Nawasalimu.
Naomba kwa wazoefu wanifahamishe Bei ya kumfundisha mtoto tuition akifatwa nyumbani kwao.wa darasa la tano na darasa la kwanza.
Msàada jamani.
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU...
Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi?
Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi?
Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
Jamani bila kuchelewa NI hivi,siku HIZI unyago hakuna.
Ikiwepo siku moja,mbili.
Nawashauri,NENDENI kwenye makongamano ya wanawake wa kilokole jamani,Kuna Mambo kuhusu mahusiano mpaka ndoa yaaani NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakwambia mabinti Wana masomo Yao,walioolewa Wana...
Nawasalimu kwa salami pendwaaa,jibu NI kazi
Iko hivi Kuna watu walipendana sàana,huku na huko wakamwita shekhee,akachoma ubani,ndoa ikafungwaaa.
Ndoa ikawajibu jamani wakapata watoto wawili.
Sasa huyo mume NI mshika chaki na mke NI mshika chaki,jamoooon mnanielewaa!
Sasa Kama mnavyojua Tena...
Nawasalimu kwa salaamu pendwa,ya kitaifaaa.
Kazi iendeleee.
Endelea na kazi ya kukitafuta hicho kitu kwa mchepuko, lakini kumbuka Kuna mtu KAKIONA kwa mkeo.
Na tukumbushane tu kuwa, ukisema cha Nini wenzio wanalia wanasema watakipata lini.
TULIA KWA MKEO.
Kwa mwenye TAARIFA zake jamani maana alivuma Sana kipindi kile Cha ajali ya ndege, maana inasemekana yeye alisaidia kuokoa watu ndani ya Ile ndege iliyodondokea kwenye maji na akaambiwa akasomee kozi ya uokoaji.
Jamani, nawapenda wote humu ndani kwa maoni, ushauri, kuelimisha, kufahamisha n.k Ukweli Tangu niingie JF sijawahi juta.
Ni hivi Wananzengo,Kama UNAJIONA na kujikuta wewe huna mapungufu, wewe mtakatifu, yaani kila unachofanya hukosei, baaaasi nakuomba Sana usioe, Wala usiolewe tulia tu.
Siku...
Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika.
Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia.
Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika.
Mumewe hakusema alivyorudi...
TUJIFUNZE KWA Vicky jamani kuhusu ndoa. Unakutana na mtu anakwambia nimefunga ndoa na Fulani ndoa ya serikali. Sasa huba nilemeee, wewe unafunga NAE Tena ndoa ya dini may be kanisani.
Ndugu zangu, wewe unayefunga Nae ndoa ya pili wakati ndoa ya kwanza haijavunjwa MAHAKAMANI huna haki kisheria...
Heshima yenu wakuu.
Naomba uzoefu wenu kuhusu MSATA.
Je Kuna fursa gani ya BIASHARA mtu anaweza kufanya?
Vipi kuhusu Gharama za nyumba za kupanga?
Au Kama Kuna sehemu nyingine NI nzuri kwa BIASHARA pia sio mbaya kama utasema
Msaada wenu tafadhali,ndugu yangu anahitaji kujua.
Jamani kwa wale wazoefu,je mwalimu mwenye degree ya elimu anaweza kupata cheti Cha ustawi wa jamii ili afundishe shule yake ya chekechea??
Maana wakaguzi huwa wanavihitaji wakati wa ukaguzi.
Je afate taratibu zipi ili apate hicho cheti.
Kama YUSUFU alimlea YESU,
Nawashauri wanaume muache kuhangaika na DNA.
Tulieni tu, maana huwa NI mipango ya Mungu.
Na huwezi kujua huyo unayemlea Leo kesho atakuja kukusaidia kwa kiasi gani.
Hata wewe unayekataa kumlea mtoto wa mwanamke uliyemkuta NAE hii inakuhusu.
NIKO PALE NIMEKAA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.