Majiko haya ni ya kimkakati katika kuhakikisha tanzania inakua ya kijan,ni majiko ya nishat safi ya kupikia yanayotumia oil chafu kama nishati safi ya kupikia,tunatoa huduma za kila aina mashulen,hoteln na majumbani pia.0766-52-1373
MREI Company Limited ni watengenezaji na wauzaji wa nishati safi ya kupikia inayotumia Oil chafu, lakini pia wanahitaji support kutoka kwa wadau na serikali ili kuweze kuiendeleza technologia hii ili iweze kua na matokeo chanya katika uchumi wa Taifa, utunzaji wa mazingira, uondoaji wa...
* The US has urged Ukraine to halt attacks on Russia’s energy infrastructure, warning that the drone strikes risk driving up global oil prices and provoking retaliation, according to three people familiar with the discussions* .
The repeated warnings from Washington were delivered to senior...
Habari wanajukwa wa JF
Naomba elimu na ushauri kuhusu biashara ya vilainishi (oil and lubricants) vya vyombo ya moto kama vile magari na pikipiki, mtaji kiasi gani unahitajika? location ya kufungua ofisi, machimbo ya kufungashia mizigo, faida na changamoto
Kuna staff mwenzetu nilikua nafanya nae kazi yaani yeye ni shameless. Si kwa ubaya lakini najaribu kuonesha tabia yake. Kuna watu ambao ni shameless huwezi msema kwa lolote akadharirika au akaaibika. Hawa wamejitengenezea immunity haogopi, hajali watu wanasema nini, hajali wanafikiri nini ili...
Tunza Nyayo na Taraji Coldpress Virgin Coconut Oil
Kipindi hiki cha mvua maeneo mengi yanatuamisha maji.. Ili kupita eneo moja kwenda lingine inakulazimu kukanyaga maji..
Hivyo ufanya miguu yako kuwa hatarini na kupata fungus
Linda miguu zidi ya fungus kwa kupaka mafuta ya nazi ya Taraji...
The Ugandan government and Vitol Bahrain E.C., a Bahrain-based company, have chosen the port of Dar es Salaam to import oil, as part of efforts to promote economic relations between Tanzania and Uganda.
The decision was made a few days after Vitol Bahrain E.C. secured a permit from the Uganda...
Ndugu zangu wana JF baada ya kutoka bei za mafuta kupitia EWURA nimeona niingie kufanya utafiti niweze kujua bei za mafuta ghafi na gharama zake za kuyasafisha na kusafirisha mpaka kufika kwetu hapa Tanzania.
Hapa nitaleta taarifa za kina kuona namna gani tunaweza kufanya au kujua dunia jinsi...
Wakuu Habari
Hivi naweza kutumia CVT NS 2 kwenye Gear box ya nissani teana ambayo Recommended yake ni Matic J?
Fundi mmoja ananiambia CVT NS 2 inaingia kwenye Gear box yoyote ya nissani na fundi mwingine anasema Gear Box ya Nissani inatakiwa kuwekwa Matic J oil
Msaada tafadhari
Then baada ya mwisho wa kuchimba deposits za mafuta, zitakuwa zimeisha sasa wanatengeneza mikataba ya kilaghai ili ku meet future economic demands maeneo mbali mbali ili kupata future ecomonic sources of income hapo baadae when oil deposits runs out aisee.
#FAHAMU : Kama utakuwa ni moja kati ya watu ambao wanandoto siku moja kuja kumiliki magari ya kifahari basi leo kwa uchache tunakufahamisha gharama za kubadilisha oil kwa magari baadhi ya kifahari.
Kupitia mtandao wa Bugatti Browad unaandika gharama za kubadili oil kwa magari hayo ni kuanzia...
Hiki kisa kinahusu gari moja aina ya Volkswagen Polo GTI mk5 toleo la mwaka 2012. Gari ina engine ya EA211 1.4TSI twin charge.
Hii kazi niliunganishiwa na mtu wa humuhumu ndani japo huyo mtu alidai hanifahamu personally na hatujawahi kufanya kazi ila ameshakutana na post zangu nyingi humu JF...
We are AGRO AFRIQUE COMPANY LIMITED located in TANZANIA. We are Producer and Supplier of Refined Sunflower and Palm Oil.
Price per ton for Sunflower $1100 per MT Palm Oil $750 Per MT. We invite buyers to visit our sight or factory and buy directly or send a representative
For more info and...
The School of St Jude hereby invites interested members of the public to bid for the purchase of 1,200 litres of dirty (used) oil from motor vehicles routine services.
Please click to read the attachment for more information.
Matumizi ya muda mrefu ya mafuta ya nywele aina ya body luxe (body luxe hair oil) husababisha mvi kuota kwa kasi katika umri mdogo.
Hapa nazungumzia haya mafuta ya nywele ya body luxe yenye kopo la pink lenye picha ya mwanamke ana nywele ndefu.
Picha: Muonekano wa chupa za mafuta ya Body Luxe...
FURSA YA MASOMO kwa wenye master's ya petroleum, geology, oil and gas, physics, and mathematics.
The Helmholtz Centre Potsdam – GFZ German Research Centre for Geosciences in Potsdam, Germany has an open PhD position on the “Re-use of abandoned wells for geothermal energy.” This will be a part...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.