kiwanja kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sonship

    KIWANJA KINAUZWA KILUVYA KWA KOMBA

    Kiwanja kinauzwa Kiluvya kwa komba, Ukubwa ni sqm 400 na kuendelea vipo umbali wa mita km 1 kutoka barabara kuu ya lami morogoro Road Bei milioni 12 ..... 0675 065906
  2. Sonship

    Kiwanja kinauzwa kimara temboni

    KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA KIMARA TEMBONI KIWANJA HIKI KINASIFA ZIFUATAZO # KIPO SEHEMU NZURI # KINAFAA KWA MAKAZI, PIA KUJENGWA NYUMBA ZA KIBIASHARA (APARTMENT'S) #MAJI SAFI DAWASA NA UMEME.. UKUBWA WA ENEO NI SQM 480. BEI NI MILION 14. MAONGEZI YAPO KIWANJA HIKI KIPO KIMARA TEMBONI...
  3. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Mageti

    Kiwanja kina sqm 584, Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo. Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja Kimepimwa kina hati ya wizara 0675 065906
  4. K

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Ubungo Riverside - 1,400 sqm

    Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km Ukubwa ni 1,400 square metre Bei ni 90m Piga 0625617565 Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
  5. Sniper

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Sqm 4000 kina hati, ukuta, maji, umeme

    Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo. Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...
  6. Sonship

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi mwisho Msigani

    VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI ✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA ✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA ✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU ✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI VIWANJA VIWILI 2 TU 0675065906
  7. bizzle for shizzle

    KIWANJA KINAUZWA BAHARI BEACH

    kiwanja Chenye Nyumba kinauzwa Kipo bahari beach jijini dar es salaam Kina ukubwa wa sqm 2220 kina Hati miliki safi kabisa kutoka wizara ya Ardhi Kiwanja kina KIBANDA cha kuanzia maisha pia kimezungushiwa ukuta Pamoja na gei Kipo umbali wa meter 600 kutoka BARABARA ya lami KINAUZWA TSH 400...
  8. bizzle for shizzle

    kiwanja kinauzwa Mbweni malindi estate

    Kiwanja kinauzwa Kipo mbweni malindi , jijini dar es salaam WILAYA ya Kinondoni BARABARA ya bagamoyo road kina UKUBWA wa sqm 1495 ni corner plot na kina Hati miliki safi kutoka wizara ya Ardhi kina uzwa TSH MIL 180 mazungumzo yapo kwa muhitaji KARIBUNI sana Mawasiliano 0712464777 whatsap & call...
  9. bizzle for shizzle

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbweni-Dar

    Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina hati Kipo kingine mbweni mpiji block 13 sqm 1090 kina hat bei 50 milion Kipo kingine mbweni...
  10. Sonship

    Plot4Sale Nauza viwanja maeneo mbalimbali Dar

    Nunua kiwanja kwa bei chee. Mbezi Msakuzi Makabe 18×22 kiwanja kina nyumba kuu kuu ya vyumba 3 bei mln 20 Kiluvya Gogoni 22×25 bei mln 9 Kiluvya kwa Komba 20×20 mln 6 Kiluvya kwa Sumaye 40×40mln 18 Kiluvya kwa Sumaye 20×20 bei mln 6 Viwanja vyote umeme na maji yapo jirani
  11. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo: i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu. ii: Eneo: Sqm 1,416 iii. Kina hati: Ndio iv: Bei: 310m v: Mawasiliano: +255 755 321 562 Update: ====== Bei imepungua mpaka 260m. Chukua kiwanja hiki hakina mgogoro wala udalali.
  12. X_INTELLIGENCE

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kitunda, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa mita 30*40 bei milioni 23 tu...! Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika hadi kilipo kiwanja. Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na barabara ya Lami kama hatua 700 hivi kutoka...
  13. uberimae fidei

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    Kibaha msangani juhudi. Kipo karibia na stend ya bajaji Km 5 KUtoka morogoro road Ukubwa mita 20 kwa 20 Milioni tatu na nusu. Barabara nzuri ya lami. Umeme na maji vimefika.
  14. N

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa bei chee Kibaha kwa Mfipa upande wa chuo

    Habari Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19 Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma zote za kijamii zipo Njoo nikuuzie umiliki kiwanja leo hii mana kadri siku zinavyokwenda ardhi...
  15. W

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneno mbalimbali Dar es Salaam

    Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka. kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba. Ukubwa ni 45 kwa 35 metres. Bei ni million 30 tu. Umbali kutoka barabarani ni km 2 Mawasiliano 0715128827
  16. F

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Moshi - Kilimanjaro, 2700 sqm bei ya kutupwa

    Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya sekondari maji na umeme vipo hapo jirani Mwenye kiwanja anahitaji hela ya haraka Bei million 17
  17. I

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneo mbalimbali

    Kiwanja kinauzwa, kina msingi wa nyumba. Kiromo shule, Bagamoyo. Kinaukubwa wa miguu 20 kwa 15. Gharama 8,000,000/=. Piga 0762 658788
  18. Dr. Zaganza

    Nauza Eneo Langu Morogoro Mjini

    Habari wakuu Nauza eneo langu lenye ukubwa wa kari 3 liloko Mkoa wa Morogoro, eneo la Wami Luhindo (km 20 toka msamvu stend, Dodoma road) , Kisha unaingia bara bara ya vumbi na gari km 8 hadi eneo la kiwanja. Eneo liko jirani na kiwanda cha nyama. Bei ya kuanzia kwa ekari ni laki 8 Kwa maswali...
  19. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili Kila kimoja ukubwa squire meter 400. Bei kwa kimoja milioni tatu. Kwa vyote viwili milioni 5. Km 5 kutoka morogoro road Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000. Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco. Mawasiliano :+255766042214
  20. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili Kila kimoja ukubwa squire meter 400. Bei kwa kimoja milioni tatu. Kwa vyote viwili milioni 5. Km 5 kutoka morogoro road Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000. Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco. Mawasiliano :+255766042214
Back
Top Bottom