Kama tungeuza sana bidhaa nje ya nchi tungepata dola nyingi sana, sarafu yetu ingeimarika kuliko ya Kenya

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,366
8,318
Leo nitaandika kama shairi tu labda nitaeleweka.

Sijasomea uchumi kokote
Nimewaza mwenyewe tu juu ya sarafu yetu
Sarafu yetu inaporomoka.
Hatuuzi nje.
Hatupati dolla nyingi.
Matokeo yake dolla inakosekana sokoni.
Matokeo yake ili tuipate dolla inabidi tutumie shillingi nyingi.
Matokeo yake ya mwisho ni nini?
JIBU: SARAFU YETU INAPOROMOKA JAMANI HADI HURUMA.
Jana Tsh 2580 ilikua ni sawa na DOLLA 1.

What do you expect ndugu zangu.

Ukitoa kitu chako kwa wingi maana yake hakina thamani.

Hakuna balance nzuri kati ya dolla na shilling yetu.
 
Uzuri umesema huelewi uchumi, ningekunanga hapa. Sababu ya dollar kuwa 2500+ si hiyo uliyosema. 😂😂😂.
Wewe mzuri kuandika. Ila ningekushauri vipo vitu unatakiwa kujifunza sio kuandika moja kwa moja. Kama lile swala la siku ile kuhusu TAN oil na leo hili la dollar. Jifunze zaidi
 
2021 dola moja ilikwenda 1 USD. Sawa na 2309

Ndani ya muda wa Samia imepnda Hadi kufika 1 against 2580

Hali Zimbabwe inanukia Hapa Tanzania
 
swala la uchumi ni pana na nyeti.najua atakuja mbobevu atoe anachokijua kuhusu kuporomoka kwa sarafu ya Tanzania dhidi ya 🇺🇸$
 
Leo nitaandika kama shairi tu labda nitaeleweka.

Sijasomea uchumi kokote
Nimewaza mwenyewe tu juu ya sarafu yetu
Sarafu yetu inaporomoka.
Hatuuzi nje.
Hatupati dolla nyingi.
Matokeo yake dolla inakosekana sokoni.
Matokeo yake ili tuipate dolla inabidi tutumie shillingi nyingi.
Matokeo yake ya mwisho ni nini?
JIBU: SARAFU YETU INAPOROMOKA JAMANI HADI HURUMA.
Jana Tsh 2580 ilikua ni sawa na DOLLA 1.

What do you expect ndugu zangu.

Ukitoa kitu chako kwa wingi maana yake hakina thamani.

Hakuna balance nzuri kati ya dolla na shilling yetu.
Nashukuru umesema haujasoma uchumi, maana mambo yangekuwa rahisi hivyo pesa ya Japan(Japanese yen) ingekuwa juu kuliko Ksh ya Kenya
 
Jifunze kwanza kilichotokea Kenya. Kenya sarafu dhidi ya Dola ilishuka thamani kwa mporomoko kutokana na fixing na pia wasiwasi kwamba Kenya ingeshindwa kulipa deni lake la Eurobond. Serikali ya Ruto ilikopa na kustructure deni la Eurobond hali iliyoondoa wasiwasi na kupelekea sarafu yao imepanda ghafla dhidi ya dola.

Kwa hiyo sio kwamba kuna jambo labda Tanzania haifanyi au imezidiwa na Kenya la hasha, sarafu ya Kenya inayumba kutokana na masuala ya athari za mikopo. Nikurudishe nyuma kidogo, thamani ya sarafu ya Kenya mwaka 2022 ilikuwa ni sawa na TZS 19 na kwa sasa imerudi tena levels hizo hizo.
 
Leo nitaandika kama shairi tu labda nitaeleweka.

Sijasomea uchumi kokote
Nimewaza mwenyewe tu juu ya sarafu yetu
Sarafu yetu inaporomoka.
Hatuuzi nje.
Hatupati dolla nyingi.
Matokeo yake dolla inakosekana sokoni.
Matokeo yake ili tuipate dolla inabidi tutumie shillingi nyingi.
Matokeo yake ya mwisho ni nini?
JIBU: SARAFU YETU INAPOROMOKA JAMANI HADI HURUMA.
Jana Tsh 2580 ilikua ni sawa na DOLLA 1.

What do you expect ndugu zangu.

Ukitoa kitu chako kwa wingi maana yake hakina thamani.

Hakuna balance nzuri kati ya dolla na shilling yetu.
Hawataki hilo kwakuwa wao wamewekeza zaidi nje
 
Hakuna balance nzuri kati ya dolla na shilling yetu.
Short kati ni kuacha kutumia Dola ....!!! Kwa namna gani?

Tujiulize ni bidhaa gani tuna nunua sana Nje kwa kutumia Dola. Jibu Mafuta! Je. Hakuna nchi nyingine Duniani ambazo zinauza mafuta Tena kwa bei nafuu bila kudai dollar bali safari nyingine kama yuan ana rubble? Zipo hizo nchi !!

Tukishindwa hili ni kuwalazimisha uwepo wa kuuziana kwa Biashara ya mali kwa mali ...!!! Tukitikisa hili ....hao walioficha dollar kwenye madyaba watazitoa wenyewe!!!
 
Ni tatizo la inchi hii la muda mrefu la wanasiasa watawala kuto kuheshimu na kuthamini taaluma za watu na kuhendekeza "main power fully of politics" kuliko ujuzi wa watu hasa walio inje ya mlengo wao.
 
Nashukuru umesema haujasoma uchumi, maana mambo yangekuwa rahisi hivyo pesa ya Japan(Japanese yen) ingekuwa juu kuliko Ksh ya Kenya
Huwezi kulinganisha japan na China na Tanzania na Kenya boss. Hao wenzetu wanashusha thamani ya sarafu zao kwasababu wanazalisha sana bidhaa hivyo wakitaka kuuza sana katika masoko ya kimataifa lazima washushe thamani ya sarafu zao.
 
Uzuri umesema huelewi uchumi, ningekunanga hapa. Sababu ya dollar kuwa 2500+ si hiyo uliyosema. 😂😂😂.
Wewe mzuri kuandika. Ila ningekushauri vipo vitu unatakiwa kujifunza sio kuandika moja kwa moja. Kama lile swala la siku ile kuhusu TAN oil na leo hili la dollar. Jifunze zaidi
Unaposoma maandiko jifunze na kusoma psychology za waandishi usije ukadhani sijui kinachotokea TANOIL niliandika vile makusudi ili nifikishe ujumbe wa kile nilicholenga. Na najua niliandika kwenye sentensi moja kile ulichotaka niandike ila hukukiona.

Hapa nilipo sasa nafanya hiyo biashara ya fedha za kigeni. Fluctuations naiona kila siku sokoni. Lakini pia nafanya biashara ya kuimport. Uchumi najifunzia kwenye biashara sio darasani.

Nikisema thamani ya shillingi inashuka mimi naiona kabisa sokoni ninapo badilisha Tsh kwenda fedha ya kigeni Na sababu naiona hadharani. Sasa wewe subiri BOT wakueleze au waziri wa fedha akueleze.
 
Back
Top Bottom