Natamani kumcheki lakini nashindwa kwa kuhofia kuonekana dhaifu kwake

Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu

Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.

Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this

Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.

Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?

Daah nipo dilemma mwenzenu

Mapenzi mapenzi mapenzi

Ni maumivu tu badala ya furaha

Nakufa kijerumani na tai shingoni

Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Ukimchek tu utaumia vumilia hadi umsahau
 
Ego inagharama kubwa kuliko kawaida, kibaya zaidi apo kila M1 anamngoja mwenzake alianzishe kwa ufupi mnasikiliziana. Binafsi nilishawah kuwa single kwasababu hiyo at the end wote tukajikuta kwenye same pain kwa kutaka kukomoana

Nilichojifunza ni kuminya kama week ivi ukiona kimya lianzishe kishingo upande kupima upepo
 
Kaza hivyo hivyo, kama anakupenda kweli atakutafuta, kama hakupendi atakukaushia..

Hapo kinachoendelea kati yenu nina hakika mnategeana nani amuanze mwenzie, ukianzwa raha saana... ila ukimuanza wewe atajenga katabia mbele ya safari atakuwa anakausha mkizinguana, usimtafute kama wewe ni mwanaume ..

Lakini kama ni mwanamke mtafute mwenzio sasa hivi.
 
Back
Top Bottom