kiboko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Chadema Kiboko! Kwanini nasema hivyo?

    News outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya Chadema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc. Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme...
  2. DeepPond

    Nauliza Kwanini Simba huwinda twiga, tembo na kiboko lakini sio faru?

    Wakuu, Tufahamu kwamba Simba ndie mfalme wa nyika, ana uwezo wa kuwinda chochote kile na akafanikiwa hata Kama kinamzidi umbo na Nguvu. Nnachojiuliza, Kwanini huwa hawawindi FARU na kuwatumia Kama chakula? Na ukiangalia faru Ni mdogo kwa umbo ukilinganisha na kina Tembo, twiga na kiboko.
  3. KENZY

    Mwanamke niliempata mara hii ni kiboko!

    Weekend tulienda kupata mbili tatu tukawa nzwii,sasa akishalewa yeye si kama wale wengine ati zinashukia chini!. Yeye akilewa ni amapiano Tu!. Atafungua muziki na anataka mcheze mapiano! sasa mimi nakucheza amapiano wapi na wapi!, mshangazi wa watu anacheza mpaka na ile style ya kuchezesha...
  4. B

    Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

    Wiki mbili za Tundu Lissu kufanya maandamano Takribani Mikoa 6 mfululizo zimeacha Madhara makubwa. Madhara hayo ni kufungua Wananchi kuhusu masuala mbali mbali ikiwemo Uchaguzi, Katiba Mpyaz Uhuruz na Utawala bora, siasa na maendeleo. chawa wengi walijaribu Kujitutumua kumjibu ikashindikana...
  5. A

    Mitsubishi Pajero 3.2 LTRs kiboko ya mabishoo

    Hii chuma ni moto wa kuotea mbali. 1. Powerful, 2. High ground clearance, 3. 7-seater, 4. Reliable.
  6. Expensive life

    Kumuona nabii kiboko ya wachawi ni laki tano

    Kama haujawahi kukutana na matatizo basi unaweza kushangaa hili, watu wanamatatizo ndugu zangu. Nina ndugu yangu ni mtoto mdogo tu kama unavyojua tena maisha ya vijijini mabinti huolewa mapema, umri wa miaka 25 tu anatesea na masuala ya uzazi. Mume anataka mtoto, mimba akishika tumbo halikui...
  7. Staphylococcus Aureus

    Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

    Tangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda. Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa. Sasa changamoto anataka kila...
  8. GENTAMYCINE

    Huyu Pasta Dominiki 'Nabii Kiboko ya Wachawi' ni nani? Nguvu yake ni ya Kweli? Siyo Msanii kama wa Kawe na Kimara Temboni?

    Kwa Nyomi Kubwa alilonalo sasa na Nyota yake inavyoanza Kungaa huku Akipendwa na Kukubalika zaidi kwakuwa huwa Habahatishi kwa Kukutajia Mbaya wako (hata kama ni Mzazi au Nduguyo) huku Akiwaumbua na Kukutajia Wachawi wako na akikuombea na kufanikiwa hawa wa Kawe na Kimara Temboni wasipomkalia...
  9. BICHWA KOMWE -

    Kiboko ya wabambiaji kwenye daladala

    Unakuta jitu limekuganda kwenye daladala kama ruba. Ukigeuza wowowo limo tu, ukisogea mbele linakuvamia huko huko. Unabambiwa mpaka wowowo linaumuka. Ukigeuka kumwangalia anageuza shingo anajifanya anahesabu sisimizi. Ukigeuka mbele anaendelea kukubambia mpaka unahisi jitu limetuna. Sasa dawa...
  10. U

    Haijawaji kutokea mgao wa umeme mwaka mzima, awamu hii ni kiboko

    Hii nchi Sasa inapoelekea ni pabaya, Toka Awamu ya Mkapa, haijawaji kutokea Mgao mkali wa Umeme kama huu Awamu hii inayoitwa ya sita, Mgao ambao umedumu zaidi ya Mwaka Mmoja. Hii Serikali Sasa ikibidi tu iwashe mitambo ya kifisadi ya IPTL Kwa maana mtu unawezaje kuvumilia Mgao wa zaidi ya Mwaka...
  11. VanDon

    Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu?

    Msaada kwenye tuta. Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na kuruka.
  12. V

    Hawa Ndio wanamuziki kiboko kabisa

    Naanza na East Africa,Kuna wanamuziki ambao tangu niwajue hawajawahi toa ngoma mbovu msijichoshe sana wapo wawili: Tanzania Albert Mangwea[A.k.a Mimi] (R.I.P) Huyu Jamaa hajawahi bahatisha,mbali na Akili nyingi nguvu kidogo,alikuwa na Akili ya kucheza na melody kama Kiroboto ila alikuwa ana...
  13. Wadiz

    Kila mwanaume aliyefika Mkoa wa Tabora na viunga vyake anakiri kuwa Tabora ni kiboko ya Upwiru

    Nimefika Tabora mara kadhaa sambamba na hilo katika usomaji na ufuatiliaji wa threads za hapa jukwaani, nimebaini pasipo na shaka wala mawaa yoyote yale kuwa mkoa wa Tabora unaongoza kwenye tiba ya upwiru na upatikanaji wa wana upwiru hasa wenye virutubisho mpakato. Toka kitambo si kwa...
  14. Tlaatlaah

    Uteuzi wa Paul Makonda kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa ni moto!

    Ni moto, si, tu kwa Upinzani bali pia kwa waliolala na kujibweteka kwa kufanya kazi kwa mazoea ndani ya chama na ndani ya serikali iliyopo mamlakani. Huyu kijana si tu mwanasiasa bali pia mwanaharakati mahiri nchini. Ana hulka za jino kwa jino, sina hakika kama kabadilika. kwa maoni yangu...
  15. Joannah

    Nabii kiboko ya wachawi, naona anafanya maigizo

    Samahani nabii Kiboko ya uchawi, mbona nakusikiliza hapa hii kama futuhi? Aiseee huu ni mchezo wa kuigiza kabisaaa. Eti bibi katoka kijijini amefikia Kwa mwanae, Kuna watoto watatu wamefariki, wawili walishazikwa na Sasa Kuna msiba wa mtoto mwingine,baada ya kumpigia simu nabii ndio anasema...
  16. Wadiz

    Wadau ukiacha HIV, tujuzane dawa kiboko za kutibu magonjwa ya zinaa

    Wasalaam nyote, Ushiriki wa watu wa afya unahitajika sana hapa. Kutokana wimbi kubwa la pisi kali kuzagaa mitaani, majumbani na sehemu za kula bata, na wimbi la sisi wanaume kutaka kufaidi na kuendelea kufaidi ulaji wa shoo kavukavu kwa kusingizia kuzidiwa. Basi ni vema walau tuambiane...
  17. Naanto Mushi

    Mwaka wa Tisa huu, hivi limeshatokea tamasha maridadi la mziki kama lile la 'Tigo Kiboko Yao la mwaka 2014 pale viwanja vya Leaders'

    Ndo lilikuwa tamasha pekee na la mwisho la mziki nililohudhuria mpaka na leo hii. Liliandaliwa na Tigo kama sijakosea mwaka 2014 pale viwanja vya leaders kinondoni. Hili tamasha lilikuwa na malegendary wote wa mzingi wa bongo na walikuwa kwenye ubora wao. Na ninalikumbuka kama tamasha bora...
  18. A

    Nauza Tank la Maji used

    Jamani nauza tank used ltr 2000 la aina ya kiboko, bei ni Tsh. 350,000/- Ukiitaji nicheki 0693972647, nipo Dar es Salaam.
  19. FaizaFoxy

    Taliban, kiboko ya USA wafanya gwaride la kuonesha vifaa walivyomteka USA baada ya kumtandika mpaka akatoka mbio

    Taliban huko Kandahar Afghanistan wamefanya gwaride la aina ya kipekee duniani, haijawahi kutokea. Gwaride la kijeshi ambalo. Limehusisha vifaa walivyoviteka tu. Taliban walivamiwa na majeshi ya Marekani (USA) yakishirikisha majeshi ya nchi 30 za NATO. Taliban hawakukubali, wakaingia vitani...
  20. KASHAMBURITA

    Tuipongeze yanga lakini kisiwe kiboko kwa simba

    Mafanikio hayana chama Kama wahenga wanavyosema.kitendo cha yanga kufikia fainali ya kombe ya shirikisho n Jambo kubwa kwa maendeleo ya soka la Tanzania lakini Kuna msemo unasema "Roma haikujengwa kwa siku moja" hii Ina maana ndani ya mafanikio ya yanga Kuna mafunzo waliyoyapata kutoka kwa wa...
Back
Top Bottom