Search results

  1. Thailand

    Ushauri kuhusu kusoma England

    Habarini ndugu, Namshukuru Mungu niliomba chuo kipo England (Norwich city) kinaitwa University of East Anglia (UEA) course niliyo kubaliwa Masters of science in Economics and Data science kwa mwaka mmoja. Napenda sana hizo mambo za uchumi, changamoto nimepata ufadhili pound £4000 ila...
  2. Thailand

    Hata mimi ningekuwa Diamond Platinum nisingekubali kushiriki tuzo za mziki TMA

    Itoshe kusema Diamond Platinum ni Mkubwa sana kwenye mziki wa Afrika, tusimuchukulie poa tu kwa kuwa anatokea Tanzania. TMA mmejitaidi kuandaa tuzo zenu changamoto ipo kwenye namna ya kuaandaa Category ili kuweza kuleta msisimko na hamasa kwa wadau wote wa mziki. Mimi sipendi hizi timu za...
  3. Thailand

    Serikali kupitia NECTA, Posho kwa walimu wanaosahihisha mitihani ya Taifa sio haki

    Yaani unakuta walimu wanakaa zaidi ya siku 11 kwa ajili ya usahihishaji pepa za NECTA means mitihani hasa kidato cha sita, ila kwa siku zote hizo za usahihishaji na kukaa nje ya kituo unakuta pesa anayopata haizidi 550,000. Sasa hii sio haki ukizingatia ugumu wa kazi yenyewe. Masaa zaidi ya 12...
  4. Thailand

    Kwa maslahi makubwa ya nchi mechi ya Simba na yanga ipelekwe mbele kupisha mashindano ya kimataifa

    Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili. Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila...
  5. Thailand

    Kumbe tusi "stupid" alilotamka Rais lilikuwa linaihusu cycle yake

    Mpaka sasa wezi wa mabilioni ya shilingi za watanzania wapo uraiani wanajipongeza kuibia watanzania. Watu wanaiba mabilioni ya shilingi halafu Rais anatukana, badala achukue hatua za KUWAACHISHA KAZI NA KUFILISIWA. Rais ndo Amiri jeshi mkuu means ndo anatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana...
  6. Thailand

    CCM Wezesheni upatikanaji wa KATIBA mpya kumbukeni siku yaja nanyi mtakuwa chama cha upinzani

    Tusiseme mengi ila kumbuka hakuna dora zilizokuwa na nguvu kama Ottoman empire, Roman empire, Greek, Egypt, Babeli chini ya vyama vyenye nguvu na ushawishi lakini viliporomoka mpaka mavumbini. CCM kuamini kwamba mtatawala milele huko ni kujidaganya mchana kweupe. Chini ya CCM tunaona namna nchi...
  7. Thailand

    Kwa mnaotaka kusoma course za nje mkiwa hapa hapa bongo chekini hii scholarship ya Commonwealth Distance Learning (MA)

    Hii scholarship mwisho wa kufanya application ni 28/ 03/ 2023. Bado hujachelewa ku apply. https://cscuk.fcdo.gov.uk/scholarships/commonwealth-distance-learning-scholarships-candidates/
  8. Thailand

    Diamond Platinum hata kwenye filamu anaweza kufanya vizuri

    Kwa namna scene za matukio vilivyopangiliwa kwenye wimbo wa Yatapita, now Diamond anaweza ku switch kunako kiwanda cha Bongo movie na akafanya vizuri zaid na kuinua tathinia hiyo kimataifa zaidi. Imagine Diamond anaigiza movie kama hii; Diamond (askali polisi) anayedhalaurika kazini, kitengo...
  9. Thailand

    John Mnyika na John Heche turufu ya CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2025

    Sitashangaa endapo mmoja kati ya hawa magwiji wa siasa za hoja wakipata nafasi ya kupeperusha bendera ya kugombea urais wa Tz kupitia CDM. Jamaa wana uelewa mpana kwa kugonga spana kwa hoja kali sana, Pili hawa jamaa hawana makando kando mengi kwa jamii hivyo wananchi wanaowafatilia kwa...
  10. Thailand

    Hivi serikali ya Tanzania inakusanya kiasi gani kutoka Zanzibar?

    Mara zote nimekuwa nikisia pesa inatoka Tanganyika kwenda Zanzibar. Mfano soma nukuu hii kutoka kwa rais wa JMT; ”Kwa mfano mwezi huu kulikuwa na vimaneno sijui hakuna pesa serikalini pesa kwasababu mikopo tulikopa imechelewa ya kufanyia kazi hizi lakini mbili kuna mikopo iliyo ‘mature’ kwa...
  11. Thailand

    Harakati ya kuuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

    Kifupi Zanzibar hawatupendi wa Tanganyika kwa kudhani wao ni waarabu koko wa oman (fikra za kimaskini) Sasa kuliko kuleteana shida huko mbele ya safari, naomba serikali ifikirie kuuvunja huu muungano kwa amani bila damu kumwagika. Haiwezekani kero za muungano zinatatuliwa tu zile zinazo wa...
  12. Thailand

    Nchi ngumu sana hii hadi chombo cha serikali (TBC) wanahamasisha kamali ya Upatu

    Now Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, Kila Tv na radio habari yao ni moja tu "cheza ushinde kwa buku tu" hii inafikirisha sana. Inaamana Uchumi wetu umeporomoka sana kiasi kwamba kila mwananchi anavizia mchongo wa kamali ili kutimiza malengo. Uchumi huru kwa wananchi hasa wa hizi nchi...
  13. Thailand

    Quattara wa Simba alichemka wapi, now hapati namba

    Quattara alianza vizuri akiwa anamuweka benchi Onyango, ila now mambo ime turn jamaa hajulikani alipatwa na nini haanzi kwenye kikosi cha kwanza
  14. Thailand

    Mapinduzi ya kiuchumi nchi hii yanaitaji mabadiliko ya haraka katika sekta tatu

    1. Kuinua na kuhimiza kilimo cha umwagiliaji. Hiki ni kitu muhimu kutoka kutegemea mvua za msimu, serikali iweke na kuwezesha UKUAJI WA SEKTA YA KILIMO. Tanzania tuna fursa ya maeneo bora ambayo sasa yametelekezwa kama mapori, yana udongo wa rutuba vyanzo vya maji ya mito na underground...
  15. Thailand

    Zolan nipangie hiki kikosi tumuue mwananchi mapema asubuhi

    Golini akae 1. Kakolanya, 4. Quaatara 5. Inonga 2. Kapombe. 3. Tshabalala, 6. Mkude, 7. Sacko,. 8. V. Ackpan. 11. Okrah, 10. Chama, 9. Kibu D, Formation 3: 5: 2 Hapo goli ni lazima kwa sababu Yanga inatakiwa...
  16. Thailand

    SoC02 Wanandoa kuanza kulipwa pesa ya kujikimu ili kuokoa single mama na taasisi ya ndoa Tanzania

    salama! Niende kwenye mada kwa kuanza na maswali ya utangulizi. Ni kwa namna gani unavyoshuudia idadi ya watoto wa kike wakipewa mimba na kutelekezewa watoto na waume zao? Ni kwa namna gani vijana wa kiume wanakimbia suala la kuoa ( kuweka wake ndani) kwa kisingizio cha ugumu wa maisha? Ni kwa...
  17. Thailand

    Uboreshaji wa makazi bora Mijini na Vijijini

    Kabla sijafika miji mikongwe kama Bagamoyo nilijua ni miji ya kuvutia kwa makazi yaliyoboreshwa kumbe nilikuwa najidaganya. Tuongelee mji wa Bagamoyo na makazi yake, yaani wingi wa nyumba za udongo na kuridhika kwa wakazi wazawa wa hapo kwenye huo mji. Mji wa Bagamoyo una jina kubwa lakini...
  18. Thailand

    Kitendo cha Rais kusimamisha hotuba kisa Adhana ya waislam imakaaje hii kitaifa?

    Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma. Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais...
  19. Thailand

    Ubinafsi wa wazanzibar ulitokea wapi baada ya muungano wa Tanzania?

    Kwa mujibu wa hotuba ya mh. Pius Msekwa katibu wa bunge kipindi cha kusaini hati ya muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar amedai kwamba baada tu ya muungano huo rais wa Zanzibar Mzee Karume alijihudhuru cheo chake cha urais na kuwa Makamo wa rais wa Kwanza wa JMT chini ya rais Mwl. JK...
Back
Top Bottom