sarafu

  1. stakehigh

    Dinari Kuwaiti: Ndio Sarafu Imara Duniani na Njia Tanzania Inaweza kufuata ili Kuifikia

    Dinari ya Kuwait (KWD) ndio sarafu yenye nguvu zaidi duniani. Lakini ni nini hasa kinachoifanya kuwa imara, na je, Tanzania inaweza kujifunza nini kutoka kwa mafanikio ya Kuwait? Wacha tuchunguze sababu za nguvu ya dinari na kuchunguza njia zinazowezekana za ukuaji wa uchumi wa Tanzania. Nguvu...
  2. Meneja Wa Makampuni

    Kama tungeuza sana bidhaa nje ya nchi tungepata dola nyingi sana, sarafu yetu ingeimarika kuliko ya Kenya

    Leo nitaandika kama shairi tu labda nitaeleweka. Sijasomea uchumi kokote Nimewaza mwenyewe tu juu ya sarafu yetu Sarafu yetu inaporomoka. Hatuuzi nje. Hatupati dolla nyingi. Matokeo yake dolla inakosekana sokoni. Matokeo yake ili tuipate dolla inabidi tutumie shillingi nyingi. Matokeo yake ya...
  3. snipa

    Bitcoin Halving Tukio au fursa ya kihistoria itakayobadilisha thamani ya Sarafu za Kidijitali 2024

    Katika thread hii sitazungumzia ni Nini maana ya Bitcoin mana naamini mada hizo zipo, ila ntaenda Moja kwa Moja kuzungumzia halving. Satoshi Nakamoto kwenye code za Bitcoin Blockchain aliona ni vyema kuzingatia baadhi ya mambo ili kuifanya BTC iwe inflatable, Ikiwa kama fedha ya kawaida inaweza...
  4. FRANCIS DA DON

    Napendekeza kuondolewa sifuri mbili kwenye sarafu na noti zote za Tanganyika

    Nchi ya Zanzibar wataamua wenyewe cha kufanya, ila upande wa Tanganyika, napendekeza ziondolewe sifuri mbili kwenye sarafu zake zote. Kwa mantiki hiyo:- 1.) Tsh. 100/= itakuwa Tsh. 1/= 2.) Tsh. 200/= itakuwa Tsh. 2/= 3.) Tsh. 500/= itakuwa Tsh. 5/= 4.) Tsh. 1,000/= itakuwa Tsh. 10/= 5.) Tsh...
  5. Lycaon pictus

    Haiwezekani kwa EAC kuwa na sarafu moja bila ya kuwa na shirikisho la kisiasa kwanza

    Naona kuna habari za EAC kuwa na sarafu moja. Kwa mipango ya EAC leo hii tayari tulitakiwa kuwa na sarafu moja. Lakini kiukweli ni ngumu sana kuwa na sarafu moja bila ya kuwa na shirikisho la kisiasa. Jambo hilo limewatesa na linazidi kuwatesa Umoja wa Ulaya. Nchi huwa zinashindana kibiashara...
  6. Newbies

    Sarafu Afrika zenye nguvu dhidi ya Dollar

    Top African currencies from the strongest to the weakest as of 15th February 2024 in comparison with the USA Dollar 1 USD = 1. Tunisian Dinar: 3.15 2. Libyan Dinar: 4.85 3. Moroccan Dirham: 10.06 4. Ghanaian Cedi: 12.45 5. Botswana's Pula: 13.73 6. Seychelles' Rupee: 13.33 7. Eritrean...
  7. Newbies

    Sarafu zenye thamani ndogo Afrika

    10 African countries with the weakest currencies in 2024. 1. São Tomé and Príncipe 22,281.8/$Dobra (STD) 2. Sierra Leone 19678.65/$Leone (SLL) 3. Guinea 8,583.4/$Guinean Franc (GNF) 4. Madagascar 4528.28/$Malagasy Ariary (MGA) 5. Uganda 3849.94/$Ugandan Shilling (UGX) 6. Burundi...
  8. ngwayamani

    Sababu zinazo wafanya simba kuingia hatua ya makundi ligi ya mabingwa kuwa rahisi kuliko yanga

    Kama kichwa kinavyo sema hapo juu ,ukiangalia mpira wetu utaona kuwa yanga imekuwa bora kwa miaka 3 sasa ila unajua kwanini bado kuingia makundi inakuwa ngumu basi sababu ni RANKING Simba ilijikusanyia rank nyingi na siku zote wenye rank nyingi upangiwa na timu ndogo ,hata kama timu ndogo nazo...
  9. L

    Sarafu mbadala zahitajika barani Afrika

    Mwanzoni mwa mwaka huu benki ya Tanzania BOT ilitangaza kuwa itachukua hatua mbalimbali ili kutatua suala la uhaba wa dola ya Marekani uliotokana na upungufu wa sarafu hiyo kwenye akiba ya taifa. Uhaba huo umekuwa changamoto kwa biashara ya kimataifa kwa Tanzania, na kuifanya Tanzania ionje...
  10. Kaka yake shetani

    Sarafu za kidigitali mwiba kwa benki kuu nchini mwetu

    Nakumbuka maneno ya mweshimiwa raisi samia kuhusu benk kuu kufatilia swala la sarafu za digitali. Bahati mbaya tamko la benki kuu iliishia kutoa vitisho na sababu wanazozijua wao. Lakini leo benk kuu imekuwa inaangaika kutafuta pesa za kigeni zinazoingia imekuwa ngumu. SABABU NI ZIPI? Hakuna...
  11. Father of All

    Kumbe sarafu ya Kenya kanyabwoya!

    Ushuhuda wa gavana wa banki ya Kenya, Kamau Thugge ni kwamba wenzetu wakenya wamekuwa wakituibia kwa kukadiria fedha yao kitapeli na kuonekana na fedha ngumu kwenye ukanda wa Afrika Mashariki wakati ni bomu! Soma ifuatayo tafadhali uone ukweli mchungu. --- Shilling overvalued for long, CBK...
  12. GENTAMYCINE

    Ni kwanini tunaotoa Sadaka za Sarafu ( Coins ) Makanisani huwa tunaangaliwa kwa Jicho la Usununu ( Hasira ) na Waumini?

    Kwani Wewe umekuja Kanisani Kusali ( Kuabudu ) au Kumchunguza GENTAMYCINE anatoa Sadaka ipi na Kiasi gani? Tafadhali Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) kama ikiwapendeza rejesheni zile Noti za Tsh 500/= na mkiweza pia bunini na za Tsh 200/= kwani mtatufichia Aibu Sisi akina Choka Mbaya ambao wakati...
  13. Mzalendo Uchwara

    Wito kwa EAC, tuharakishe sarafu ya pamoja, dunia itatuacha

    Sarafu ya pamoja itatupa nguvu ya kuingia makubaliano ya kutumia sarafu yetu kwenye biashara za kimataifa badala ya dola ya Marekani. Hususnani baina yetu wenyewe na pamoja na mataifa tunayofanya nayo biashara kwa wingi kama vile Afrika Kusini, India na China. Kama inashindikana kuelewana na...
  14. Mr. JF

    Sarafu ya Tanzania (TZS) yazidi kuporomoka dhidi ya Dollar (USD)

    Power to the People Wanajamvi!!! Kama umekuwa ukifuatilia mwenendo wa SARAFU yetu pendwa ya TZS kuanzia mwezi wa 5, utagundua kwamba imeporomoka sana kwenye soko la ubadilishaji wa fedha za kigeni. Kiwango ambacho TZS imeporomoka sasa hivi, hakijawahi kufikiwa tangu uwepo wa TZS duniani, yaani...
  15. I

    Argentina yafikiria kutumia dola ya Marekani kama sarafu yake

    Wakati mataifa mengine yanafikiria kuachana na dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa kuna mataifa mengine yanafikiria kutumia sarafu hiyo adhimu kama sarafu ya nchi. ----- While some emerging economies have demonstrated an eagerness to untangle themselves from the dollar's dominance...
  16. Escotter20

    Ushauri: Naacha chuo nijikite biashara ya sarafu mtandaoni FOREX

    Habar wakuu Mimi ni mwanafunzi wa kozi ya technical education in electric and electronics eng, umri wangu 23yrs Nimekuja hapa kuomba ushauri, nimefanya uchunguzi wangu wa kina kwa miaka5 pamoja na kutafuta maarifa baada ya kujaribu forex nimeona Ina manufaa kwangu... Hivyo nimekuja kuomba...
  17. Librarian 105

    Joseph Musukuma, usiangalie upande mmoja tu wa sarafu

    Mbunge wa Geita, Josephu Musukuma, wakati unapotoa ushauri kwa vyombo vya ulinzi na usalama kuwachukulia hatua wanaopotosha mkataba wa Dubai Port World na Tanzania Ports Authority. Ni vyema pia ukapigania bunge lijadili kwa uwazi kila kipengele cha mkataba huo pasina na shinikizo la uchama...
  18. mtanzania in exile

    Mnaosherehekea Hadhi Maalum kwa Diaspora hamjaangalia upande wa pili wa sarafu

    Wana Diaspora Nimeona ndugu zetu wengi sana hususan wale waliopo USA wanasherehekea sana juu ya ujio wa Hadhi maalum kwa diaspora, kiasi kwamba nahisi mnashindwa kuangalia upande wa pili wa sauli hili. Kwa sababu hiyo basi naomba kuweka point chache tu ambazo tunabidi sote tuzielewe. Kwanza...
  19. R

    Ndoto inayojirudia ya kuokota pesa za sarafu ina maana gani?

    Habari. Kuna hii ndoto ambayo karibu Kila wiki lazima niiote. Ninakuwa naokota pesa za sarafu mpaka za mataifa mengine na zinakuwa nyingi kiasi kwamba naweza kutembea hata kilomita Moja na Kila mahali naokota hizi pesa. Nimeanza kuiota kitambo sana. Usiku wa kuamkia Leo pia nimeiota Sasa...
  20. S

    Rais Ruto azitaka nchi za Afrika kuacha kutumia sarafu ya dola kwenye biashara zao za kimataifa

    Rais Ruto wa Kenya amezitaka nchi za Africa kuacha kutumia sarafu ya US Dollar 💵 💵 💵 kwenye biashara zao za kimataifa. Ruto anashangaa kwa nini Africa tumekuwa watumwa wa sarafu ya dola ya kimarekani kwenye biashara zetu kiasi kwamba inafikia nchi za Afrika zashindwa kuuziana bidhaa zao mfano...
Back
Top Bottom