atc

Air traffic control (ATC) is a service provided by ground-based air traffic controllers who direct aircraft on the ground and through controlled airspace, and can provide advisory services to aircraft in non-controlled airspace. The primary purpose of ATC worldwide is to prevent collisions, organize and expedite the flow of air traffic, and provide information and other support for pilots. In some countries, ATC plays a security or defensive role, or is operated by the military.
Air traffic controllers monitor the location of aircraft in their assigned airspace by radar and communicate with the pilots by radio. To prevent collisions, ATC enforces traffic separation rules, which ensure each aircraft maintains a minimum amount of empty space around it at all times. In many countries, ATC provides services to all private, military, and commercial aircraft operating within its airspace. Depending on the type of flight and the class of airspace, ATC may issue instructions that pilots are required to obey, or advisories (known as flight information in some countries) that pilots may, at their discretion, disregard. The pilot in command is the final authority for the safe operation of the aircraft and may, in an emergency, deviate from ATC instructions to the extent required to maintain safe operation of their aircraft.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Prospectus ya arusha technical college (atc)

    Nimewahi kuomba namna ya kuipata prospectus ya chuo cha ATC lakini sijapata msaada na bado naihitaji. Pamoja na kuendelea na ombi langu ila najiuliza kwa nini chuo cha ATC hawaweki prospectus yao kwenye website yao wakati vyuo vingine vinavyotoa elimu ya juu vinafanya hivyo?
  2. FaizaFoxy

    ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

    Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza. ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena. Reli ya kati na TAZARA...
  3. Mparee2

    Ushauri wa bure kwa ATC

    Baada ya shirika letu pendwa kuendelea kushusha vyombo (madege mapya na ya kisasa) ni wakati sahihi wa Kuajiri Marketing Manager Mzungu na pengine Ops Manager. Wenzetu wapo smart sana, anapewa malengo asipofikia anaondoka, tunaleta mwingine hadi kieleweke.... (Ila asiingiliwe mipango yake na...
  4. NostradamusEstrademe

    ATC Rekebisheni hili kabla hapajawa jioni

    Kampuni yetu pendwa yenye ndege tulizonunua wenyewe kwa kodi zetu kuna mambo inatakiwa warekebishe kidogo ili waende sambamba na ushindani wa kibiashara. 1.Kuambiwa ndege imeahirisha safari au itachelewa kuondoka kwao ni jambo la kawaida 2.Ndege hata kama imeahirishwa hawana utaratibu wa...
  5. H

    Ndege moja ATCL kwa safari za Arusha-Dar ni sababu zilizopo hazitoshi?

    Hivi ni kweli kuwa Airtanzania hawana ndege? Kiasi kwamba wanaweka kandege kamoja tu Arusha to Dar hata siku busy kama Ijumaa?
  6. JanguKamaJangu

    ATC yahitimisha mafunzo kwa Wakaguzi wa Magari, waonyesha umahiri katika Teknolojia ya ukaguzi magari

    Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) kimehitimisha mafunzo ya ukaguzi wa magari kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini ambacho kilihusisha wakuu wa kikosi cha usalama barabarani na wakaguzi wa magari (vehicle inspectors) kote nchini ambacho kilianza februari 19 hadi 20 mwaka huu katika chuo...
  7. M

    Rwandair anatua DOH, DXB,JHB, CPT, LOS, ACC, EBB Vs ATC?

    Rwandair wanatua destinations za mashiko kibiashara 1. London Heathrow, 2. Brussels, 3. Paris, 4. Dubai, 5. Doha, 6. Mumbai, 7. Lagos, 8. Douala, 9. Libreville, 10. Accra, 11. Dar, 12. Entebbe, 13. Nairobi, 14. Kilimanjaro, 15. Johannesburg, 16. Cape Town, 17. Lusaka, 18. Harare...
  8. Mparee2

    Haiwezekani Air Tanzania iwe na ndege inayotoza Tsh. 100,000/- kwa safari za ndani?

    Hivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege. Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku). Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; namaanisha...
  9. Jidu La Mabambasi

    ATCL, Airline in Total Confusion!

    Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni? Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita. Schedules za ndege ni kizungumkuti. Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga. Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la...
  10. K

    Ndege ya Saudia kuja Tanzania ni habari nzuri kwa taifa, Sio mbaya kwa ATC

    Watanzania ni lazima waeleweshwe vizuri. Biashara ya Ndege haina faida. Biashara ya Ndege ya ATC faida yake ni kusaidia biashara nyingine muhimu kama utalii na mizigo kama ya kilimo, Maua na mifugo. Sasa kuna wasomi wengi nashangaa wana lalama eti ndege ya saudi ambayo itakuja kuchukuwa mizigo...
  11. Next Elon Musk

    Ni Chuo kipi kati ya UDOM, COICT, IFM, ATC, RUCU, Mzumbe na AIA kiko vizuri kwenye Computer Science field, practical na theory?

    Nimemaliza diploma kutoka college ja ndoto zangu ziko in computer science najua programming languages kadhaa inshort najua field hii inataka nini. Ila changamoto ni chuo kipi kitanifaa kwa level yangu na kunipa chance ya kula explore deeper in the field.
  12. Pascal Mayalla

    Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?

    Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...
  13. Sophist

    Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?

    Hi there! Do you remember our history. Here is a story written 27 years ago: Tanzania Jet Hijacked; 2 Are Reported Killed Published: February 27, 1982 Hijackers demanding the resignation of President Julius K. Nyerere of Tanzania seized a Tanzanian jetliner with more than 90 passengers...
  14. Mparee2

    Mashirika Mengi ya ndege Afrika yanapata hasara - ushauri wako ni upi?

    Binafsi najua kwamba kuna chnagamoto ya Korona ila hata kabla ya hapo bado changamoto zilikuwepo. Tuyashauri mashirika ya ndege likiwemo la kwetu hapa nyumbani Ushauri wangu; 1. Natamani mashirika ya ndege kwanza yajenge imani Nyumbani. Namaanishe Yafanye kazi kwenye route zenye uhakika na...
  15. Ushimen

    New Government Vacancies UTUMISHI At Arusha Technical College (ATC), April 2021

    3.0.1 JOB TITLE: INSTRUCTOR II – 2 POSTS 3.0.3 JOB TITLE: MECHANICAL ENGINEERING DEPARTMENT – 1 POST 3.0.2 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach up to NTA level 6 and may assist teaching in higher NTA levels; ii. To assist in conducting tutorial and practical exercises for students under...
  16. F

    Hivi ni kweli SWISSPORT wamechukuwa uendeshaji wa shirika la ATC?

    Nimesoma gazeti moja la kimataifa linalo ongea kuhusu mashirika ya ndege na kuja kushitukizia kuwa swissport ndio inayo endesha shirika kutokana na changamoto zilizo kabili shirika. Naomba mwenye habari hizi atuelemishe zaidi. Story hii ni ya Jan 2020...
  17. C

    ATC Kwenda Dodoma

    Vipi ATC Kwenda Dodoma leo asubuhi? Dk 49 tangu ipae ipo Kisarawe tu inazunguka zunguka?
  18. ACT Wazalendo

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

    Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...
  19. Dam55

    Je, umaarufu wa ACT Wazalendo unatokana Muungano wa majeruhi wa kisiasa wenye maarifa?

    ZITTO KABWE alifukuzwa CHADEMA kujiunga ACT Wazalendo. MAALIM SEIF aliondoka CUF kujiunga ACT Wazalendo BERNARD MEMBE alifukuzwa CCM kujiunga ACT Wazalendo Je, majeruhi hawa wa kisiasa ndio chanzo cha umaarufu wa ACT Wazalendo? Zitto Kabwe Majina mawili ya wanasiasa ndani ya chama cha...
Back
Top Bottom