1.hakikisha una mmudu
hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa
Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari fedha havina maana Kama mwanamke hatosheki kwenye swala la ngono
Kwa maana hiyo unapo amua kuishi na...
Leo nilikuwa nimetoka ofisini Sasa kwa bahati mbaya kifurushi changu Cha mwezi kikawa kime niishia
Na Kibaya zaidi ninapo kwenda siwezi kwenda bila kuwa na mda wa maongezi
Nikaona ni vema nichukue vocha kwanza kabla Sija Anza safari yangu ya kwenda huko ninako taka kwenda
Eneo letu la kazi...
Habari zenu wakuu??
Nimeona nianzishe Uzi huu ili kupeana up dates kuhusu vyakula/dawa asiri na matibabu yake
Kwani nina amini hata kabla ya hospital's kulikuwa na matibabu ya asiri lakini yame potea au wengi hatuya jui kuto kana na technologies development/mazingira tuliyo kulia
Kiukweli ni...
Habari zenu wakuu zangu?
Nimiaka mingi imepita huko nyuma
miaka ya kiza,miaka ya mateso, miaka yenye uzuni, miaka isiyo na matumaini, miaka ambayo mtu mweusi ali ishi maisha ambayo samaki, kuku, ngombe, mbuzi, wanaishi Sasa hivi
Yani una mkamata una mfuga ili akulimie au akupe maziwa au...
Habari wa kuu zangu?
Nimechunguza nimejikuta nagundua kwamba viongozi wetu/ma raisi wetu Wana TABIA zinazo fanana na TABIA zenyewe ni hizi zifwatazo
1.Hawajiamini..
Wafikapo madarakani huelekeza sana nguvu kwenye ukaribu na vyombo vya Dola kuliko Wananchi wao walio wachagua kuwa tumikia sjui...
Habari za sasa hivi wakuu??
Kimsingi maisha yetu wengi tunao ishi mjini yame anzia vijijini kama sio kusomea Basi kukulia Kama sio kukulia Basi asiri zetu ni vijijini Miji yote mikubwa duniani ilianza kuwa vijiji ikakuwa ikawa miji hatimaye majiji.
Wakuu zangu mna kumbuka kuhusu funza, chawa...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamekumbana na shughuri ya kiumbe anayeitwa mwanamke, tena ilikuwa ni shughuri nzito kweli kweli na kwasababu ilikuwa ni ndoa yangu ya kwanza
Basi nikaamini pengine ndiyo maana misikitini na makanisani mashehe na wachungaji wetu wanahubiri...
Habari zenu wakuu??
Hapo nyuma nilikutana na Changa Moto nyingi
ambazo ninaimani zilikuwa ni changa Moto rahisi Sana kwa mtu ambaye alikuwa akiziskia na kuziona zilipo kuwa zikini kumba but was tight
Nili dhalilika,nikadharaulika, nikasemwa,nikasemekana,
kunawakati niliambiwa maneno nawatu...
Habari wakuu zangu,
Kuna msemo unasema "Jela hakuna mateso ila wanao leta mateso jela ni wajelajela wenyewe."
Hivyo hivyo duniani ni mahala salama, pana maji, vyakula ardhi nzuri, na vyote Mungu alitoa bure. Yaani ule bure, unywe bure, ujenge popote bure, uwinde bure, uvue samaki was baharini...
Binadamu tumama pungufu yetu na mapungufu hayo ndiyo yaliyo mzaa wingi na wingi ikamzaa ushauri ushauri aka kaa kwa kila mtu nahapo ndipo ika onekana thamani ya kila mtu
Kwamba ninapo shindwa Mimi kwenye Jambo gumu ambalo kwangu ni gumu ntalazimika kumtafuta mtu mwenye ujuzi wa Hilo Jambo
Kuna...
Kumekuwa na utaratibu ukipanga nyumba Basi umeme unapoisha ni jukumu la mpangaji japo kuwa Kodi analipa vile vile
Hili si baya shida inakuja pale unapo panga nyumba ambayo inadaiwa miezi kadhaa nyuma ya Kodi ya jengo
Hapa ndipo machungu yanapoanzia
Unapokuja kwenye suala la kununua umeme...
Habari wakuu,
Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu, maswali machache niliyo jiuliza yalinifanya nifanye utafiti ili kupata majibu ya maswali yangu. Miongini mwa majibu niliyoyapata kwenye utafiti wangu ni haya:
1) Kwanza nimegundua wanaosumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume wengi ni...
a) vunja Katiba iliyopo lete Katiba mpya iliyo sahihi inayo egemea kwa 90% kwa Ile ya Warioba.
b) Unda tume huru ambayo wasimamizi wa uchaguzi wata chaguliwa na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi tu uchaguzi utakapo karibia.
c) Baada ya kuya...
Habari za Sasa hivi wakubwa zangu, wadogo zangu, kaka na dada zangu hapa Jamii Forums. Bila kusahau babu zetu hapa JF kina mshana Jr, Bujibuji n.k, heshima kwenu wakuu.
Leo nimeona niwashirikishe maajabu ya viongozi wetu tangu uhuru hapa Tanzania. Na yafuatayo ndiyo maajabu yenyewe ambayo...
Habari za jioni ndugu na jamaa humu ndani leo nimeona nizungumzie jambo moja ambalo linaathiri Jamii yetu bila kujua na limekuwa ni tatizo ambalo katika maisha ya watu wengi.
Wapo waliouza nyumba zao, waliokimbia miji, pia wapo ambao mpaka sasa naandika huu Uzi wapo jela, japo hawana hatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.