MREI Company Limited ni watengenezaji na wauzaji wa nishati safi ya kupikia inayotumia Oil chafu, lakini pia wanahitaji support kutoka kwa wadau na serikali ili kuweze kuiendeleza technologia hii ili iweze kua na matokeo chanya katika uchumi wa Taifa, utunzaji wa mazingira, uondoaji wa carbondioxide na utoaji wa ajira kwa vijana.
Changamoto tuliyonayo ni kufikiwa na viongozi wa serikali kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu wa namna ya kuiboresha hii tekinolojia ili kuunga mkono mkakati wa serikali ya wamu ya sita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia. 0766-521-373
Changamoto tuliyonayo ni kufikiwa na viongozi wa serikali kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu wa namna ya kuiboresha hii tekinolojia ili kuunga mkono mkakati wa serikali ya wamu ya sita katika matumizi ya nishati safi ya kupikia. 0766-521-373