Jf salaam.
Kwa namna Moja ama nyingine naweza kukukwaza ama ukaingia kwenye Moja ya watu Hawa nitakao wataja hapa. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine napenda na kusitopenda pia.
Kwahiyo kama ukiangukia kwenye kundi la watu nisiowapenda elewa hivyo tu kuwa sikupendi hakuna mbadala wake...
Hawa wadogo zetu almaarufu watoto wa 2000 wanashida kubwa sana, kizazi hiki cha 2000 ni kizazi cha ovyo kuwahi kutokea. Kwa muda sasa kimekuwa kikisemwa hasa kwenye mitandao ya kijamii na kwenye jamii kawaida
Hawa watoto hawana chembe ya aibu hata kidogo, wavivu' wanapenda mseleleko sana sio...
Jf salaam
Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili).
Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu!
Na daima ni mitamu sana na mivumilivu mno katika Hali zote!
Hii yenu hii iliyoibuka hata nusu haiwezi fikia...
Bwana Ni Mwema Watu Wa Mungu!
Biashara ya dini kwa sasa ndiyo biashara inayolipa asikwambie mtu
Nimemshuhudia jamaa yangu kwa miaka 4 tu amepiga hatua kubwa sana
dogo alianza na mtaji wa watu wachache sana akisali chini ya mti wa mwembe baada ya miezi kadhaa watu {mtaji ukakua} wakaongezeka...
Jf salaam🙏
Ni muda sasa tangu aanze kuonekana huyu nyoka hatari koboko na inasemekana wapo wawili.
Taarifa zilianza kunifikia kutoka Kwa wazee wangu maana huo msitu ukweli sio wangu ni wa mzee ila kaniruhusu kufanya shughuli zozote za kujiingizia kipato.
Mara kadhaa amekuwa akionekana na...
JF Salaam!!
Ninaposema Kanda ya ziwa bila shaka tiyari unakuwa umepata taswira yake.
Siyo kwamba mikoa mingine haijabarikiwa la hasha lakni Kwa Kanda ya ziwa Kuna neema ya pekee sana.
Hapa nitataja baadhi ya vitu vinavyopatikana Kwa wingi Kanda ya ziwa.
Kwa akiri yangu japo Sina takwimu...
Wasalam Mheshimiwa Mbuge wetu.
Kwanza nichukue fursa hii kukupongeza bila kinyongo Wala kijicho Cha aina yoyote.
Mheshimiwa Mbuge Ndg Hussein Ammar kassu Kwa miaka karibia 20 sasa tulikupa Jimbo letu la Nyang'hwale liwe mikononi mwako. Ukituwakilisha nakutatua changamoto zetu hakika...
JF salaam,
Ni miaka takribani 17 tangu kituko hiki nikifanye nikiwa O Level kweli bangi inawenyewe. Nikiwa na marafiki zangu watano mi nikiwa 6 kati yao wa3 walikuwa wanakula bangi na darasani wanafanya vyema sana yaani tano bora muhimu wawemo.
Hili lilitufanya tuwaze sana na jamaangu wa...
Jf wasalaam
Sio Kwa ubaya tupeane Elimu tu. Mihemko na mjibu yasiyo Faa tujaribu kuyaepuka.
Kila mtu atoe mtazamo wake.
*MWANAUME MTU MZIMA:-
Kusherehekea happy birthday party bila hofu yoyote.
Binafisi Huwa nashangaa nadhani mnaweza kuniona mshamba lkn Wacha nikubali mimi ni mshamba.
Huwa...
JF habari!!!
Mwanzo 1:28 (KJV) Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Hilo ndilo kusudio kuu la Mungu.
Yeyote yule anapinga ujue wazi yupo upande...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.