giza

Giza (; sometimes spelled Gizah or Jizah; Arabic: الجيزة‎ al-Jīzah, Egyptian Arabic pronunciation: [el ˈgiːze]) is the second-largest city in Egypt after Cairo and fourth-largest city in Africa after Kinshasa, Lagos and Cairo. It is the capital of Giza Governorate with a total population of 8.8 million as of October 2018. It is located on the west bank of the Nile, 4.9 km (3 mi) southwest of central Cairo, and is a core city of the Greater Cairo metropolis. Giza lies less than 30 km (18.64 mi) north of Memphis (Men-nefer), which was the capital city of the first unified Egyptian state from the days of the first pharaoh, Narmer.
Giza is most famous as the location of the Giza Plateau, the site of some of the most impressive ancient monuments in the world, including a complex of ancient Egyptian royal mortuary and sacred structures, including the Great Sphinx, the Great Pyramid of Giza, and a number of other large pyramids and temples. Giza has always been a focal point in Egypt's history due to its location close to Memphis, the ancient pharaonic capital of the Old Kingdom. Its St. George Cathedral is the episcopal see of the Coptic Catholic Eparchy of Giza.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Je, Dunia ni battle field ya UJASUSI kati ya ufalme wa Nuru vs ufalme wa Giza?

    Salaam shalom!! Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee, Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa. Mifumo yote ya...
  2. Pdidy

    Vituo vya mafuta vina mabango ya "zima simu yako" lakini pembeni kuna linalosema unaweza kulipa kwa Tigopesa, Mpesa n.k

    Haya mambo sijui kama wanasomaga wanachoandika Unaambiwa zima simu yako tafadhali Pemben unaweza lipia mafuta via Tigopesa, Mpesa, Voda pesa. Nikishazima nalipaje a.A natumia nguvu za zagi?
  3. Azer Zepha

    Msaada wa muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro

    Am sorry guyz natafuta muendelezo wa riwaya ya saa za giza totoro coz aliye weka huu uzi hakumaliza so anaeweza kutoa msaada atusaidie wote ambao hatukumaliza huu uzi
  4. Sir John Roberts

    Urusi yashambulia vituo vya umeme Ukraine yote giza Ukraine waomba msaada haraka

    Hali ni tete sana Huko Ukraine baada ya urusi leo asubuhi kufanya mashambulizi makubwa katika mitambo ya kuzalisha umeme Huko Kiev na miji mingine mikubwa nchini Ukraine. Inakadiriwa watu takribani laki 2 katika jiji la Kiev hawatakua na huduma , miundombinu yote inayotumia umeme haifanyi kazi...
  5. B

    Kwanini tarehe ya Pasaka hubadilika?

    Kama uliwahi kujiuliza unavyoweza kuitambua tarehe ya Pasaka basi makala hii ni nafasi kwako kujua tarehe hiyo unavyoweza kuijua bila hata kuhitaji kusoma kalenda Utafiti wa tarehe ya Pasaka umechukua nafasi kubwa katika historia ya Kalenda ya Mwaka tunayoitumia. Hivyo kuifafanua tarehe...
  6. Raia Fulani

    Jioni moja nyumbani tulipokutana na nguvu za giza

    Yani ikabidi tuweke kambi nje maana ndani hakukaliki. Hakuna kilichoharibika maana pilau iliondoa sonona
  7. Mhaya

    Upande wa Giza: Kila binadamu ana siri zake za kuficha

    Tunapozungumzia Dark Side, tunazungumzia upande wa giza. Kila unayemuona kwenye ulimwengu huu ana upande wake wa giza ambao hataki watu wengine waufahamu. Hata wewe unayesoma hapa una upande wako wa giza ambao hutaki watu waufahamu. Ndiyo! Ipo hivyo. Na ndiyo maana huwa ninawaambieni hakuna...
  8. R

    Rais Samia, wasikilize wananchi wanaodai Katiba, tuendako kuna giza nene. Wasikudanganye waliokuzunguka, tulipofika siko tulikotoka

    Tulipofka hata wale "wajinga" sasa wameelewa hitaji la katiba mpya na sheria za uchaguzi. Maelezo ya Lisu na wenzake yameeleweka sana kwa watu hata wale usiowadhania au unaowatumainia kupata kinga kwao au kutoa Amri. Kuna ukweli karibu watu wote wanaukiri kuwa tunahijai katiba mpya! Hatawa...
  9. M

    Je, ni kweli kupendwa au kuchukiwa na watu kunatokana imani za giza au muonekano wa mtu?

    Namshukuru mwenyezimungu mwingi WA kusamehe, pia nawashukuru wazazi wangu Kwa kunizaa pia nawasalimu wote ambao tupo kwenye jukwaa hili. Kwanza kabisa naomba niseme wazi kwamba Mimi ni miongoni mwa watu ninaojihisi nachukiwa sana katika maisha yangu, nimekuwa napitia changamoto za...
  10. yunus75

    Biashara na imani za giza

    Marafiki wa kiume na wa kike kuna changamoto kwenye biashara yangu ha kukaanga chipsi ina mfa mfupi toka nifungue ila watu wakija kununua wananiambia biashara bila mizizi haiendi. Mwengine akaja kuniambia katafute dawa ya mvuto wa biashara kuna mda najihisi kukata tamaa na sitaki kutumia miti...
  11. Nyafwili

    Biashara Kuu za Mtu Mweusi

    Kusema "Africa ni bara lenye giza" ninaweza kueleweka vibaya na kuonekana kama siyo sahihi. Lakini ukweli uliopo naona Africa ni bara lenye giza totoro, lililokosa watu welevu, ingawa natambua uwepo wa utajiri katika bara la Afrika, tamaduni zake pamoja na mandhari mbalimbali. • Ndio, kuna...
  12. Ngongo

    Tumelala giza tumeamka bado hakuna umeme !.

    Jana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata. Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama. Kipindi kuelekea Christmas 🎄 majumbani ukiwa mtupu. Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO...
  13. Mhafidhina07

    Je kuna ukweli kwamba ukiweza kuiongoza subconscious mind unaweza kupingana dhidi ya nguvu za giza?

    salaam leo katika harakati zangu za kujiongezea maarifa nimeshika kitabu kimoja cha jamaa anaitwa Murphy Joseph jina la kitabu power of subconscious mind ndani ya kitabu ameeleza mambo mengi ya kuihusu subconscious mind na kufanya comparison conscious mind. Kuna mifano mingi jinsi ya...
  14. Mhafidhina07

    Serikali, wazazi na mashirika ya kidini kwa ujumla chagueni mwanga au giza

    Salaam, Binafsi ni kawaida kwangu kuja na bandiko za kukemea tabia na mmonyoko wa maadili kwa jamii nyingi za kiafrika na hususani Tanzania. Jamii nyingi za kiafrika zimepoteza asili yake ya kimalezi na heshima (Tamaduni) kutokana kuvamia dude kubwa ambalo lipo imported halikuwahi kuwepo...
  15. B

    Nguvu za giza na mizimu ya ukoo

    Habari wana JF, mimi ni new member ningependa mnikaribishe katika Jukwaa letu. Mimi Ni kijana wa miaka 30’s, kwa mda wa miaka 3 nimekua nikisumbuliwa na Nguvu za giza na Mizimu ya ukoo ambayo imepelekea kuharibu dira ya maisha yangu, nilianza na kuumwa homa za ajabu ajabu, mwili kuchoka...
  16. P

    Giza mara kwa mara Stendi ya Daladala Mawasiliano mpaka kiwe kichaka cha uhalifu ndio mshughulikie?

    Stendi ya Daladala Mawasiliano taa hazifanyi kazi, yaani haziwaki, na ali hii imekuwa ikitokea mara kadhaa majira ya usiku na hivyo kusababisha mazingira hatarisha hasa kwa usalama wa abiria na raia wanaosubiri huduma ya usafiri pamoja na Wafanyabiashara wa maeneo haya. Mamlaka shughulikieni...
  17. R

    TANESCO ndiyo wenye nguvu za giza

    Kwa muktadha wa mabadiliko ya hali ya hewa nakubaliana na wadau wanaosema TANESCO ndiyo taasisi yenye nguvu za giza kuliko taasisi nyingine zote. Nguvu za giza zimeondoka na mawaziri wengi, wakurugenzi na makatibu wakuu. Zinaendelea kuondoka na wengi kupitia miradi chechefu. Tunapopambana na...
  18. Mhafidhina07

    South Afrika inaishi miaka 200 mbele ya nchi nyengine za afrika,ambazo zinaishi katika giza totoro!hatuna la kusema.

    Nimeshuhudia mara nyingi katika bara la Afrika ukiwatoa waarabu na nchi ya kusini mwa afrika zikitoa maonyo,msimamo na ushauri katika kila jambo(matukio) yanaloendelea katika baadhi ya nchi mfano vita ya GAZA na hiyo ndiyo maana ya diplomasia(sio kutafuta wawekezaji tu) lazima tulaani na...
  19. Mwande na Mndewa

    Giza la Tanzania: Eti kisingizio chao wanakarabati mitambo!

    January na Maharage kwa miaka miwili wameshindwa kuendeleza hata mradi mmoja wa megawati 10 pale TANESCO, kila siku ilikua ni kukarabati mitambo, publicity na media coverage,Wameondoka hakuna legacy yoyote walioacha pale, wameshindwa kumaliza bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere kule Rufiji...
Back
Top Bottom