Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo...
Kwa kawaida hakuna mahusiano yanayokosa changamoto hata kama mpo ndani ya ndoa, vikombe kabatini tu vinagongana sembuse binadamu wawili waliokutana ukubwani na wote wakiwa na meno 32.
Huwa inatokea kuna wakati mnafurahia sana mapenzi yenu lakini pia kuna wakati shetani anaingilia kati na kuanza...
Nahitaji kwenda kusoma NIT ili nipate cheti cha udereva halali ambacho kitakua na leseni ya C1, C2 na C3
Je ada yao pale ni Tshs ngapi, kozi inachukua muda gani mpaka kumaliza na kupata cheti na je ni vitu gani watahitaji kwa upande wangu ili kuruhusiwa kusoma
Natanguliza shukrani kwa...
Hakika leo ndo siku ambayo wazinzi wengi wanaamini kwamba sikukuu kwao haiwezi ikaisha hivi hivi bila kudaka malaya na kwenda kujipigia
Leo ndo siku ambayo wengi wanaenda kubeba UTI sugu na mimba sizizotarajiwa
Fanya ngono uwezavyo lakini kumbuka kwamba watu wanatumia vidonge vya kufubaza...
Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa bei ya Tshs 110,000
Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo
Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa fundi ila naiuza ili nitatue changamoto zangu
Ukiiona ndo utaamini ninachoeleza hapa
Karibu...
Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa Tshs 140,000
Subwoofer hii nimeitumia kwa muda wa miezi mitatu tu hivyo bado ina upya wake na haina tatizo la aina yoyote na boksi lake pia lipo
Mziki ni mkubwa na hauumizi masikio na inafaa hata kwa sherehe ndogo ndogo za nyumbani.
Napatikana Mbezi...
Habari
Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19
Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo
Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma zote za kijamii zipo
Njoo nikuuzie umiliki kiwanja leo hii mana kadri siku zinavyokwenda ardhi...
Wakuu msaada wenu unahitajika.
Kuna ndugu yangu amesoma masomo ya Arts O Level lakini hesabu yupo vizuri.
Huyu ndugu yangu anataka akimaliza form six asome bachelor ya IT.
Sasa anachohitaji kujua ni je ni combi gani anatakiwa lazima asome form 5 & 6 ili iwe rahisi kwa yeye kuapali bachelor ya...
Habari
Nauza kiwanja changu ambacho unaweza jenga nyumba ya makazi chenye ukubwa wa miguu 20 kwa 19 maeneo ya Kibaha kwa Mfipa. Tshs 5,000,000.
Kutoka Kwa Mfipa stand hadi kwenye Kiwanja kwa pikipiki ni mwendo wa dakika 7-10 na kwa miguu ni mwendo wa dakika 20-25, kipo upande wa kushoto ukiwa...
Naomba kuuliza kwa ambao wanafanya kazi kwenye Bomba la mafuta la TAZAMA
Hivi wanaofanya nafasi za ulinzi TAZAMA wanavaa uniform au wanavaa tu kiraia?
Na je kama una uzoefu wa kazi hii ukipata kazi unapangiwa tu kituo cha kazi au kuna mafunzo wanakupa tena?
Natanguliza shukrani kwa...
Naishi Mbezi ya Magufuli, na nilikua na shida ya kutuma barua kwa njia ya posta.
Hivi ni lazima niende Posta au hata upande huu wa kuelekea Kibaha kuna shirika la Posta?
Naomba msaada wa kujuzwa kwa wanaofahamu.
Habari,
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na hawa jamaa wa mradi wa bomba la mafuta la TAZAMA (TANZANIA ZAMBIA MAFUTA)
Hivi wanalipaje kwa nafasi ya ulinzi?
Mana nimeona wametangaza nafasi na wamesema mshahara mnono.
Naomba kwa mwenye uzoefu au ambae anafanya nao kazi anijuze.
Ahsante
Nauza simu aina ya itel A37 kwa bei ya Tshs 60,000 tu
*Screen (5.7 Inches)
*Battery (3020 mAh)
*RAM (1.00 GB)
*Storage (16.00 GB)
*3G/2G auto
Simu iko kwenye hali nzuri sana, inakaa sana na charge na haijawahi kufunguliwa na fundi wa aina yeyote, nauza bidhaa ambayo ipo kwenye ubora na haina...
Habari
Nauza Tablet nzuri aina ya Samsung kwa beinya kutupa, bei ni Tshs 480,000 ila maongezi kdg yapo
Tablet hii imetumika miezi mitatu tu hivyo bado ni mpya kabisa na aina mchubuko wa aina yeyote, ukiiona ndio utaamini.
Model Name: Galaxy Tab A8
Battery Capacity : 7040 mAh (Typical)
OS...
Kitanda chenye ukubwa wa tano kwa sita kinauzwa, bei ni Tshs 75,000 maongezi kidogo yapo.
Napatikana Mbezi Makabe, kama unahitaji piga simu 0712268434 tufanye biashara.
Karibuni
Nauza External hard drive (Toshiba) yenye ukubwa wa GB 500
Ipo kwenye hali nzuri sana na haina tatizo la aina yoyote
Bei Ni Tshs 65,000 maongezi kdg yapo
Nipo Mbezi Stand ya Magufuli
TAYARI IMESHAUZWA
Kuna yoyote humu amefanikiwa ku apply nafasi za ualimu kupitia huu mfumo wao ?
Kama yupo naomba anipe mbinu ni muda gani system inakua imetulia mana me kila nikijaribu naona mapichapicha tu
Moja kati ya swali ninalolichukia toka kwa mwajiri ni "What is your salary expectation ?"
Huwa najiuliza kwanini mwajiri aniulize hivi wakati tayari ana scale yake kashaiandaa kwa position husika
Ni ngumu sana kumshawishi mwajiri aliepanga kukulipa 1,000,000 basic salary kisha akulipe...
Kwa wale ambao tulifanya usaili wa pili kwamaana ya "Oral Interview" kuna yeyote yumo humu ambae kashaitwa kazini ?
Mana inabidi tuulizane ili kama kuna wenzetu wameshaitwa basi tuliokosa tupunguze matarajio.
Kama kuna yeyote mwenye info za ndani tunaomba atujuze ili nijue ama tujue kama...
Mwitikio wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukimwi Tanzania (MKUTA)
Hawa jamaa niseme tu kwamba hawapo serious au hawajui nini wanatakiwa kufanya
Kama mwezi umepita walitangaza nafasi moja ya kazi wakanialika interview kupitia Zoom Meeting, chakushangaza kuna rafiki yangu mmoja nae aliniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.