Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,113
- 80,035
Mcheki tu Mkuu hakuna cha udhaifu wala ubabe
USIFUATE HUU USHAURI.Kam ulimkosea mcheki kam kakukosea subir atambue kosa.nukta
JIFANYE HUJAONA HII REPLY. WALLAH UTAJUTA.Mcheki tu Mkuu hakuna cha udhaifu wala ubabe
Hahahahaha..hao vijana wanatuchanganya vitu vingine unamaliza tu bila hata ushauriJIFANYE HUJAONA HII REPLY. WALLAH UTAJUTA.
Shida ni kwamba kuna siku alinicheki kabla ta kutimia wiki na mimi nikawa namfanyia makusudi kuchelewa kujibu text zake na najibu baada ya masaa matatu na alikua akipigia sipokei.Nipo dilemma.Kama wewe ni mwanaume na mwenzawako(mwanamke) amekuchunia mpaka leo jua kuna mahali huyo manzi unapewa ahuweni. Vinginevye asingepitisha hata siku 2.Pole sana
Hiyo cha mtoto mimi alikuwa anapost picha za kaka zake(siwajui) anaandika I love you, anajua nitaumia. Nilipoona hizo mambo nikapiga block. Mbona alinitafuta mwenyewe akasema yote🤣🤣 Huyu kijana bado kwenye aya mambo. Unaweza meza sumu. Tumuokoe.
Na akijua una view status anaanz weka picha leo yupo out expensive, kesho kanunuliwa iPhone 15 mara kaenda Zanzibar...
ShukraniMcheki tu Mkuu hakuna cha udhaifu wala ubabe
are u really MAD?USIFUATE HUU USHAURI.
Roho Mtakatifu anakwambia shuka mwanangu,Yapata wiki sasa tangu tupishane kiswahili na mwandani wangu
Kuna muda wazo la kumcheki linanijia lakini najikaza kisabuni kwa kuogopa ataniona niko so weak kwake.
Ooh my God why this happen to me. Lord give me strength to overcome this
Kilichobaki akili na moyo vinapingana, moyo unanishawishi nimcheki hata kwa kumtext lakini akili inakataa kabisa na kunambia uthithubutu.
Sasa wote tukiendekeza ego nani ataanza kumcheki mwenzake?
Daah nipo dilemma mwenzenu
Mapenzi mapenzi mapenzi
Ni maumivu tu badala ya furaha
Nakufa kijerumani na tai shingoni
Anyway kumpenda nampenda nikizidiwa nitamcheki
Alafu na yeye akikaza, unapata stress?Bora aende na maji kuliko kumnyenyekewa, otherwise niwe nimemkosea mimi tena kosa la maana.
kaza usionekane huna pa kwenda
Hiyo cha mtoto mimi alikuwa anapost picha za kaka zake(siwajui) anaandika I love you, anajua nitaumia. Nilipoona hizo mambo nikapiga block. Mbona alinitafuta mwenyewe akasema yote
Shukrani kwa ushauri 🙏Mpk hapo inaonesha wewe ndo mdaifu, ila inategemea nani kamkwaza mwenzie. Kama alikuvimbia jua hana feelings na wewe, kama wewe ndo ulimvimbia mcheki na weka mambo sawa. Najua mapenzi yanaumiza ila kama unaona hana hisia kwako tema mapema, jiforce tu hivyohivyo na kuhakikishia baada ya miezi 3 mpk 6 utakua free na hauta muwazia mabaya. Usiruhusu hisia zitawale najua ni ngumu ila jitahidi
Tumlinde bwana mdogo asipotoshwe kizembe ganzi ganzi....kama mapema hv binti ashaaanza kuonesha dalili mbaya haina madhara hata akimpotezaUSIFUATE HUU USHAURI.
Mwezi mmoja mwingi saana, wangu huwa nampa wiki, akijinunisha wiki ikapita bila kunitafuta namla block kila mahali..... utashangaa kesho yake ananicheki kwenye email, "ni unblock tuongee"Ukivusha mwezi mmoja futa namba yake. Pia usiangalie status zake. Pia futa picha zake. Oya usikubali kua mnyonge.