zumaridi

  1. F

    Pateni kuitambua saa aina ya Bulgari Serpenti Seduttori: ina vipande 197 vya almasi, 2 vya rubi adimu na karati 16 za sapphire (zumaridi)

    Serpenti Sedutori (Nyoka atongozaye) ndio saa inayovuma saa hizi mtandaoni popote Tanzania na East Africa, gharama yake ikiwa ni dollar za kimarekani 44,200, takribani shilingi za kitanzania 110,500,000/= (millioni mia moja na kumi na laki tano)! Soma zaidi hapa chini ili kujua imetengenezwa...
  2. mama D

    Zumaridi asichukuliwe kimasihara, imani ni kitu kikubwa sana inahuisha na imani inaua Watanzania tuamke

    Zumaridi anawafundisha watoto kwamba yeye ni mungu, yeye ndie msaada na ndie anayewakinga na mauti, anasema yeye ni mtawala wa dunia mzima na anayetawala vitu vyote vya duniani na mbinguni tena wake kuna uzima wa milele. Halafu anawaambia watoto leo atawapikia tena wali😎😎😎 Inatisha...
  3. Kulupango

    SoC03 Zumaridi ni kipimo kwa watu wenye akili na serikali kujirudi na kujitafakari upya

    Zumaridi ni msumari wa moto na chachu ya mabadiliko na wala hamuwezi kumpeleka popote. Mnamnanga kwa yeye kujiita ni mungu, hivi kweli ninyi mnaakili sawa? Je mnataka kumpeleka mahakamani, mahakama ipi inayo hukumu kwa kutumia sheria za MUNGU. ? Mnajifanya mna uchungu sana na MUNGU ilihali...
  4. Hemedy Jr Junior

    Popote alipo zumaridi nahitaji Nimsaidie

    Mtanzania wa kwanza kudai alipelekwa mbinguni kutembea uko Motoni na peponi. Afu huyu zumaridi yuko na Mamia ya watu wanakubali alichokisema. Pia anadai yuko na Kanumba pale nyumbani, Jela sio nzuri aisee.... 📌 O
  5. T

    Zumaridi aandike Biblia yake mwenyewe kama walivyofanya manabii wa zamani

    Nabii mfalme Zumaridi anatakiwa kukumbushwa kuandika biblia ama ufunuo wake kama wlaivyofanya manabii wa zamani. Dini hizi tunazoziona sasa zilianza kama ilivyo kwa Zumaridi lakini miaka kadhaa mbele sasa ni jamii kubwa ya waumini wakiamini kilichoandikwa na manabii kama Zumaridi wa huko nyuma...
  6. Lycaon pictus

    Ukifikiria vizuri utaona kuwa dini zote zilianzishwa na watu kama Zumaridi

    Ni kwamba tu dini hizi zilianzishwa zamani sana ndiyo maana tunaona sawa. Mimi ni mkristo, lakini leo atokee Seremala aanze kusema ni mwana wa Mungu na katoka mbinguni lazima kila mtu ashtuke na kumuona hayupo sawa kichwani. Akitokea mtu akisema anashushiwa aya na malaika kutoka kwa Mungu...
  7. Jemima Mrembo

    Zumaridi ni mungu asiye na mbingu yake hadi anaenda kwenye mbingu ya Mungu mwingine

    Zumaridi ameudhihirishia umma wa Watanzania kuwa yeye ni mhitaji wa tiba ya afya ya akili. Zumaridi amekuwa akijibasibu kwamba yeye ni mungu na amekuwa akipata wafuasi ambao wanamuamini na kumheshimu. Pia wapo ambao wamediriki kuachia shughuli zao zote za kimaendeleo ili tu wamtumikie Zumaridi...
  8. master of cities

    Aliyewahi kufika Mbinguni aje amkosoe Mfalme Zumaridi

    Ieleweke kwanza Tanzania haina dini ila watu wake wana dini zao, na kila mmoja ana uhuru wa kuabudu cha msingi asivunje sheria za nchi. Duniani hapa kuna dini zaidi ya 4000, ikiwemo dini ya Kikristo. Katika dini ya Kikristo pekee kuna madhehebu zaidi ya 500 hawa hudai kumwabudu Mungu wa...
  9. Teko Modise

    Nyota ya Mandonga imeanza kufifia, sasa ni zamu ya Zumaridi na DJ Ally B

    Bondia wetu Mandonga taratibu anaanza kutoka nje ya reli. Ule umaarufu wake umeanza kupotea kiaina. Yeye sio wa mwanzo wala sio wa mwisho katika watu walioibuka na ku-vibe kisha kupotea. Huko nyuma alishawahi kuwepo babu wa loliondo, nabii tito, pierre likwidi, Dr. Shika na wengineo wengi...
  10. matunduizi

    Zumaridi yuko sahihi kujiita mfalme wakati ni mwanamke

    Bila kujali kama anajua au hajui, katika ufalme wa Mungu hakuna Malkia au princess. Kuna mfalme wa wafalme = Yesu na wafalme= Sisi wafuasi wake bila kujali jinsia. Ufunuo wa Yohana 5:10 ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.
  11. master of cities

    Kinamchomsumbua Hananja ni wivu wa kuzidiwa 'trending' na Mfalme Zumaridi

    Ieleweke kwamba wachungaji hawa maarufu na manabii maarufu, Mwamposa, Kakobe, Mzee wa Upako, Hananja, Malisa, Gwajima, Kimaro na hata yule nabii wa Arusha na wengine wengi hunena yaliyo ya Mungu ila nyuma ya pazia wanaye mfalme wao wanayemtumikia kwa uaminifu mkubwa , huku wakijifunika kwa...
  12. NALIA NGWENA

    Millard Ayo kwa kumpa airtime ya kutosha Zumaridi kuongea stori za kusadikika ni kumkosea Mungu na sisi Watanzania

    Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii. Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi. Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea...
  13. benzemah

    Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

    Nimetizama mahojiano ya huyu anayejiita mfalme Zumaridi na Mtangazaji wa Clouds, Millard Ayo na nimebaki na maswali mengi sana lakini kubwa ni kwamba ANATUCHUKULIAJE WATANZANIA? Zumaridi anasema akiwa darasa la 3 alitokewa na Mungu akiwa na umbo la jua lakini usiku, kwa hiyo yeye aliweza...
  14. MamaSamia2025

    Ndoto yangu ya kuja kumuoa Mfalme Zumaridi imefikia tamati jana. Ni huzuni

    Hapa duniani nimeshawahi kuwa na ndoto nyingi. Kuna ambazo zimeshatimia, zilizofeli na zingine michakato inaendelea. Sasa jana ndoto yangu ya hivi karibuni imefikia mwisho bila mafanikio. Ni kuhusu kumpenda na kutaka kumuoa Mfalme Zumaridi. Kiukweli kwa miaka kadhaa nimekuwa nikiteketea ndani...
  15. T

    Wadau ninampenda sana Zumaridi

    Wadau ninavutiwa sana na Zumaridi natamani awe mke wangu sijui ni wapi naweza kumpata huyu Zumaridi, I 💕 you Zumaridi
  16. Replica

    Mfalme Zumaridi aachiliwa huru, amwaga uno mbele ya waumini

    Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ameachiwa huru leo Februari 18 baada ya kumaliza kifungo chake cha mwaka mmoja katika gereza kuu la Butimba, ambapo mahakama iliamuru atumikie mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi 11. Credit: East Africa Radio
  17. BARD AI

    Wanaodaiwa kusafirisha Heroine waiangukia Mahakama

    Wakili wa Utetezi katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa kilo 19, inayowabili raia watatu kutoka nchini za Lativia na Nigeria, Elipatra Ali, ameiomba Mahakama ielekeze upande wa mashtaka wakamilishe kusajili nyaraka muhimu Mahakama Kuu. Wakili Ali ameieleza...
  18. Suley2019

    Zumaridi hana kesi ya kujibu

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imesema Washtakiwa 81 kati ya 84 akiwemo Diana Bundala maarufu Zumaridi katika kesi namba 12 ya kufanya kusanyiko lisilohalali na shambulio la kudhuru mwili hawana kesi ya kujibu. Hakimu Mkazi Mwandamizi Clescensia Mushi akisoma uamuzi huo amesema...
  19. JanguKamaJangu

    Zumaridi aiambia Mahakama kuwa Polisi walichukua Tsh. Milioni 19 nyumbani kwake

    Shahidi namba tatu katika kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya Shambulio la kudhuru mwili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi ametoa ushahidi wake leo Novemba Mosi, 2022 huku akidai kuwa Askari waliofanya ukaguzi katika nyumba yake wakati akikamatwa walichukua shilingi Milioni 19 na laki...
  20. JanguKamaJangu

    Shahidi kesi ya Zumaridi asahaulika gerezani asababisha kesi yashindwa kusikilizwa Mahakamani

    Kesi namba 10 inyomkabili Diana Bundala Maarufu kama mfalme Zumaridi na wafuasi wake 8 imeshindwa kuendelea Oktoba 31, 2022 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza kutokana na Shahidi namba sita ambae pia ni mshtakiwa katika kesi hiyo, Suzana Simon kutoletwa Mahakamani hapo. Zumaridi na...
Back
Top Bottom