Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

Nyamalapa

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
206
448
Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
 
Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Ukimcheki ukubali kupewa masharti ya ajabu ajabu.

Mara ninunulie aifoni n.k
 
Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Wacha hizo mambo za hisia mkuu.

Akili mtu angu
 
Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Usimtafute hivyo hivyo mkuu. Hizi ndio chance watu huzitumia kupata wenzi wao.

Ukimya wako, ni sherehe kwa jamaa mwingine.
 
Ushapigwa Limbwata.

20240407_123245.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Back
Top Bottom