Rais wa Urusi Vladimir Putin, amelitaka Taifa la Kenya kumaliza kwanza njaa nchi Kenya badala ya kuifunza Urusi namna ya kumaliza migogoro ya Kimataifa.
Putin amemfananisha Balozi wa Kenya Umoja wa Mataifa kama kijana mdogo anayejaribu kuutikisa mbuyu na kuishia
Mwishoni mwa mwaka 2021 kuliibuka taarifa kuwa Serikali ya Uganda imeshindwa kulipa deni kiasi cha dola milioni 207 na kusababisha kutaifishwa uwanja wake wa nddege wa Entebbe. Taarifa hizo zilizochapishwa na vyombo mbalilmbali duniani vilieleza kuwa Uwanja wa Entebe sio mali ya Uganda tena, kwamba Wachina wameutwaa uwanja huo. Taarifa hizo pia zilisambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwamo Twitter.
Wakati Rais Samia akimpolea Rais wa uganda Yoweri Mseveni uwanja wa ndege jijini Dar kuna taharuki ya kuwepo mgonjwa wa kwanza wa kirusi kipya kilichogunduliwa Afrika ya Kusini siku tatu zilizopita.
Mgonjwa huyo Mzungu Rais wa Botwana aliyedaiwa kuingia nchini kutokea mjini Johannesburg Afrika ya Kusini leo asubuhi kwa ndege ya shirika la ndege la KQ la Kenya.
Rais Mseveni na mweyeji wake wamekutana eneo ambalo kwa sasa huenda ndio kitovu cha kirusi kipya cha Corona.
Tanzania haijachukua hatua zozote za kujilinda na kirusi hicho kipya huku nchi za nyingi zikizuia ndege kutoka mataifa kadhaa ya kusini mwa afrika kuzuia kuenea kwa kirusi hicho kinachoadaiwa kuwa kinasambaa kwa kasi zaidi.
Mgonjwa huyo alipimwa baada ya kuonekana kuwa...
Baadhi ya Halmashauri zimedaiwa 'kuwapiga' cha juu wasimamizi wa mitihani ya kidato cha nne inayoendelea hivi sasa.
Kwa utafiti wangu usio rasmi wa kuwapigia watumishi wa Halmashauri tofauti tofauti, nimegundua kwamba kuna Halmashauri zingine zimewalipa wasimamizi siku 19, zingine zikalipa siku 14 na zingine zikalipa kwa siku msimamizi atakazoingia darasani kusimamia. Kwa mfano, kama shule ina mchepuo wa sanaa pekee na ratiba ni siku tano au saba basi wamelipwa kwa siku hizo.
Kwanini siku za malipo zitofautiane? Malipo hayo yamegharamiwa na NECTA au kila halmashauri inalipa kulingana na uwezo wake?
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na iliyozua Maswali mengi na Taharuki ya Kiusalama Kawe ni kwamba Kijana Mmoja Dereva Bodaboda amejikuta matatani baada ya kutumwa kupeleka Barua yenye Ujumbe wa Tishio katika Kambi ya Jeshi ya Lugalo.
Ilikuwa ni Siku ya Jumapili iliyopita ambapo Kijana huyo ( Dereva Bodaboda ) wa Kawe anayepaki katika Baa Maarufu ya HIPRO Kawe alipojikuta matatani na kuwa mikononi mwa JWTZ mpaka muda huu kwa Mahojiano zaidi.
Ikiwa ni muda wa Saa 4 za Usiku Siku ya Jumapili akiwa amepaki Kituoni Kwao hapo HIPRO Bar Kawe alitokea Mtu Mmoja ambaye alimwomba Dereva 'Bodaboda' huyo ampelekee Barua Muhimu Getini Lugalo kilipo Chuo cha Tiba cha MCMS na amkabidhi Afande Luteni ( ninayemhifadhi ) kisha Kumkabidhi Hela ya...
Kulikuwa na uvumi kuwa klabu ya Simba kuachana na kocha wa klabu hiyo, Pablo Franco Martín kutokana na mfululizo wa matokeo mabovu ya timu na kufungwa na Yanga katika nusu fainali la kombe la FA. Kumekuwa na taarifa kuwa Mohammed Adil Erradi, amefika Dar kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Simba huku akiwa ameomba ruhusa ya mapumziko katika klabu yake.
Inaaminika kuwa bangi inaweza kutibu aina mbalimbali za saratani mwilini, na baadhi ya watu huitumia wakiwa na imani hiyo.
Tunataka kufahamu ukweli wa jambo hili, pamoja na uthibitisho wake kisayansi.
Ulivyo Soma ni sahihi kabisa wala hujakosea. Ndo habari ya mjini, zile nyumba zote zilizopo kwenye mountain inabidi zitoke jamaa wa Brazil aje ajenge na Familia yake.
Juni 24, 2022 watu 23 wa Afrika Kaskazini waliripotiwa kufariki kwa ghasia zilizokuwa zinaendelea katika Mji wa Spain, Melilla ambao upo kwenye pembe ya Afrika Kaskazini na imepakana na Morocco.
Watu hao walifariki katika ghasia ya kuingi nchini humo bila kufuata taratibu za uhamiaji kwa kuvuka uzio unaoigawanya Morocco na Spain
Kumekuwa na uvumi wa muda mrefu kuwa Bri Gen Sultan Makenga kauawa vitani huko DRC.
Hatimaye Leo zimevujishwa picha za maiti ya Makenga kwenye mitandao ya kijamii.
Itoshe nisema hili ni pigo kubwa sana kwa M23 na kwa Rais Kagame bila kumsahau Lut Gen Kabarebe wa Rwanda.
Brig Gen Sultan Emmanuel Makenga. Ni mtutsi mzaliwa na DRC Jimbo la Kivu ya Kusini. Mji mdogo wa Minembwe.
Makenga ndiye punda wa M23 na CND enzi za Gen Kunda. Punda kwa maana ndiye aliyefanya kazi ngumu zote za uundaji wa CND baadae M23.
Ijapokua ni Mtutsi, Makenga hakupendwa na Kagame. Mtu pekee alikuwa akimpenda Makenga jikoni Rwanda ni Gen James Kabarebe. Na sababu ikiwa Makenga alikuwa msaada mkubwa kwa Kabarebe alipokuwa akiongoza ile Operation Kitona wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.