soc

Sóc Trăng (listen) is a city in Vietnam. It is the capital of Sóc Trăng Province. It was upgraded from a town (thị xã) to a city following decree 22/2007/NĐ-CP on 8 February 2007.

View More On Wikipedia.org
  1. Jamii Opportunities

    Specialist; Security Operations Center (SOC)- 2 Positions at CRDB

    Line Manager- Manager; SOC Department- Cybersecurity Location- HQ Job Summary Support in ensuring that the Bank’s information is protected in accordance with the needs of the business and according to Information Security principles of availability, integrity and confidentiality. To bring the...
  2. sky soldier

    Simu za Tecno, Infinix, Itel, n.k ni nzuri kwa bajeti lakini zinatumia soc zilizopitwa na muda, Ni sawa na kununua gazeti jioni,

    Tatizo la hawa ndugu zetu kina tecno hawatumii Soc (System on chip) mpya, soc huwa zinashikilia Ram, camera, modem za kunasa mtandao, wifi na vifaa vingine, soc ni kama roho ya simu. Yani wao wanachofanya ni kusomba Soc za zamani zilizopitwa na muda ambazo huwa zimepungua bei, Tatizo sio soc za...
  3. JamiiForums

    Uzinduzi wa awamu ya 3 wa Shindano la Stories of Change

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UZINDUZI WA AWAMU YA 3 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE” Ndugu Wanahabari, JamiiForums (JF) ni asasi ya Kiraia iliyosajiliwa kufanya uchechemuzi wa Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora. Vilevile, JF inaratibu jukwaa la JamiiForums.com...
  4. T

    SoC02 Mbinu za kupambana na madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia ya nchi katika kilimo nchini Tanzania

    Kutokana na ukuaji wa shughuli za binadamu za uzalishaji kumekuwa na uharibifu mkubwa wa mazingira Hali inayopelekea kubadilika kwa tabia ya nchi. Aidha shughuli za kibinadamu Kama vile ukataji miti, viwanda, kilimo na usafirishaji vimepelekea mabadiliko hayo kwa wingi. Baadhi ya madhara...
  5. P

    SoC02 Afya ya Akili na Malezi

    SOC AFYA YA AKILI NA MALEZI Katika maisha yote tulio ishi hapa duniani tumekuwa tukiamini kwamba hakuna kitu kinachotokea chenyewe lazima kuna kuna hatua amabyo huleta matokeo fula yawe mazuri au mabaya.Usemi huu wa ukiona vyaelea ujue vimeundwa huleta maana kwasababu mtu kuwa vile alivyo ni...
  6. T

    SoC02 Mbinu za kuondokana na tatizo la Ajira nchini

    Tanzania ni moja Kati ya nchi nyingi duniani ambazo zimekubwa na tatizo la ukosefu wa ajira, Hali ambayo imepelekea matatizo ya kiuchumi na kijamii. Ukosefu wa ajira rasmi hupelekea makundi ya vijana wasomi wasio na kazi kuongezeka katika jamii zetu, hali inayopelekea kuongezeka kwa makundi ya...
  7. M

    SoC02 Kilimo fursa kubwa

    KILIMO FURSA KUBWA. Chanzo cha binadamu ni uumbaji wa Mungu. ‘’Mungu akasema , Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi...Mwanzo 1:26. Na pia, Biblia...
  8. T

    SoC02 Namna ya kutatua matatizo yanayohusisha upatikanaji wa mazao ya chakula nchini

    SoC 2022 Kilimo kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa jamii. Kwa mda mrefu Sasa watanzania tunaendelea kukumbana na matatizo ya upungufu wa baadhi ya bidhaa Kama vile mafuta ya kupikia, Jambo ambalo hupelekea Bei kuwa kubwa na kuzua taharuki. Aidha baadhi ya jitihada za serikali kupitia wizara ya...
  9. M

    SoC02 Aplikesheni mkombozi

    Stories of change; Aplikesheni mkombozi. Ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana wengi wa Kitanzania ni moja kati ya matatizo ambayo mpaka sasa halijaweza kutatuliwa kikamilifu. Sio tu Tanzania, bali tatizo hili ni tatizo ulimwenguni pote. Moja wapo ya sababu kuu kwanini vijana wengi hawapati...
  10. mraniwene

    SoC02 Samaki Mkunjeni, Ila Mwanangu Msimguse!

    (Mwanzo) Hadithi Fupi “Mamu, Mamu, we Mariamu si nakuita ina maana hunisikii?”, ilisikika sauti ya Mama Ibra kama ilivyo kila siku mida ya saa kumi na moja na nusu akiwa anamuamsha mwanaye. “Amka haraka jamani tutakosa wateja, na wateja ndio pesa. Au unafikiri hivi vitumbua vitajipeleka vyenyewe...
  11. KALEKU

    SoC02 Utumwa wa Internet na Mitandao ya Kijamii

    UTUMWA WA INTANETI NA MITANDAO YA KIJAMII Matumizi ya intaneti yanazidi kukua kila kukicha kulingana na jinsi Sayansi na Teknolojia vinavyozidi kuboreshwa. Kutokana na maendeleo hayo mitandao ya kijamii nayo inazidi kushika kasi na kuzidi kujipatia watumiaji wengi. Maisha yamebadilika sana na...
  12. Jmushi91

    SoC02 Mshindi ni mimi na wewe leo

    Utajiri, pesa, umaarufu, vyeo, mamlaka, afya, chakula, mavazi, kazi, nyumba, magari, simu ya kisasa, unaweza kutaja mafanikio yoyote ambayo umepata. Hakika orodha haijaisha. Sasa nikuulize, ni mafanikio gani makubwa uliyoyapata maishani? Fikiria juu ya hili unapochimba chini kwenye hii...
  13. Chifumoses

    SoC02 Tutakufa ila Utanzania wetu utadumu milele

    Wengi watanzania tumekua ni watu wa kulalamika, kuhuzunika, kunyanyasika, kunyanyasana na kubaguana wenyewe kwa wenyewe kwasababu za kiuchumi, elimu, nyadhifa, makabila, ujinga/upumbavu, imani zetu tulizonazo na pengine kutokana na mapungufu ya kibinadamu. Watanzania tuliowengi tunapitia...
  14. A GIRL OF THE GIRLS

    SoC02 Mtihani wa darasa la saba kisiwe kipimo cha mwisho cha uwezo wa akili kwenye elimu

    Ninachukua wasaa huu kuzungumza na nyinyi ndugu zangu kupitia andiko hili, suala la kupima uelewa wa mtu katika elimu isiwe kwa mitihani hasa kwa elimu ya msingi ambayo Watoto bado wanakuwa na umri mdogo. Kwa hiyo wengi wao wanakuwa hawajatambua ni njia gani watumie katika kusoma ili kufanya...
  15. Blue Marble

    SoC02 Kisiwa kikubwa cha Taka za plastic katika bahari ya Pasifiki

    Ukisikia kisiwa basi wote tunafahamu kuwa ni sehemu ya nchi kavu iliyozungukwa na maji. La hasha sio hivyo. Plastc Pacific Garbage Patch ni kisiwa kilichojitengeneza kutokana na kurundamana kwa Taka hasa za plastiki. Kisiwa hiki kinajumuisha taka nyingi za magharibi mwa pwani nchi ya Japani na...
  16. Uhakika Bro

    SoC02 Kwa sababu 1 + 1 = 3 na 1 + 1 + 1 ni 7; juhudi katika uelekeo sahihi ni lazima

    Naam, moja ongeza moja ni tatu. Katika juhudi (effort) huwa ipo hivi; zikiunganishwa jitihada zaidi ya moja, matokeo yake huwa ni makubwa kuliko ile jumla yake ya kihesabu tu. Uliwahi kutokea ubishi huko Ulaya ya karne hizo. Wamiliki wa farasi walibishana kuhusu nini kitatokea endapo farasi...
Back
Top Bottom