PAC PAN AFRICANIST CONGRESS...
1 Reactions
15 Replies
151 Views
Tunaambiwa kuwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana Kwa sababu ya kuwepo Kwa mahusiano ya karibu na ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili katika nyanja mbalimbali kama vile undugu wa damu biashara...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa na kawaida siku hizi kuwa ninaposoma Makala ya historia basi huenda kwenye kazi zangu zilizopita na kuangalia nini nimeandika. Ndugu yangu Abdulkarim Ally ameandika makala (haipo hapa)...
2 Reactions
19 Replies
357 Views
Asili na habari za Wachaga Wachaga walikuwa ni moja ya makabila ya kwanza kwanza kabisa Tanzania kukutana na kupata ustaarabu wa Kizungu. Hilo limefanya kuwa kabila ambalo historia yake...
1 Reactions
14 Replies
542 Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
130 Reactions
2K Replies
173K Views
Katika historia, watawala walitumia mbinu kali za adhabu kwa lengo la kuadhibu maadui zao pamoja na wale walio tekeleza matukio ya kihalifu. Pia walitumia mbinu hizo kama njia ya kuwafanya...
3 Reactions
16 Replies
359 Views
Panafahamika kama peace valley huko Iraq.. Unaweza ukadhani ni mji kumbe hapo kuna kabauri zaidi ya million 5. ====== The world's largest cemetery, in Iraq's Shi'ite holy city of Najaf, is...
2 Reactions
10 Replies
476 Views
Hii itasaidia kupunguza msongamano dsm kwa sababu mikoa husika imesha weka dhamira ya miji hii kuwa na bandari kavu. 2 miji hii imezungukwa na maeneo yenye uzalishaji wa mazao ya chakula ya...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani WHO limeipendekeza Tanzania sanjali na Nchi zingine kuwa miongoni mwa Nchi ambazo zimepewa nafasi ya kuweka mgombea ambae anaweza kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO Kanda...
1 Reactions
1 Replies
161 Views
KIMBUNGA HIDAYA MAWINGUNI WATOTO WANACHEZA MPIRA WA MAKARATASI PEKUPEKU MTAANI Jioni inakimbilia Maghrib na kama kungekuwa na jua mtu angeweza kuliona limebadilika rangi linaenda kuzama upande wa...
3 Reactions
9 Replies
380 Views
Adres Felipe Ballesteros mzaliwa wa Colombia Bogota mwenye umri wa miaka 36 alikamatwa hapa nchini Tanzania mnamo August 2014 kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya aina ya Heroine akiwa amezifich...
8 Reactions
64 Replies
4K Views
UGENI WA TBC SAFARI CHANNEL MAKTABA Leo asubuhi Maktaba ilibahatika kupokea ugeni kutoka TBC Safari Channel watayarishaji na Warushaji wa vipindi vya historia. Walinifahamisha kuwa wapo katika...
2 Reactions
2 Replies
111 Views
THE NYERERE YEARS Nakifahamu kitabu hiki kuhusu marafiki wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. In Shaa Allah nitajaribu kuandika niyajuayo kutokana na majina ya hawa ambao ni rafiki zake na ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Hii ni Scopes Trail (July 10–21, 1925, Dayton, Tennessee, U.S.); Ambapo Mwalimu wa Shule John T. Scopes alikuwa charged kwa ku-violate Sheria ya State ya kufundisha Evolution.... Case yenyewe...
0 Reactions
5 Replies
124 Views
Katika Miaka ya 2000 Raia wengi kutoka Jamhuri ya Dominika walikuwa wanakimbia nchi yao kuelekea katika nchi ya marekani na Puerto Rico kwa ajili ya kutafuta maisha mazuri. Kwahiyo haikuwa jambo...
1 Reactions
3 Replies
327 Views
https://youtu.be/OPKS_zUEQ_U?si=I9uLLW8isDYT9ntg
0 Reactions
8 Replies
268 Views
Hii ni mada ya mtiririko wa matukio ya kidunia yasiyo ya kawaida, yaliyohifadhiwa toka vyanzo mbalimbali kwa njia ya picha, maandishi ama vyote viwili. Lengo kuu ni kupanua ufahamu wa wale wote...
78 Reactions
3K Replies
92K Views
MJADALA WA WACHANGIAJI M1 JF Jukwaa la Historia 2013 Yericko Nyerere (pichani) miaka 11 iliyopita alifungua uzi JF kwa nia ya kupinga historia ya uhuru wa Tanganyika kama nilivyoieleza katika...
10 Reactions
106 Replies
3K Views
Back
Top Bottom