Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,968
- 11,086
Hapo mwanamke atahitajika kuthibitisha kama mmeishi kwa huo muda kwaiyo notakua na nafasi ya kupiga bao la mkono mahakamani ila kile cheti cha ndoa mwanamke akikiweka tu mezani mwanaume hutoki.Baada ya muda ya kuishi nae hio ni ndoa...unalo!