Search results

  1. Arnold Kalikawe

    Blackberry na Nokia zilipendwa sana miaka ya nyuma, ila walikuja kuanguka vibaya sana

    Blackberry na Nokia yameanguka, tena yameanguka sana. Pamoja na kuwa na simu kali zenye kamera nzuri, speed kubwa ila wakaanguka. Walianguka kwa sababu hawakuwa na viongozi wenye kufocus ulimwengu jinsi ulivyo. Yaani walikuwa katika miaka ya 2000 lakini akili zao zilikuwa zinafanya kazi ya...
  2. Arnold Kalikawe

    Kataa kitambi, unene kupindukia sio afya

    Siku zote, wenzetu wanakula, na wakila, wanakula vyakula ambavyo vinajenga miili yao. Zamani chakula kama hiki hakikuwepo Tanzania, lakini siku hizi vipo vingi tu. Tembelea supamaketi ukakutane na vyakula mbalimbali, vyenye afya, sisi tunakula ila ulajibwetu ni wa kijinga. Ndiyo! Ni wa kijinga...
  3. Arnold Kalikawe

    Jose Chameleon: Msanii aliyeitikisa Afrika Mashariki

    Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja Dr. Jose Chameleon aliivuruga East Africa na ngoma kali sana hit baada ya hit yani tunabandua Ugali tunabadika maharage yani...
  4. Arnold Kalikawe

    Captain Geogre Bantu kurithi usukani kuliongoza jahazi bila Captain Mkuu Gardner G. Habash

    Sisi wengi wakongwe tunakumbuka historia ya Captain Gardner nguli wa vipindi vya redio, alianza kama muuza cassette (Kanda) za audio na video pale jijini mwanza kama mtu wa masoko, ndipo Othman Njaidi baada ya kuuona uwezo wa Gardner wa kushawishi wateja, akamchukua na kumpeleka Clouds FM japo...
  5. Arnold Kalikawe

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Licha ya kiswahili kuzaliwa katika pwana ya Afrika mashariki, na kuzungumzwa zaidi Tanzania kuliko Mataifa yote. Kiswahili fasaha bado ni changamoto katika ukanda wa pwana ya Tanzania na visiwa vya Zanzibar. Leo katika harakati zangu za pimbi katika mkoa wa pwani, nikapita katika duka moja la...
  6. Arnold Kalikawe

    Klabu ya Simba yashika Namba Moja katika Vilabu Tajiri Zaidi Afrika Mashariki

    Hizi ndio klabu za soka zenye thamani ya juu zaidi Afrika Mashariki, kwa klabu zilizoweka wazi takwimu zao. Kutoka chanzo cha kuaminika cha TransferMarkt Klabu tatu kubwa Tanzania ndio zinaongoza katika orodha hii.
  7. Arnold Kalikawe

    Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

    Sasa hawe na roho mbaya kwenye afya yako... Yeye ukute hata hakujui, yeye katoa ushauri kitaalamu... Wewe unaleta porojo za ulevi
  8. Arnold Kalikawe

    Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

    Sura ikikauka ina maana hana mafuta mengi mwilini... Sasa wewe unadhani uzuri wa sura ndio afya
  9. Arnold Kalikawe

    Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

    Hatua 10,000 ni kama kilomita 6-8 kulingana na mwendo unaotembea
  10. Arnold Kalikawe

    Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

    Ushauri ni bure, ni kuamua kuufuata ama kuuacha... Yeye hajakulazimisha uishi namna yeye anataka
  11. Arnold Kalikawe

    Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

    Mkurugenzi mtendaji wa hospitali kuu ya taifa ya Muhimbili, Profesa Janabi ameelezea mbinu za kuepuka kuzeeka mapema ambapo ameelezea kama ifuatavyo; 1. Tembea hatua 10,000 kwa siku 2. Kula kwa wastani 3. Punguza wanga 4. Epuka vitu vyenye sukari 5. Epuka sigara, pombe 7. Pata muda kidogo wa...
  12. Arnold Kalikawe

    Watumiaji wa Whatsapp Status watakuwa na uwezo wa kuweka video ya dakika 1

    WhatsApp imeanza kufanya majaribio ya kuongeza urefu wa video ambayo mtu anaweza kuweka katika sehemu ya WhatsApp Status. WhatsApp imeanza kuweka limit ya dakika 1 (sekunde 60) katika video za WhatsApp Status. Kwa kawaida limit yake ni sekunde 30! Majaribio haya yameanza kwa watumiaji wa Android.
  13. Arnold Kalikawe

    Wahaya nini maana ya jina Kahatano?

    Inye bojo, mwaguma! Nataka kujua maana ya jina Kahatano.
  14. Arnold Kalikawe

    Huyu jamaa kaua au kazingua

    Ama kweli Raha jipe mwenyewe, usingoje kupewa [emoji23] Wacko Jacko https://www.facebook.com/reel/2082901375392412/?mibextid=Hn3EexMF1WhlYZLE
  15. Arnold Kalikawe

    TAWA: Bado tunachunguza tukio la Muwindaji kuua Mamba

    https://www.insidetanzania.co.tz/2023/12/tawa-to-investigate-american-trophy.html?m=1
  16. Arnold Kalikawe

    Wizara ya Ardhi iweke mfumo wa online wa Ramani za Mipango miji

    Kutokana na ukuaji wa maeneo mbalimbali, kumekuwa na ujengaji holela kwenye maeneo ambayo hayakupaswa kujengwa, mfano maeneo ya kingo za mito, maeneo ya barabara za mitaa, na barabara kuu na kadharika. Kutokana na ukuaji wa Teknolojia na utandawazi, vitu vingi siku hizi ufanyika online...
  17. Arnold Kalikawe

    Mwanaume hutakiwi kufuata Dini ya mwanamke, Mwanamke ndio afuate yako

    Anguko kubwa la mwanaume ni kuamua kubadilisha dini na kumfuata mwanamke. Mwanaume hutakiwi kubadilisha dini na kumfuata mwanamke bali yeye anatakiwa kubadilisha dini na kukufuata wewe. Mwanamke anapoolewa na mwanaume, automatic huondoka katika jamii yake na kwenda katika jamii ya mwanaume...
  18. Arnold Kalikawe

    Mwanaume Vs Mwanamke: Uchambuzi wa Ubongo wa Mwanadamu

    Tafiti nyingi zimepambanua utofauti wa namna akili ya mwanaume na mwanamke; majibu ni kama yafuatavyo. 1. KUFANYA KAZI NYINGI. Wanawake wana Ubongo wenye michakato mingi. Akili za wanawake iliyoundwa ili kuzingatia kazi nyingi kwa wakati mmoja. Wanawake wanaweza Kutazama TV na Kuzungumza...
  19. Arnold Kalikawe

    Uliwahi kukutana na Mauzauza gani ya giza/uchawi katika Nyumba ya Kupanga au ulipohamia nyumba mpya?

    Kuna story kama mbili niliwahi kuzisikia Clouds FM kipindi cha Leo Tena, Segment ya Hekaheka chini ya mtangazaji Geah Habib. Ebana ee Story ya kwanza ni ya mama mmoja mfanyakazi Dar es salaam, alikuwa na maisha mazuri tu na alikuwa na mfanyakazi wa ndani. Siku moja huyo mama alikuwa anaenda...
  20. Arnold Kalikawe

    Robots na mifumo yenye Artificial Intelligence ndio dunia ya kesho

    Kinachofanyika ni kwamba wanapandikiza maarifa yote ya binadamu kwa robots, hata hizo filosofia ni kitendo cha kuziamishia kwenye mfumo tu... Alafu pia A.I itakuwa na uwezo wa kujifunza mambo isiyoyajua, kwa sababu itapewa uwezo wa kufikiri. Hivyo mambo mengi itayajua
Back
Top Bottom