- Thread starter
- #21
Daah 😃😃😃Achana naye. Vuta mwajuma ndala ndefu jioni ya leo kwa 40k tu (usiku kucha), upoze machungu.
Daah 😃😃😃Achana naye. Vuta mwajuma ndala ndefu jioni ya leo kwa 40k tu (usiku kucha), upoze machungu.
Ukimchek tu utaumia vumilia hadi umsahauYapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Bora aende na maji kuliko kumnyenyekewa, otherwise niwe nimemkosea mimi tena kosa la maana.Usimtafute hivyo hivyo mkuu. Hizi ndio chance watu huzitumia kupata wenzi wao.
Ukimya wako, ni sherehe kwa jamaa mwingine.
Kumbe 🤔Yaani ukiajichanganya atakuona trash, huna la kwenda.
Hapo sasaImagine unamtext hafu akakukaushia.. utapata usingizi kweli?
Shukrani 🙏Kula ganzi mzeee usimcheki haraka sana tafuta manzi ya backup uendeleee kuslide
Shukrani sana 🙏Ukivusha mwezi mmoja futa namba yake. Pia usiangalie status zake. Pia futa picha zake. Oya usikubali kua mnyonge.
Bora kukaushiwa, anakuwekea status ya kichambo "ukiachwa achika"Imagine unamtext hafu akakukaushia.. utapata usingizi kweli?
🤣🤣 Huyu kijana bado kwenye aya mambo. Unaweza meza sumu. Tumuokoe.Bora kukaushiwa, anakuwekea status ya kichambo